Kuhusu kununua gesi na mafuta kwa Rouble: Putin awafanya mabeberu Kama watoto wadogo

Kumbe Putin ni genius
Easterners ni magenius kitambo. Na long game ndio jambo lao.

Usifikiri russia imeshindwa kumaliza vita na ukraine. Ni mchezo tu.

Awali Russia ilikuwa inauza dolla na kununua gold. Sasa naona anaendeleza kufanya hivyo, hivi sasa akitumia vikwazo kuwa fanya wanunue ruble na kuipandisha dhamani. Hii inaleta trade za dola kuvunjika na kuikaribisha ruble. Dedollarisation.

Kwa vita ya urusi, bado ni somo kwa nato na njama zao za kutanua ulaya. Tutajifunza mengi sana katika somo hili.
 
Mtoto ni yeye sasa ananunua sukari kwa folen na mwisho ni 2kgs kwa mtu mmoja.,

Toka russia atangaze malipo kw ruble umeskia nchi yoyote ikilipa kwa hiyo ruble??
 
Kwani gesi na mafuta urussi anawapa bure ulaya anawauzia kwa hiyo ulaya kugoma kunamfanya urussi naye ku-loose sababu mapato asilimia 30 ya Russia yanatokana na kuuza gesi na mafuta, kwa hiyo ni hasara kwa pande zote
Uchumi wa Russia hategemei tena kwa kila kitu kwa gesi na mafuta siku hizi. Wanavyanzo vipya vya mapato, na vya uhakika.
 
Kuna yule mjaluo MK254 mwenye roho mbaya kama kiatu cha mgambo akiiona taarifa kama hii roho inauma balaa.
Putin shikilia hapohapo baba. Soon wataanza kuongea lugha moja. Shubamiti.....
 
Umenena kweli italy alipata shida sana ilikuwa wakati wake sasa apumzike lkn majanga mengine yanatokea.
 
Na anaipa thamani ruble kwa kuithaminisha na dhahabu haitakua ni pesa ya karatasi tu kama dola ambayo jamaa wakijiskia wanaiprint tu wanavyotaka....kua na ruble itakua sawa na kua na kiasu fulani cha dhahabu na huu ndo mfumo wa sarafu wa tokea zamani.....shida hawa wahuni mmarekani na wenzie wakaja kufanya utapeli sababu ya mabavu yao.......pesa yao haijawa backed na kitu chochote cha thamani sema wanalazimisha tu kuipa thamani kwa kulazimisha matumizi yake kwenye biashara , ila nyakati zinabadilika
 
Ni kweli kabisa, thamani ya Dola Haina uhalisia! Imeshinikizwa hapo kibabe tu!! Ni thamani ya kufikirika tu!! Ni karatasi iliyopewa thamani kwa kauli tu!!! Ila muda wake wa kudorola umefika! Nchi nyingi zitazinduka macho!! Nchi nyingi haziogopi téna vitisho vya Marekani! Kwa mfano India na Pakistan wamemgomea Marekani kuhusu shinikizo la kuisusia Urusi! china kadhalika, mexico, Brazil, afrika ya kusini nk!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…