Kama Msomali ni mwanaume kamili mwenye mak-3nde mbili, basi mwambie aje ajaribu kunyakua ardhi au bahari ya Kenya aone kile kipigo atakachopokea. Atapigwa hadi aingize mkia katikati ya miguu.Naona nyang'au katoka baru na chu++p mkononi... Nyundo za msomali zimewabonda sana huko ICF.
Hata kama mmejitoa kwenye mahakama hiyo bado ushindi atapewa Somalia coming Tuesday next week mtake msitake.. Sasa ndio mtajua hamjui.
Sogezeni pua chini kidogo Kwa kuleta nyee nyee nyeee tumalizie msumari wa mwisho.
Teh umpige mtu akiwa kwenye eneo lake? Unajua kimataifa hiyo maana yake itakuwa nini? Subiri uamuzi wa mahakama kwanza.Kama Msomali ni mwanaume kamili mwenye mak-3nde mbili, basi mwambie aje ajaribu kunyakua ardhi au bahari ya Kenya aone kile kipigo atakachopokea. Atapigwa hadi aingize mkia katikati ya miguu.
Hilo eneo limekuwa la Kenya tangu enzi za Ukoloni. Wacha kuongea vitu usivyovifahamu wewe.Hilo eneo ni la Somalia tokea enzi. Wasomali wameanza kumiliki eneo hilo kipindi mababu wa Uhuru Kenyatta wanatoa funza miguuni misitu ya Kongo.
Pemba itakuja kuwa part of Kenya ikiwa tutapeleka Tanzania ICJ. Endeleeni kusherehekea hawa mashetani ICJ.Sitetei upande wowote ule.....
Ila.....
Nimefuatilia madai ya Somalia na kuniachia "maswali mengi"....
Yaani wamechora "horizontal line" sawa na mpaka wao na Kenya!!
Imagine Kenya nayo ingechora "horizontal line" na mpaka wa Tanzania.....hwenda Pemba ingekuwa Kenya......
Huu mgogoro isijekuwa UNACHOCHEWA NA WATU WA NJE HUKO kwa sababu ya maslahi yao binafsi........
Mkuu mbona sijaishambulia Kenya?!Pemba itakuja kuwa part of Kenya ikiwa tutapeleka Tanzania ICJ. Endeleeni kusherehekea hawa mashetani ICJ.
Ndivyo ilivyo,Sitetei upande wowote ule.....
Ila.....
Nimefuatilia madai ya Somalia na kuniachia "maswali mengi"....
Yaani wamechora "horizontal line" sawa na mpaka wao na Kenya!!
Imagine Kenya nayo ingechora "horizontal line" na mpaka wa Tanzania.....hwenda Pemba ingekuwa Kenya......
Huu mgogoro isijekuwa UNACHOCHEWA NA WATU WA NJE HUKO kwa sababu ya maslahi yao binafsi........
Hamna uwezo wa kuinyanganya eneo Tanzania Pemba haijawahi kuwa sehemu ya Kenya wala haitakuja kuwa sehemu ya Kenya.Pemba itakuja kuwa part of Kenya ikiwa tutapeleka Tanzania ICJ. Endeleeni kusherehekea hawa mashetani ICJ.
Somalia hawana tatizo kwani wao wanafuata sheria mpya ya mipaka. Sheria hii inairuhusu nchi yoyote ile kuchora laini inayofuata coastline ya nchi. Sheria hii mpya imeleta matizo duniani kote. Kenya ikiamua kutumia sheria hii basi nyie itabidi mtupatie Pemba. Kwa sasa nchi nyingi za Afrika zinafuata sheria ya zamani iliyokuwa inatumika enzi za Ukoloni. Hii ICJ ndio imeunda sheria hii mpya. Sheria hii mpya imeleta vurugu dunia nzima.Mkuu mbona sijaishambulia Kenya?!
Soma tena nilichoandika......
Ninashangazwa na madai ya Somalia kuchora "horizontal line"baina ya mipaka yenu.....
Sasa kama mstari umepinda kuelekea juu na ni mkoloni alichora hivyo unataka sisi Kenya tufanye vipi? By the way, umeona mstari ambao Somalia wanachora? Somalia wanachora mstari uliopinda kuelekea chini karibu na maeneo ya Mombasa. Hata afadhali basi mstari ungechorwa unaoelekea straight ambao haujapinda kuelekea juu wala chini.Kabla ya wakoloni ilikua ya nani?
Mkoloni ndio SI-Unit ya maisha?
Na aliwapa mstari umepinda juu namna hiyo?
Nimecheck na TZ-KE,mstari umepinda juu kama huo wa Somalia.....
Hii mistari sio sahihi on my personal opinion
Kwa mujibu wa sheria mpya ya mipaka ya ICJ, Pemba inaweza kuja kuwa mali ya Kenya. Ombeni Mungu tusiende ICJ. Kuna sheria mpya ya mipaka ambayo ICJ imeunda ambayo inaleta mtafaruku.Hamna uwezo wa kuinyanganya eneo Tanzania Pemba haijawahi kuwa sehemu ya Kenya wala haitakuja kuwa sehemu ya Kenya.