Kuhusu Kesi ya ICJ. Hawa Somalia kama wanatafuta kichapo kutoka Kenya basi watakipata tu

Kuhusu Kesi ya ICJ. Hawa Somalia kama wanatafuta kichapo kutoka Kenya basi watakipata tu

Kwa mujibu wa sheria mpya ya mipaka ya ICJ, Pemba inaweza kuja kuwa mali ya Kenya. Ombeni Mungu tusiende ICJ. Kuna sheria mpya ya mipaka ambayo ICJ imeunda ambayo inaleta mtafaruku.
Nikuhakikishie kwamba hamna uwezo hata hii Tanzania haijajengwa na wakoloni.nikuulize swali hii Pemba imeshawahi kuwa Kenya?
 
Bahati mbaya hamtakuwa mnapambana na Somalia pekee. Dunia haitaweza kuvumilia kuona nchi moja inataka kuchukua eneo la nchi nyingine kimabavu
Sidhani kama wanamfahamu Mturuki na zile drone zake [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikuhakikishie kwamba hamna uwezo hata hii Tanzania haijajengwa na wakoloni.nikuulize swali hii Pemba imeshawahi kuwa Kenya?
La. Haijawahi. Pia maeneo ya Lamu hayajawahi kuwa eneo la Somalia. Ukiona mstari ambayo Somalia inachora, ina maana kwamba maeneo ya Lamu itakuwa ndani ya Somalia? Yaani hata Lamu port itakaribiana na Somalia? Somalia anataka kuchukua hata maeneo ambayo milele yamekuwa maeneo ya Kenya. Tazama mstari ambayo Somalia anachora kuelekea chini sana utaona anataka kuchukua hata maeneo ambayo milele yamekuwa ni maeneo ya Kenya. Yaani wanachora mstari unaelekea karibu Mombasa huko eti huko nako ni Somalia?
 
La. Haijawahi. Pia maeneo ya Lamu hayajawahi kuwa eneo la Somalia. Ukiona mstari ambayo Somalia inachora, ina maana kwamba maeneo ya Lamu itakuwa ndani ya Somalia? Yaani hata Lamu port itakaribiana na Somalia? Somalia anataka kuchukua hata maeneo ambayo milele yamekuwa maeneo ya Kenya. Tazama mstari ambayo Somalia anachora kuelekea chini sana utaona anataka kuchukua hata maeneo ambayo milele yamekuwa ni maeneo ya Kenya. Yaani wanachora mstari unaelekea karibu Mombasa huko eti huko nako ni Somalia?
Hayo maeneo yalikuwa somalia.nikuhakikishie hamna huo uwezo Kwa sababu Kwanza Sisi ni Tanzania.pia hiyo Pemba haijawahi kuwa kenya.ila wasomali wanasema hayo maeneo yalikuwa Yao ndo maana mmepoteza kesi[emoji23][emoji23][emoji23]hamna uwezo wa kuchukua eneo lolote la Tanzania.kiufupi hamna nchi yoyote inayoweza kubattle na Tz kwenye mipaka.
 
Hayo maeneo yalikuwa somalia.nikuhakikishie hamna huo uwezo Kwa sababu Kwanza Sisi ni Tanzania.pia hiyo Pemba haijawahi kuwa kenya.ila wasomali wanasema hayo maeneo yalikuwa Yao ndo maana mmepoteza kesi[emoji23][emoji23][emoji23]hamna uwezo wa kuchukua eneo lolote la Tanzania.kiufupi hamna nchi yoyote inayoweza kubattle na Tz kwenye mipaka.
Sio kwamba tutachukua kimabavu, ni kwamba ICJ itatupatia kisheria.
1633773905576.png

Tazama map hii vizuri. Chukua muda wako. Itazame tena. Ikiwa Somalia ana haki ya kuteremsha mipaka yake ili ilingane na land boundary yake, basi pia Kenya tuna haki hio hio.
 
La. Haijawahi. Pia maeneo ya Lamu hayajawahi kuwa eneo la Somalia. Ukiona mstari ambayo Somalia inachora, ina maana kwamba maeneo ya Lamu itakuwa ndani ya Somalia? Yaani hata Lamu port itakaribiana na Somalia? Somalia anataka kuchukua hata maeneo ambayo milele yamekuwa maeneo ya Kenya. Tazama mstari ambayo Somalia anachora kuelekea chini sana utaona anataka kuchukua hata maeneo ambayo milele yamekuwa ni maeneo ya Kenya. Yaani wanachora mstari unaelekea karibu Mombasa huko eti huko nako ni Somalia?
Sasa kwanini wanataka kushinda.nyie mmekosea wapi Mombasa haiweZi kuwa somalia.nachojua Mombasa ilikuwa chini ya sultan wa Zanzibar au.
 
Sio kwamba tutachukua kimabavu, ni kwamba ICJ itatupatia kisheria.
View attachment 1969179
Tazama map hii vizuri. Chukua muda wako. Itazame tena. Ikiwa Somalia ana haki ya kuteremsha mipaka yake ili ilingane na land boundary yake, basi pia Kenya tuna haki hio hio.
Nakuhakikishia hamuwezi kushinda dhidi ya Tanzania jiulize kwanini Somalia inafanya hivyo labda mshawahi kuimega Somalia au.kwasababu huwezi from no where kuanza kudai eneo la nchi nyingine.
 
Sio kwamba tutachukua kimabavu, ni kwamba ICJ itatupatia kisheria.
View attachment 1969179
Tazama map hii vizuri. Chukua muda wako. Itazame tena. Ikiwa Somalia ana haki ya kuteremsha mipaka yake ili ilingane na land boundary yake, basi pia Kenya tuna haki hio hio.
Hilo eneo mnaloligombea na Somalia kwanini wanasema ni Lao?
 
Hilo eneo limekuwa la Kenya tangu enzi za Ukoloni. Wacha kuongea vitu usivyovifahamu wewe.
Wasomali ni natives hapo jifunze historia. Hiyo ni sehemu ya Somalia hata kabla ya ukoloni.
 
Upuzi mtupu hamna nchi kama Somalia ,Kuna Jubba land,Somali land maeneo yenye migogoro na magaidi wa Alshabab.
 
Lakini Kenya imeshasema haitambui judgement itakayotolewa na mahakama ya ICJ.



Kutotambua hukumu ya ICJ, Hii ni nature ya "Lawlessness"---- msidhani ni hiyo sifa nzuri.😱
 
Pemba itakuja kuwa part of Kenya ikiwa tutapeleka Tanzania ICJ. Endeleeni kusherehekea hawa mashetani ICJ.
Una jua pale tanga kale kampaka kana kunja kuelekea juu baharini (Upande Kenya ilipo
 
Naona nyang'au katoka baru na chu++p mkononi... Nyundo za msomali zimewabonda sana huko ICF.

Hata kama mmejitoa kwenye mahakama hiyo bado ushindi atapewa Somalia coming Tuesday next week mtake msitake.. Sasa ndio mtajua hamjui.

Sogezeni pua chini kidogo Kwa kuleta nyee nyee nyeee tumalizie msumari wa mwisho.
Tanzania supports the decision of ICJ.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama Msomali ni mwanaume kamili mwenye mak-3nde mbili, basi mwambie aje ajaribu kunyakua ardhi au bahari ya Kenya aone kile kipigo atakachopokea. Atapigwa hadi aingize mkia katikati ya miguu.
Alshabab wamewashinda, hamuwezi shinda vita dhidi ya Ethiopia
 
Back
Top Bottom