Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

... duh! Hicho chumba ni size ya Mohammad bin Salman bin Abdulaziz bin Abdul Rahman bin Faisal bin Turki bin Abdullah bin Mohammed bin Saud (Crown Prince wa Saudia) au Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid Al Maktoum (Mtawala wa Dubai).
We jamaa huyo King wa Saudia ni balaa sana umewahi kufatilia akisafiri? Yeye huwa ana Kodi hotel nzima na watu wote walio book au Waliopo huwa wanaondolewa Yani imagine Hotel kama iko new york na ina rooms let say 150 inachuliwa yote na humo watalala delagates na familia yake tu Huyo jamaa ni Kufuru na iyo hotel Room atakazo kuwepo yeye na familia yake kila kitu kinakuwa decorated to Gold kuanzia taa na urembo wote ni pure gold, Mpaka elevator anayotumia kushukia kwenye ndege ni Gold decorated, the man is living on Heaven
 
We jamaa huyo King wa Saudia ni balaa sana umewahi kufatilia akisafiri? Yeye huwa ana Kodi hotel nzima na watu wote walio book au Waliopo huwa wanaondolewa Yani imagine Hotel kama iko new york na ina rooms let say 150 inachuliwa yote na humo watalala delagates na familia yake tu Huyo jamaa ni Kufuru na iyo hotel Room atakazo kuwepo yeye na familia yake kila kitu kinakuwa decorated to Gold kuanzia taa na urembo wote ni pure gold, Mpaka elevator anayotumia kushukia kwenye ndege ni Gold decorated, the man is living on Heaven
😳😳😳😳😳😳😳
 
Kama Anawazasana hizo tip as a survival mwambie afanye vitu vingine.... sio vitu vya uhakika saaaaana!

Kama ana kitu anafanya, aendelee tu aiache uko, maana haya makazi ni kifungo in a way! Ila kama hana aje kufanya, huwezi jua bahati yake!
Mkuu nakuomba nije Pm kama hutojali👏
 
Jaman Naomba mnisaidie muongozo natamani kufanya sana kazi huko serengeti au hata ngorongoro lakin sijui niapply vipi mpaka nipate je wanaochukuliwa huko ni watu waliosoma hivi vyuo vya hapa vya hotel management au niwaliosoma college za nje pia kama kuna vigezo vingine naombeni mnifahamishe please
 
Habari za jiona wapendwa.poleni na majukumu ya maisha.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika..ninarafiki yangu (me)lakini sasa ni kama ndugu maana tulipotoana ni mbali.Yes.

Yuko kwenye hotel industry kwa muda kidogo na sasa anataka kwenda kufanya kazi Serengeti Four Seasons Hotel.kilichofanya nikaja hapa,kaniuliza kama najua maisha ya huko porini nikamjibu kuwa sifahamu lakini nitamsaidia kuja kuulizia hapa JF swala lake ili kupata msaada zaidi na ndivyo nimefanya.

Najua huku kuna watu tofauti tofauti ambao pengine wanafanya kazi huko,au walishawahi kufanya kazi huko,au hata sio wafanyakazi wa hapo Four Seasons Hotel Serengeti lakini wanafahamu.

Natanguliza shukrani za dhati[emoji1635]
Sikiliza!

4seasons ni hotel awali ikijulikana kama Bilira kempiski lodge Serengeti.

Kwa sasa imesimamisha huduma zake kwa asilimia 90.kutokana na COVID19.

Ila kama una la ziada tembelea ofisi zao hapo arusha.

Hizi ni hotel pacha na MELIA LODGES SERENGETI ambao ndio hao Grandmelia iliyokuwa 77hotels arusha.
 
Sikiliza!

4seasons ni hotel awali ikijulikana kama Bilira kempiski lodge Serengeti.

Kwa sasa imesimamisha huduma zake kwa asilimia 90.kutokana na COVID19.

Ila kama una la ziada tembelea ofisi zao hapo arusha.

Hizi ni hotel pacha na MELIA LODGES SERENGETI ambao ndio hao Grandmelia iliyokuwa 77hotels arusha.

Asante mkuu.ubarikiwe
 
Habari za jiona wapendwa.poleni na majukumu ya maisha.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika..ninarafiki yangu (me)lakini sasa ni kama ndugu maana tulipotoana ni mbali.Yes.

Yuko kwenye hotel industry kwa muda kidogo na sasa anataka kwenda kufanya kazi Serengeti Four Seasons Hotel.kilichofanya nikaja hapa,kaniuliza kama najua maisha ya huko porini nikamjibu kuwa sifahamu lakini nitamsaidia kuja kuulizia hapa JF swala lake ili kupata msaada zaidi na ndivyo nimefanya.

Najua huku kuna watu tofauti tofauti ambao pengine wanafanya kazi huko,au walishawahi kufanya kazi huko,au hata sio wafanyakazi wa hapo Four Seasons Hotel Serengeti lakini wanafahamu.

Natanguliza shukrani za dhati[emoji1635]
Sema tu ni we we mwenyewe ndo unaulizia na sio rafiki yako! Hivi kwann humu ndan mnapendaga kusingizia watu utaskia ooh rafiki yangu ooh jamaa yangu
 
since 2009 niko hapo
enzi hizo kila december nampokea kikwete na comvoy yake.
Vyumba tunavyo zaidi ya 70
karibu BILILA

Hongera mkuu.unaweza kushare pia maisha ya hapo.ukipendezwa lkni
 
Ni mimi.”...happy now![emoji57][emoji57][emoji57]

ulivyo wewe muongo muongo naona unafikiri kila mtu ni mwongo kama wewe.
Ingekuwa ni mimi ndo natafuta nani angekufa humu kila mtu na maisha yake mkuu.sijaumbiwa kumwogopa mtu hivyo nidivyo nilivyo.

Ni mimi haikuhusu.ni huyo mkaka pia haikuhusu.ni bora unyamaze wakati mwingine mkuu.si kila mtu ni mkorofi kama wewe[emoji1536][emoji1536]
Haya nenda ukagongwe na vibabu vya kizungu
 
We jamaa huyo King wa Saudia ni balaa sana umewahi kufatilia akisafiri? Yeye huwa ana Kodi hotel nzima na watu wote walio book au Waliopo huwa wanaondolewa Yani imagine Hotel kama iko new york na ina rooms let say 150 inachuliwa yote na humo watalala delagates na familia yake tu Huyo jamaa ni Kufuru na iyo hotel Room atakazo kuwepo yeye na familia yake kila kitu kinakuwa decorated to Gold kuanzia taa na urembo wote ni pure gold, Mpaka elevator anayotumia kushukia kwenye ndege ni Gold decorated, the man is living on Heaven
🙄🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom