Kuhusu kununua gesi na mafuta kwa Rouble: Putin awafanya mabeberu Kama watoto wadogo

Nakushukuru Sana kwa kulifafanua jambo hili kwa maelezo ya kueleweka Sana!! Mwisho wa siku mauzo ya gesi na mafuta yataingiza Rouble kwenye akiba ya Urusi na Siyo Dola!

Mbona umekomaa na dola na sio Euro.
Ongelea euro ndo inahisika hapa.
 

Usiponunua utaishije? Usafiri/gari inahitaji mafuta/gesi, kupikwa vyakula vinahitaji gesi. Sasa nani anajikomoa hapo!! Na hapo hapo india atanunua kwake, na india ina population kubwa kuizidi ulaya yote.
 
Hizo habari mnazitoa wapi mbona RT news hii habari haipo?

Soma habari kutoka katk website yao hamna hiyo habari.
 
hivi umesoma taarifa ya maongezi ya kansela wa ujerumani na rais Putin yaliyofanyika jana tarehe 30/03/2022, yaani siku moja kabla ya deadline iliyowekwa na urusi? Itafute taarifa hiyo halafu urudi hapa. Inaelekea uko nyuma sana ya wakati!
 
hivi umesoma taarifa ya maongezi ya kansela wa ujerumani na rais Putin yaliyofanyika jana tarehe 30/03/2022, yaani siku moja kabla ya deadline iliyowekwa na urusi? Itafute taarifa hiyo halafu urudi hapa. Inaelekea uko nyuma sana ya wakati!
RT pamoja na kufungiwa na nchi za Magharibi, ila ndio source ya uhakika kwa habari za russia,nimeingia kwenye website yao hamna hiyo habari.
 
Marekani keshabwaga manyanga tayari asubuhi na mapema baada ya kuona baadhi ya vikwazo ilivyoiwekea urusi vinawaumiza wamarekani zaidi. Amua kuviondoa hivyo vikiwemo ununuzi wa mbolea, vyakula nk kutoka Urusi!!
Nashangaa nchi za ulaya hazishtuki tu, wanamwona marekani akiachana na vikwazo vinavyoiumiza huku ikizishinikiza nchi za ulaya ziachane na gesi rahisi ya urusi halafu ziumie na gesi ya bei kubwa toka marekani!! Wazungu wa ulaya inabidi wapimwe akili! Ona marekani ilivyoachana na vikwazo kwa Urusi vinavyoiumiza yenyewe zaidi!

US exempts critical Russian commodity from sanctions​

Washington aims to protect farmers from fertilizer shortages

© Getty Images / Westend61
Washington has eased sanctions on Russian agricultural products, including fertilizers, placed on Moscow over the crisis in Ukraine. The move aims to protect US farmers from a shortage of chemical products as food prices in the country continue to soar.
The Office of Foreign Assets Control (OFAC) of the US Treasury recently published a new general license dated March 24, which effectively removed restrictions on the import of Russian fertilizers.
The document authorized transactions relating to the exportation and re-exportation of agricultural commodities, banned last month by Washington’s ‘Russian Harmful Foreign Activities Sanctions Regulations’.
The list of agro-related products now exempt from sanctions includes food for humans, live animals, vitamins and minerals, food additives and supplements, seeds for food crops, fertilizers, and reproductive materials.
Exemptions also cover medicine, medical devices, software updates, and replacement parts for medical devices and Covid-19-related medical components. Analysts say the EU may soon mirror the measure.

Kwa kweli akili ni nywele kila mtu ana zake, japo wengine wna upaa!
 
Kwani gesi na mafuta urussi anawapa bure ulaya anawauzia kwa hiyo ulaya kugoma kunamfanya urussi naye ku-loose sababu mapato asilimia 30 ya Russia yanatokana na kuuza gesi na mafuta, kwa hiyo ni hasara kwa pande zote
5% tu ya GDP ya Russia ndio inategemea Export ya Mafuta na Gas.
Wakati, Nchi za Ulaya zinategemea 40% ya Gas na Mafuta ya Russia.

Pia kuna mataifa Mengi ya Asia, ambayo kwa sasa, ndio Economic zone ya Dunia, wapo willing kupata Gas na Mafuta ya Russia itakapo patikana nafasi.

So unaona big loser ni nani hapa,Ulaya.


Kutaka Mafuta,Mbolea na Gas yake zinunuliwe na pesa yake, ni kuwataka Ulaya ku pandisha thamani ya pesa wanayo fanya juu chini kuishusha
 
Kinachofuata atawaambia waziachie Mali zote Russia wanazozishikilia otherwise hauzi mafuta
 
Ni HALALI 100% kumsifia URUSI na tafadhali usione wivu wala chuki! Wao walitaka wamuue Urusi kifo cha mende! Walitaka atoke 3-0!!! hata kama kalazimisha 0-0 kama unavyodai wewe huoni kama ameshinda? Malengo yao katika hilo yameshindwa, kwa kifupi wameshindwa!
 
Mikataba inasema ulaya atamlipa urussi kwa dollar au euro ikinunua gesi na mafuta hizo narrative Zako unazitolea wapi
Kwamba wajerumani hawajui mikataba inasemaje?
Au kwenye hiyo mikataba kuna kipengele cha kufanya biashara kwa dola halafu upande mmoja uwe na uwezo wa kumuwekea muuzaji vikwazo kwenye matumizi ya dola!?
Kubali tu kuwa,wamagharibi hapa walichemka. Walifikiri kwakutumia masaburi

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
tofauti urusi atabaki na mafuta na gesi yake huku wengine wakifunga viwanda, kupunguza wafanyakazi na kuongeza mfumuko wa bei
Kwahiyo Russia hatakuwa na cha kupoteza kwa kukosa mapato ya gas? Yeye maisha yake yataendelea kuwa vilevile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…