Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

Kuhusu Four Seasons Hotel ya Serengeti

Jaman Naomba mnisaidie muongozo natamani kufanya sana kazi huko serengeti au hata ngorongoro lakin sijui niapply vipi mpaka nipate je wanaochukuliwa huko ni watu waliosoma hivi vyuo vya hapa vya hotel management au niwaliosoma college za nje pia kama kuna vigezo vingine naombeni mnifahamishe please

Ninachofahamu mkuu ni kwamba uwe unajua lugha ya kingereza,experience na hizo certficate mengine watajazia wajuzi wa mambo ninaimani wako huku wengi.

Na kuhusu huko serengeti pia fuatilia comments uliza unapokuwa hujui utasaidika tu.kila la kheri
 
Ninachofahamu mkuu ni kwamba uwe unajua lugha ya kingereza,experience na hizo certficate mengine watajazia wajuzi wa mambo ninaimani wako huku wengi.

Na kuhusu huko serengeti pia fuatilia comments uliza unapokuwa hujui utasaidika tu.kila la kheri

Nakupm ndugu
 
Sikiliza!

4seasons ni hotel awali ikijulikana kama Bilira kempiski lodge Serengeti.

Kwa sasa imesimamisha huduma zake kwa asilimia 90.kutokana na COVID19.

Ila kama una la ziada tembelea ofisi zao hapo arusha.

Hizi ni hotel pacha na MELIA LODGES SERENGETI ambao ndio hao Grandmelia iliyokuwa 77hotels arusha.
Mkuu hakika wewe unaifaham vizuri 4 season.Mmiliki halali wa 4 season kuna jamaa anaitwa ali bawadi,ni tajiri mkubwa wa dubai pia ni mmiliki wa melia',yeye anachomiliki ni majengo na hisa kadhaa,hisa zingine zinabaki kwa wenye brand (majina Melia na 4 season).Kwenye industry ya hotel Melia' na 4season ni miongoni mwa makampuni ya hotel yanayolipa vizuri kuanzia ngazi ya chini (gardeners,waiters,barmen,housekeepers e.t.c)kiwango cha mshahara si chini ya 500k(Zanzibar na porini).
So ni kazi nzuri,kama anaweza maisha ya porini achangamkie fursa,japo sina taarifa kama 4 season wameshaanza kuita staff.
 
Jaman Naomba mnisaidie muongozo natamani kufanya sana kazi huko serengeti au hata ngorongoro lakin sijui niapply vipi mpaka nipate je wanaochukuliwa huko ni watu waliosoma hivi vyuo vya hapa vya hotel management au niwaliosoma college za nje pia kama kuna vigezo vingine naombeni mnifahamishe please
Cha msingi ni experience na kingereza,ila ukiweza kuongea lugha za kimataifa zaidi ya moja wewe ni "hot cake".
Japo sijajua unataka kitengo gani.
 
Mkuu hakika wewe unaifaham vizuri 4 season.Mmiliki halali wa 4 season kuna jamaa anaitwa ali bawadi,ni tajiri mkubwa wa dubai pia ni mmiliki wa melia',yeye anachomiliki ni majengo na hisa kadhaa,hisa zingine zinabaki kwa wenye brand (majina Melia na 4 season).Kwenye industry ya hotel Melia' na 4season ni miongoni mwa makampuni ya hotel yanayolipa vizuri kuanzia ngazi ya chini (gardeners,waiters,barmen,housekeepers e.t.c)kiwango cha mshahara si chini ya 500k(Zanzibar na porini).
So ni kazi nzuri,kama anaweza maisha ya porini achangamkie fursa,japo sina taarifa kama 4 season wameshaanza kuita staff.

Na wewe unaonekana unaifahamu vizuri pia mkuu.hongera.unapokea wageni PM? Kama hutojali
 
Umeona presidential suite chumba milioni 28 kwa siku? Mkuu kabla hujafa room kama hizo ulale hata siku 1 tu kiongozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Melia' Zanzibar presidential ya ni 10M per one night(sijui kwa sasa low season+corona itakua labda imeshuka pia wamefunga mpaka August)na kuna wageni wanaweza chukua for two weeks ama zaidi.Yes kuna watu wanapesa ikiwemo hawa waraabu ambao hawapo kwenye majarida ya wazungu.
 
Melia' Zanzibar presidential ya ni 10M per one night(sijui kwa sasa low season+corona itakua labda imeshuka pia wamefunga mpaka August)na kuna wageni wanaweza chukua for two weeks ama zaidi.Yes kuna watu wanapesa ikiwemo hawa waraabu ambao hawapo kwenye majarida ya wazungu.
Hongera mkuu.unauzoefu sana👊🏿
 
Back
Top Bottom