Kuhusu Kesi ya ICJ. Hawa Somalia kama wanatafuta kichapo kutoka Kenya basi watakipata tu

Kuhusu Kesi ya ICJ. Hawa Somalia kama wanatafuta kichapo kutoka Kenya basi watakipata tu

Hio part ilikuwa ya Kenya kutoka enzi za Ukoloni. So tunawaibia vipi?
Wacha uongo kijana.

Wewe mzee wenu alikuwa busy *akiunguza mboga*tu nairobi wala hakuwa na habari na huko pwani. Wala hakuwa anajua umuhimu wowote wa hiyo coastline. Alikuja kushituka in 70s ndio akachukua hilo eneo kimabavu.

Sasa hapo mlipata back up ya mabwana zenu, Ambao saiv hawawakubali baada ya kuona Wana share kitanda kimoja na mchina. Hivyo you are on your own now. Na mmeshapata fresh ndio maana mmejitoa ICJ na mnakimbila Meza ya majadiliano Kwa Sasa.. Kiburi, madharau na ujuaji kwishney...
 
Wacha uongo kijana.

Wewe mzee wenu alikuwa busy *akiunguza mboga*tu nairobi wala hakuwa na habari na huko pwani. Wala hakuwa anajua umuhimu wowote wa hiyo coastline. Alikuja kushituka in 70s ndio akachukua hilo eneo kimabavu.

Sasa hapo mlipata back up ya mabwana zenu, Ambao saiv hawawakubali baada ya kuona Wana share kitanda kimoja na mchina. Hivyo you are on your own now. Na mmeshapata fresh ndio maana mmejitoa ICJ na mnakimbila Meza ya majadiliano Kwa Sasa.. Kiburi, madharau na ujuaji kwishney...
Wewe ndio muongo. Wakoloni yaani the British na the Italians walikaa chini na kugawana coastline baina ya Kenya na Somalia. Hata catographic maps ambayo Britain ilichora miaka mia moja iliyopita inaonyesha wazi kwamba eneo hilo lilikuwa la Kenya. Italy na Britain walikubaliana na wakachora mipaka. Sasa ICJ imeibuka na sheria mpya ya mipaka ambayo imesumbua nchi nyingi duniani ikiwemo Cameroon na Nigeria
Bangladesh na India. Hii sheria mpya italeta myafaruku duniani kote.
 
Kwa mujibu wa sheria mpya ya mipaka ya ICJ, Pemba inaweza kuja kuwa mali ya Kenya. Ombeni Mungu tusiende ICJ. Kuna sheria mpya ya mipaka ambayo ICJ imeunda ambayo inaleta mtafaruku.
Kwani kunyaland mnaitambua ICJ? Si mmejitoa kwenye hiyo mahakama na mmesema hamtatambua maamuzi yake yoyote?

Hahaha nyang'au kashikika wallah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani kunyaland mnaitambua ICJ? Si mmejitoa kwenye hiyo mahakama na mmesema hamtatambua maamuzi yake yoyote?

Hahaha nyang'au kashikika wallah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatujajitoa kwenye mahakama ya ICJ. Tumejitoa kwenye kesi hio. Bado sisi ni mwanachama wa ICJ. Ila maoni yangu naona tujitoe ili tuwache kuwa mwanachama. Korti la kikoloni hilo.
 
Wewe ndio muongo. Wakoloni yaani the British na the Italians walikaa chini na kugawana coastline baina ya Kenya na Somalia. Hata catographic maps ambayo Britain ilichora miaka mia moja iliyopita inaonyesha wazi kwamba eneo hilo lilikuwa la Kenya. Italy na Britain walikubaliana na wakachora mipaka. Sasa ICJ imeibuka na sheria mpya ya mipaka ambayo imesumbua nchi nyingi duniani ikiwemo Cameroon na Nigeria, Bangladesh na India. Hii sheria mpya italeta myafaruku duniani kote.
Leta proof kwamba your claimed border line huko coastline ilikuwepo kitambo. Wewe unadhani Somalia walipeleka utetezi na ushahidi wa kitoto huko ICJ nini?

Unadhani kama Mngekuwa na haki mngekimbia mahakama kama mlivyofanya? Mbona mnataka mkae mezani na kumalizana na Somalia nje ya mahakama?
 
