Jaman Naomba mnisaidie muongozo natamani kufanya sana kazi huko serengeti au hata ngorongoro lakin sijui niapply vipi mpaka nipate je wanaochukuliwa huko ni watu waliosoma hivi vyuo vya hapa vya hotel management au niwaliosoma college za nje pia kama kuna vigezo vingine naombeni mnifahamishe please
Ninachofahamu mkuu ni kwamba uwe unajua lugha ya kingereza,experience na hizo certficate mengine watajazia wajuzi wa mambo ninaimani wako huku wengi.
Na kuhusu huko serengeti pia fuatilia comments uliza unapokuwa hujui utasaidika tu.kila la kheri
Mkuu hakika wewe unaifaham vizuri 4 season.Mmiliki halali wa 4 season kuna jamaa anaitwa ali bawadi,ni tajiri mkubwa wa dubai pia ni mmiliki wa melia',yeye anachomiliki ni majengo na hisa kadhaa,hisa zingine zinabaki kwa wenye brand (majina Melia na 4 season).Kwenye industry ya hotel Melia' na 4season ni miongoni mwa makampuni ya hotel yanayolipa vizuri kuanzia ngazi ya chini (gardeners,waiters,barmen,housekeepers e.t.c)kiwango cha mshahara si chini ya 500k(Zanzibar na porini).Sikiliza!
4seasons ni hotel awali ikijulikana kama Bilira kempiski lodge Serengeti.
Kwa sasa imesimamisha huduma zake kwa asilimia 90.kutokana na COVID19.
Ila kama una la ziada tembelea ofisi zao hapo arusha.
Hizi ni hotel pacha na MELIA LODGES SERENGETI ambao ndio hao Grandmelia iliyokuwa 77hotels arusha.
Umeona presidential suite chumba milioni 28 kwa siku? Mkuu kabla hujafa room kama hizo ulale hata siku 1 tu kiongozi😂😂😂😂
Cha msingi ni experience na kingereza,ila ukiweza kuongea lugha za kimataifa zaidi ya moja wewe ni "hot cake".Jaman Naomba mnisaidie muongozo natamani kufanya sana kazi huko serengeti au hata ngorongoro lakin sijui niapply vipi mpaka nipate je wanaochukuliwa huko ni watu waliosoma hivi vyuo vya hapa vya hotel management au niwaliosoma college za nje pia kama kuna vigezo vingine naombeni mnifahamishe please
Mkuu hakika wewe unaifaham vizuri 4 season.Mmiliki halali wa 4 season kuna jamaa anaitwa ali bawadi,ni tajiri mkubwa wa dubai pia ni mmiliki wa melia',yeye anachomiliki ni majengo na hisa kadhaa,hisa zingine zinabaki kwa wenye brand (majina Melia na 4 season).Kwenye industry ya hotel Melia' na 4season ni miongoni mwa makampuni ya hotel yanayolipa vizuri kuanzia ngazi ya chini (gardeners,waiters,barmen,housekeepers e.t.c)kiwango cha mshahara si chini ya 500k(Zanzibar na porini).
So ni kazi nzuri,kama anaweza maisha ya porini achangamkie fursa,japo sina taarifa kama 4 season wameshaanza kuita staff.
Nicheki pm mama tufanye utafatibu.Nimeona mkuu aise..kuna watu wanahela jmni.nipeleke basi mkuu nikalale japo usiku mmoja tu niweke historia😅😅
Huamini ama? Unaweza kua unalipiga teke bakuli la dhahabu bila kujua😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 nijikute tu naanza kujuta😂😂😂weweee
Eti roho inakuuma😂😂.Hahaaaa hutalala mkuu jinsi hela hiyo itakavyokuuma usiku huo
Najua kiasi,swali lolote nitajibu hapa kwa faida ya wote,haina haja ya kuja PMNa wewe unaonekana unaifahamu vizuri pia mkuu.hongera.unapokea wageni PM? Kama hutojali
Melia' Zanzibar presidential ya ni 10M per one night(sijui kwa sasa low season+corona itakua labda imeshuka pia wamefunga mpaka August)na kuna wageni wanaweza chukua for two weeks ama zaidi.Yes kuna watu wanapesa ikiwemo hawa waraabu ambao hawapo kwenye majarida ya wazungu.Umeona presidential suite chumba milioni 28 kwa siku? Mkuu kabla hujafa room kama hizo ulale hata siku 1 tu kiongozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera mkuu.unauzoefu sana👊🏿Melia' Zanzibar presidential ya ni 10M per one night(sijui kwa sasa low season+corona itakua labda imeshuka pia wamefunga mpaka August)na kuna wageni wanaweza chukua for two weeks ama zaidi.Yes kuna watu wanapesa ikiwemo hawa waraabu ambao hawapo kwenye majarida ya wazungu.
Uongo katafute vizuri kuhusu hisa zake. Hazifiki 50
Ili mradi tuu ubishe, ila ndo nimekufungua macho
Kadanganye wapumbavu wenzako
Cha msingi ni experience na kingereza,ila ukiweza kuongea lugha za kimataifa zaidi ya moja wewe ni "hot cake".
Japo sijajua unataka kitengo gani.
Waswahili wote Sasa hivi tunatamani kuwa wachimba madini.Ndio tatizo la mswahili hafikirii future yake, huko porini ndio kila kitu aache ubongobongo.