Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

Kama Anawazasana hizo tip as a survival mwambie afanye vitu vingine.... sio vitu vya uhakika saaaaana!

Kama ana kitu anafanya, aendelee tu aiache uko, maana haya makazi ni kifungo in a way! Ila kama hana (aje) kufanya, huwezi jua bahati yake!
Hiyo “aje”imebeba kitu.naomba nikaribie PM mkuu kama hutojali
 
Mshahara wake unazidi 800K!!?

Hajaniambia kuhusu swala la mshahara mkuu.

Na nafikiri mshahara huwa unatofautiana na umeajiriwa kama nani.

Yeye ni kama Waiter mkuu.sasa sijajua waiters wanalipwa kiasi gan.huku kuna watu najua wanafanya kazi kule wanaweza kutusaidia katika hilo
 
Maana kama kila kitu jiko provided ...misosi malazi..mshahara utakuwa wa kifala sana

Sio sehemu zote wanaweza kuprovide kila kitu mshahara ukawa mdogo mkuu.nyingine huwa ni tofauti.kama waendeshaji wakuu wa hiyo hotel ni wazungu,basi mshahara unaweza pia ukawa mzuri ukilinganisha na sehemu nyingine ambapo utalipwa kiasi cha angalau lkni bado ukawa unajitegemea kila kitu.

Naimani kuna watu huku kwa namna yoyote wanajua pia wanaweza kutusaidia katika hilo la mshahara JF kubwa sana
 
Ile bonge moja la hotel juzi kuna mtu nilikuwa namsadia kubook room pale hamuezi amini ipo booked mpaka july 1 ndo unapata nafasi na gharama zake zinaanzia milion 2 hadi 4 za kitanzania high end hotel ..mwambie afike mapema sana bonge la experience
 
Fasta fasta awahi kazini hiyo ni bahati sawa na dodo kuanguka chini ya Muarobaini ila tu muhimu anatakiwa kufanya kazi kizungu na akileta za kiswahili huwa hawacheleweshi kwani huwaga hawana kupamba na akifanya vizuri atajisikia yupo kwao

Asante sana mkuu.uzidi kubarikiwa.
Kumbe kupata nafasi hapo si mchezo mchezo aisee
 
... duh! Hicho chumba ni size ya Mohammad bin Salman bin Abdulaziz bin Abdul Rahman bin Faisal bin Turki bin Abdullah bin Mohammed bin Saud (Crown Prince wa Saudia) au Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid Al Maktoum (Mtawala wa Dubai).

Mwamba umetisha aise😅😅hao akina bin bin .....ukujaaliwa uzima na afya na wewe utalala siku moja.pesa hutafutwa😊😊
 
Hiyo full package ndani yake option ya tip imo,sema mgao ni mwisho wa mwezi km bonus mnapewa chap juu ya mshahara.

Mshahara + servrce charge+tip mwisho wa mwezi sio mbaya mkuu.natip zenyewe ni kwa dollas.bado hulipii chochote unakaa bure...ohoo God...kama namuona vile😅😅😅nikimuonyesha hizi comment atapata kimuhemuhe
 
Ile bonge moja la hotel juzi kuna mtu nilikuwa namsadia kubook room pale hamuezi amini ipo booked mpaka july 1 ndo unapata nafasi na gharama zake zinaanzia milion 2 hadi 4 za kitanzania high end hotel ..mwambie afike mapema sana bonge la experience

😳😳😳😳😳😳😳aiseh..

Asante mkuu
 
Back
Top Bottom