Hatujajitoa kwenye mahakama ya ICJ. Tumejitoa kwenye kesi hio. Bado sisi ni mwanachama wa ICJ. Ila maoni yangu naona tujitoe ili tuwache kuwa mwanachama. Korti la kikoloni hilo.
Hahahaha Leo mkenya anaongelea ukoloni na ubeberu...

Hebu kaulize kwenye wizara yenu ya mashauri ya kigeni kuwa ni mmejitoa tu kwenye kesi au mmejiondoa kabisa kwenye hiyo mahakama.

You're so yesterday man...
 
Leta proof kwamba your claimed border line huko coastline ilikuwepo kitambo. Wewe unadhani Somalia walipeleka utetezi na ushahidi wa kitoto huko ICJ nini?

Unadhani kama Mngekuwa na haki mngekimbia mahakama kama mlivyofanya? Mbona mnataka mkae mezani na kumalizana na Somalia nje ya mahakama?
Wewe huelewi. Border za Afrika zilichorwa na wakoloni. Ya Kenya na Somalia zilichorwa na Britain na Italy. Sasa ICJ ikaja na sheria mpya ya mipaka ambayo inabadilisha mipaka ya nchi nyingi. Soma hapa
Sisi tukienda ICJ na ICJ itumie sheria hii mpya basi Pemba itakuwa mali yetu. Naomba uelewe kinachojadiliwa hapa ni kati ya sheria ya enzi za ukoloni na sheria mpya ya ICJ. Pemba itakuwa mali yetu tukitumia hio sheria mpya.
 
Hahahaha Leo mkenya anaongelea ukoloni na ubeberu...

Hebu kaulize kwenye wizara yenu ya mashauri ya kigeni kuwa ni mmejitoa tu kwenye kesi au mmejiondoa kabisa kwenye hiyo mahakama.

You're so yesterday man...
Leta evidence.
 
Kwa mujibu wa sheria mpya ya mipaka ya ICJ, Pemba inaweza kuja kuwa mali ya Kenya. Ombeni Mungu tusiende ICJ. Kuna sheria mpya ya mipaka ambayo ICJ imeunda ambayo inaleta mtafaruku.
😳😳🤣🤣Acha "pang'ang'a" wewe.....
 
Wewe huelewi. Border za Afrika zilichorwa na wakoloni. Ya Kenya na Somalia zilichorwa na Britain na Italy. Sasa ICJ ikaja na sheria mpya ya mipaka ambayo inabadilisha mipaka ya nchi nyingi. Soma hapa
Sisi tukienda ICJ na ICJ itumie sheria hii mpya basi Pemba itakuwa mali yetu. Naomba uelewe kinachojadiliwa hapa ni kati ya sheria ya enzi za ukoloni na sheria mpya ya ICJ. Pemba itakuwa mali yetu tukitumia hio sheria mpya.
Wewe nakwambia mzee wenu alikuwa busy huko nairobi akasahau Habari za pwani na mipaka ya bahari.

Hiyo wazungu kuigawa Afrika ipo wazi. Ila nyie hamkujali bahari. Wazee wenu walikuja kushituka baadae sana. Na ndio ugomvi ukaanzia hapo. Mimi nauliza hilo eneo mlianza kulichukua na kulitambua lini kama kenya? Achana na wakoloni maana wakoloni hawakuwahi kuchora mipaka ya Tanzania, au Zimbabwe.

Hilo eneo mlilikumbuka baadae wakati somalia akiwa ameshajimilikisha kihalali. Hivyo kusema mtakuja TZ ku claim ni upuuzi tu. Mlishindwa kutetea eneo lenu mapema hadi Somalia akachukua ndio muweze kuanzisha fresh battle na Tz?
 
Wewe nakwambia mzee wenu alikuwa busy huko nairobi akasahau Habari za pwani na mipaka ya bahari.

Hiyo wazungu kuigawa Afrika ipo wazi. Ila nyie hamkujali bahari. Wazee wenu walikuja kushituka baadae sana. Na ndio ugomvi ukaanzia hapo. Mimi nauliza hilo eneo mlianza kulichukua na kulitambua lini kama kenya? Achana na wakoloni maana wakoloni hawakuwahi kuchora mipaka ya Tanzania, au Zimbabwe.

