Kuhusu Elie Mpanzu kucheza mechi za Ligi ya Shirikisho

Kuhusu Elie Mpanzu kucheza mechi za Ligi ya Shirikisho

Si na ww ulikua mmama jamani? Kwa sasa umekua mjane..
Hayo mashindano mnacheza mechi haina refa
Viwanja vya shule
Kona Tatu ni penalty
Kifupi makolo mmejua kutia Taifa aibu
 
Una kidonda kibichi
5_1 Bado inawapagawisha
Nyie ndo mnapagawa hamjaamini mpk leo kwamba ule wanga wenu ulifanya kazi ndo maana mnaweweseka mwaka mzima kwa matokeo yale..inaonyesha jinsi gani utopolo hawana akilli...unajadili matokeo mwaka mzima??? Na mabango juu...hahaaa nyie ni klabu ya pombe sio mpira...maana walevi ndo huwa wanajadili mambo yale yale kila siku
 
Hayo mashindano mnacheza mechi haina refa
Viwanja vya shule
Kona Tatu ni penalty
Kifupi makolo mmejua kutia Taifa aibu
Ndo kulikufanya utambe mwezi mzima huko...au umesahau mmama mwenzetu..
 
Nyie ndo mnapagawa hamjaamini mpk leo kwamba ule wanga wenu ulifanya kazi ndo maana mnaweweseka mwaka mzima kwa matokeo yale..inaonyesha jinsi gani utopolo hawana akilli...unajadili matokeo mwaka mzima??? Na mabango juu...hahaaa nyie ni klabu ya pombe sio mpira...maana walevi ndo huwa wanajadili mambo yale yale kila siku
View attachment 3153737
Pole mrembo wangu
Kunywa maji mengi
Yanasaidia kuondoa sonona
Kupigwa mara nne mfululizo inauma
 
Pole mrembo wangu
Kunywa maji mengi
Yanasaidia kuondoa sonona
Kupigwa mara nne mfululizo inauma
Unaumia ww sio mimi...kwa sbb ushindi hamkuutegemea...
Tabora 3 Uto 1
Azam 1 uto 0
Byeeeee
 
We hunisumbui nishakupiga Sita bila hizo tano tano ni kama umelipa tuu,2012 nilikuchapa 5 bila muulize Baba yako.

Nafikiri hukuwa na akili kipindi hiko
Pole sana
Kidonda Bado kibichi
Fika magomeni uone bango
 
Bado hujajibu ile medali mliopeleka ikulu ilikuwa ya mashindano gani mpaka mbeze alipo simba sasa
Jibu kama huna mwiko nyuma
Maendeleo ni kwenda mbele sio kurudi nyuma.
Mwenzako alikua na Vits akajichanga akapata VX, wewe ulikua na VX ukawa unadharau wenzako, ukakumbana na ukata ukaenda kwenye vits.
Unakumbushwa unasema na wewe ulikua huku huku.
Ndugu mavi ya kale hayanuki.
 
Back
Top Bottom