Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

Kama anaridhika na mshahara aende, mazingira ya kazi ni mazuri....
 
four season ni bonge la hotel.ina kila kitu ndani kuanzia gym hadi salon ya kunyoa swimming etc.ile hotel ni kubwa hadi imekuwa kama kijiji katikakati ya pori.kuhusu mshahara ni mzuri ila km ni mwanamke anaweza kutumia vingine kujinufaisha zaidi haswa kwa sisi DG.ukifanya kazi pale unaweza ku make sana sababu wa na ku accomordate kila kitu bure ikiwa we ni staff.kuhusu misosi na mazaga zaga pale wiki tuu umenenepa maana ni kufuru.ndio hivyo sema hotel iko under management nyingine kama third part vile au subcontract.wageni wenye booking pale wanakuwa FULL PACKAGE hivyo tip kidogo inaweza kuwa ngumu kupata.
 
Hii ni hotel ambayo natamani sana siku nijipange niende nikalale hata siku mbili tu. Bonge la hotel. Mimi nimeifahamu kupitia Jux wa bongo flavor
 
Umeona presidential suite chumba milioni 28 kwa siku? Mkuu kabla hujafa room kama hizo ulale hata siku 1 tu kiongozi😂😂😂😂
Nimeona mkuu aise..kuna watu wanahela jmni.nipeleke basi mkuu nikalale japo usiku mmoja tu niweke historia😅😅
 

Attachments

  • 7C12E48D-1261-46A6-93DC-EF130C7AE52F.MOV
    16.8 MB
four season ni bonge la hotel.ina kila kitu ndani kuanzia gym hadi salon ya kunyoa swimming etc.ile hotel ni kubwa hadi imekuwa kama kijiji katikakati ya pori.kuhusu mshahara ni mzuri ila km ni mwanamke anaweza kutumia vingine kujinufaisha zaidi haswa kwa sisi DG.ukifanya kazi pale unaweza ku make sana sababu wa na ku accomordate kila kitu bure ikiwa we ni staff.kuhusu misosi na mazaga zaga pale wiki tuu umenenepa maana ni kufuru.ndio hivyo sema hotel iko under management nyingine kama third part vile au subcontract.wageni wenye booking pale wanakuwa FULL PACKAGE hivyo tip kidogo inaweza kuwa ngumu kupata.

Mkuu asante sana kwa niaba.huyu yeye ni mwanaume,kwahiyo maisha yake yakuwa ni ya mshahara tu??

Inaonekana kupata kazi huko si kazi rahisi mkuu.comment yako inaonyesha unaifahamu vizuri sana.

Naomba pia na changamoto zake mkuu
 
Hii ni hotel ambayo natamani sana siku nijipange niende nikalale hata siku mbili tu. Bonge la hotel. Mimi nimeifahamu kupitia Jux wa bongo flavor

Mkuu zidi kuomba uzima na wewe ukaweke historia ya maisha😅😅
 
Mshahara bila ya kuwa na hizo tip kama alivyosema mkuu adden si changamoto mkuu!?

Kama Anawazasana hizo tip as a survival mwambie afanye vitu vingine.... sio vitu vya uhakika saaaaana!

Kama ana kitu anafanya, aendelee tu aiache uko, maana haya makazi ni kifungo in a way! Ila kama hana aje kufanya, huwezi jua bahati yake!
 
Maana kama kila kitu jiko provided ...misosi malazi..mshahara utakuwa wa kifala sana
 
Habari za jiona wapendwa.poleni na majukumu ya maisha.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika..ninarafiki yangu (me)lakini sasa ni kama ndugu maana tulipotoana ni mbali.Yes.

Yuko kwenye hotel industry kwa muda kidogo na sasa anataka kwenda kufanya kazi Serengeti Four Seasons Hotel.kilichofanya nikaja hapa,kaniuliza kama najua maisha ya huko porini nikamjibu kuwa sifahamu lakini nitamsaidia kuja kuulizia hapa JF swala lake ili kupata msaada zaidi na ndivyo nimefanya.

Najua huku kuna watu tofauti tofauti ambao pengine wanafanya kazi huko,au walishawahi kufanya kazi huko,au hata sio wafanyakazi wa hapo Four Seasons Hotel Serengeti lakini wanafahamu.

Natanguliza shukrani za dhati🥂

Fasta fasta awahi kazini hiyo ni bahati sawa na dodo kuanguka chini ya Muarobaini ila tu muhimu anatakiwa kufanya kazi kizungu na akileta za kiswahili huwa hawacheleweshi kwani huwaga hawana kupamba na akifanya vizuri atajisikia yupo kwao
 
Umeona presidential suite chumba milioni 28 kwa siku? Mkuu kabla hujafa room kama hizo ulale hata siku 1 tu kiongozi😂😂😂😂
... duh! Hicho chumba ni size ya Mohammad bin Salman bin Abdulaziz bin Abdul Rahman bin Faisal bin Turki bin Abdullah bin Mohammed bin Saud (Crown Prince wa Saudia) au Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid Al Maktoum (Mtawala wa Dubai).
 
four season ni bonge la hotel.ina kila kitu ndani kuanzia gym hadi salon ya kunyoa swimming etc.ile hotel ni kubwa hadi imekuwa kama kijiji katikakati ya pori.kuhusu mshahara ni mzuri ila km ni mwanamke anaweza kutumia vingine kujinufaisha zaidi haswa kwa sisi DG.ukifanya kazi pale unaweza ku make sana sababu wa na ku accomordate kila kitu bure ikiwa we ni staff.kuhusu misosi na mazaga zaga pale wiki tuu umenenepa maana ni kufuru.ndio hivyo sema hotel iko under management nyingine kama third part vile au subcontract.wageni wenye booking pale wanakuwa FULL PACKAGE hivyo tip kidogo inaweza kuwa ngumu kupata.
Hiyo full package ndani yake option ya tip imo,sema mgao ni mwisho wa mwezi km bonus mnapewa chap juu ya mshahara.
 
Back
Top Bottom