Hilo eneo mlilikumbuka baadae wakati somalia akiwa ameshajimilikisha kihalali. Hivyo kusema mtakuja TZ ku claim ni upuuzi tu. Mlishindwa kutetea eneo lenu mapema hadi Somalia akachukua ndio muweze kuanzisha fresh battle na Tz?
Kwani kama Somalia alijimilikisha eneo hilo hio haimaanishi kwamba wao ndio wamiliki halali. Hata wewe ukienda kumiliki na kuishi kwenye ardhi ya wenyewe haina maana kwamba wewe ndio mmiliki halali. Anyway kamwambie Somalia aje achukue kipande cha bahari lake tuone kama ataweza.
 
Wewe nakwambia mzee wenu alikuwa busy huko nairobi akasahau Habari za pwani na mipaka ya bahari.

Hiyo wazungu kuigawa Afrika ipo wazi. Ila nyie hamkujali bahari. Wazee wenu walikuja kushituka baadae sana. Na ndio ugomvi ukaanzia hapo. Mimi nauliza hilo eneo mlianza kulichukua na kulitambua lini kama kenya? Achana na wakoloni maana wakoloni hawakuwahi kuchora mipaka ya Tanzania, au Zimbabwe.

Hilo eneo mlilikumbuka baadae wakati somalia akiwa ameshajimilikisha kihalali. Hivyo kusema mtakuja TZ ku claim ni upuuzi tu. Mlishindwa kutetea eneo lenu mapema hadi Somalia akachukua ndio muweze kuanzisha fresh battle na Tz?
Somalia atapata kichapo kizito akijaribu kuleta ujinga.

 
Kwani kama Somalia alijimilikisha eneo hilo hio haimaanishi kwamba wao ndio wamiliki halali. Hata wewe ukienda kumiliki na kuishi kwenye ardhi ya wenyewe haina maana kwamba wewe ndio mmiliki halali. Anyway kamwambie Somalia aje achukue kipande cha bahari lake tuone kama ataweza.
Anachukua au ndio mali yake? Niambie kwanini mmekimbia mahakama mnataka kumalizana mezani na Somalia.
 
Somalia atapata kichapo kizito akijaribu kuleta ujinga.

Bahati mbaya hamtakuwa mnapambana na Somalia pekee. Dunia haitaweza kuvumilia kuona nchi moja inataka kuchukua eneo la nchi nyingine kimabavu
 
Anachukua au ndio mali yake? Niambie kwanini mmekimbia mahakama mnataka kumalizana mezani na Somalia.
Kwa sasa hata mambo ya kumalizana mezani utapitwa na wakati baada ya hukumu kutolewa na ICJ. Baada ya judgement, hakutakuwa na mazungumzo tena. Kenya itaanza rasmi kupatrol bahari yake. Kama Somalia wana ubavu basi wajaribu kusogea mipaka ya Kenya waone kitakachowapata.
 
Bahati mbaya hamtakuwa mnapambana na Somalia pekee. Dunia haitaweza kuvumilia kuona nchi moja inataka kuchukua eneo la nchi nyingine kimabavu
ICJ haina nguvu ya kuimplement judgement zake. Judgement za ICJ zinaweza kupuuziliwa mbali bila madhara yoyote. ICJ haina army wala Navy. Ni wazee 13 wanaotoa amri huko Ulaya lakini vitu kwenye ground ni different.
 
Kwa sasa hata mambo ya kumalizana mezani utapitwa na wakati baada ya hukumu kutolewa na ICJ. Baada ya judgement, hakutakuwa na mazungumzo tena. Kenya itaanza rasmi kupatrol bahari yake. Kama Somalia wana ubavu basi wajaribu kusogea mipaka ya Kenya waone kitakachowapata.
We are waiting... For that to happen. But only if you have steel balls.

Hata migingo ilikwenda hivi hivi mkaishia kubweka bweka tu... [emoji23][emoji23]
 
ICJ haina nguvu ya kuimplement judgement zake. Judgement za ICJ zinaweza kupuuziliwa mbali bila madhara yoyote. ICJ haina army wala Navy. Ni wazee 13 wanaotoa amri huko Ulaya lakini vitu kwenye ground ni different.
Hizo dharau zenu na kiburi hizoo..

Oohooo..
 
We are waiting... For that to happen. But only if you have steel balls.

Hata migingo ilikwenda hivi hivi mkaishia kubweka bweka tu... [emoji23][emoji23]
Wakenya bado wanaishi kwenye migingo. Halafu Uganda tunatrade nao sana. Somalia hatuna uhusiano nao zaidi ya wao kutuma Al Shabab kufanya mashambulizi Kenya.
 
Back
Top Bottom