Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo “aje”imebeba kitu.naomba nikaribie PM mkuu kama hutojaliKama Anawazasana hizo tip as a survival mwambie afanye vitu vingine.... sio vitu vya uhakika saaaaana!
Kama ana kitu anafanya, aendelee tu aiache uko, maana haya makazi ni kifungo in a way! Ila kama hana (aje) kufanya, huwezi jua bahati yake!
Mshahara wake unazidi 800K!!?
Maana kama kila kitu jiko provided ...misosi malazi..mshahara utakuwa wa kifala sana
Mshahara siri yako au siyo!!!Nimefanya kazi mwezi mmoja tu nikaacha.
Kule kizuri sana kwa watu tusiopenda maisha ya bughuza za Uswahilini
Fasta fasta awahi kazini hiyo ni bahati sawa na dodo kuanguka chini ya Muarobaini ila tu muhimu anatakiwa kufanya kazi kizungu na akileta za kiswahili huwa hawacheleweshi kwani huwaga hawana kupamba na akifanya vizuri atajisikia yupo kwao
Nilipata kibarua serikalini cha permanentKwanini uliacha mkuu
Nimetoka miaka 5 imepita, nasikia walishaongezewa kidogo. Kwasasa sijui kuhusu salaryMshahara siri yako au siyo!!!
... duh! Hicho chumba ni size ya Mohammad bin Salman bin Abdulaziz bin Abdul Rahman bin Faisal bin Turki bin Abdullah bin Mohammed bin Saud (Crown Prince wa Saudia) au Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid Al Maktoum (Mtawala wa Dubai).
Hiyo full package ndani yake option ya tip imo,sema mgao ni mwisho wa mwezi km bonus mnapewa chap juu ya mshahara.
Kama inarudi haina shida.Cha msingi tu asiwe ameambiwa atume pesa za kuwalainisha HR
Ile bonge moja la hotel juzi kuna mtu nilikuwa namsadia kubook room pale hamuezi amini ipo booked mpaka july 1 ndo unapata nafasi na gharama zake zinaanzia milion 2 hadi 4 za kitanzania high end hotel ..mwambie afike mapema sana bonge la experience