Kuhusu kuuawa Hayati Mzee Ali Kibao, Mwandishi nguli wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti ameandika haya, inafikirisha!

Amendika ujinga wa hali ya juu. Sativa alitaka kuuawa, alikuwa na uhalifu gani? Haya, hata kama ni uhalifu, kwa nini wasichukuliwa hatua?
Mbona maswali yako ndio maswali ya mwandishi? Japo kwa muonekano tofauti but same mantiki.

Hujasoma mwandishi alipouliza kwanini marehemu akauwawa badala ya kupelekwa mahakamani?!

Hii yote ni kutaka sheria ifuate mkondo wake, kama utakavyo wewe unapouliza kwanini wasichukuliwe hatua!.

Halafu mwandishi kwenye andiko lake lote hajazungumzia suala la Sativa, kamzungumzia Marehemu Kibao.

Hili tatizo lenu la kuchanganya mambo ndilo linawafanya mumuone mbaya, bado hamjaweza kuhukumu kitu kulingana na kinavyokuja mbele yenu, wengine mnaishia kuhukumu historia ya mwandishi, wengine ndio mnachaganya yasiyokuwepo ilimradi tu iwe vurugu.
 
Upumbavu mtupu. Alipouawa Mwangosi mwandishi wa habari wa channel ten si ni polisi ndio walisema CDM ndio waliohusika lakini baadae zikasambaa picha kumuonesha polisi akimfyetulia kilipukizi Mwangosi.

Watanzania sio wajinga tena. Na hata sakata la mzee Kibao ni serikali imejifanya kushtuka kwa sababu wananchi wameshagundua jambo.
 
Hizo ni ‘circumstantial accusations’ tu kwenye case ushahidi wa aina hii auna merit peke yake. .

Halikadhalika mpaka sasa polisi wana strong lead kwenye hii case pakuanzia, person of interests na ushahidi mwingine (should they read careful, hata mada za JF tu).

Huko sasa ni dangerous territory ambazo sisi wa huku Bugurani kwa mnyamani atutaki kujihusu. Iła kuna loopholes nyingi sana za wahalifu kuweza ku-crack hii case.
 
Uko sahihi kachambua kitaalamu kuna humu zilikuja nyuzi zilifutwa zillandika kuhusu ugaidi uliokuwa unapangwa kuanzia kwenye zoom na Tanga huko kwa kushirikisha wasomali alshababu na wakatajwa viongozi wa Chadema kwa majina waliohudhiria hivyo vikao huko na kueleza kuwa athari zingekuwa mbaya kwa nchi

Vizuri kujadili. Mada kwa utulivu
 
Unaandika polisi wana "strong lead" ipi hiyo?

- Polisi waliotutangazia kuna watuhumiwa lakini wakashindwa kuwakamata?

- Polisi wanaoachia vyombo vingine vitekeleze majukumu yao, sasa kwa hili tukio jukumu la jeshi la polisi ni lipi kama wanashindwa kumkamata hata mhalifu wanayemdhania asiyekuwa na silaha yoyote?

Polisi hawana mlango wa kutokea kwenye hii kesi, walitumiwa na wasiojulikana kutangaza mbinu walizoita ovu za Chadema, ili baadae waache wasiojulikana wafanye ukatili wao kwa marehemu, polisi wetu wanatumika vibaya na wahuni.
 
Nasemaje!
Mkakojoe mlale maana naona hamjamwelewa mwandishi kiundani then mkikurupuka mtaendelea kupiga domo, are we together?
 
Endelea kujiongopewa queries kadhaa kwa watu waliokuwa open minded kwenye hii case zimepata majibu kwa upande kwangu (tena kwa kupitia mada za JF tu).

Kama nilivyosema hiyo ni dangerous territory ambayo binafsi siwezi kujihusisha tena, be it baadhi ya hizo queries nilishawahi andika humu siku mwili ulipopatikana na majibu nimeyapata humu humu.

Jamaa hawapo makini kabisa (accomplices), sasa ni polisi kufanya kazi yao.

Hayo mengine ni baseless accusations żako tu.
 
Kuna vijana kadhaa wa uvccm wapo kwenye kambi kadhaa za JWTZ wakipewa mafunzo maalumu.
Tuendako ni hatari!
 
Huyu muandishi amehitimu chuo cha lumumba pale kwenye ukijani.
 
Una tatizo upstairs.

Polisi wanatuambia Chadema wana mpango wa kuvamia vituo vya polisi Dsm, kwanini wasiwakamate wahusika wa huo mpango kama kweli ulikuwepo ili wawapeleke mahakamani?

Badala yake polisi baada ya kututangazia uwepo wa huo mpango, wasiojulikana wanamkamata marehemu wanampiga mpaka kumuua, hivyo ndivyo sheria zetu zinavyoagiza?!

Unatumia maneno "baseless accusations" sijui hiyo sheria yako umejifunzia wapi wewe kama hata a.b.c za sheria zetu huzijui.

Hujawahi kusikia polisi wakisema "watuhumiwa/mtuhumiwa atafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika" why kwa marehemu haikuwa hivyo?

Uko empty, hujui kitu.
 
CONCEPT ya kuuawa kwa MED mwandishi ameiweka wazi. CHADEMA msituharibie amai ya nchi kwa uchu wa Madaraka. Vyombo vya usalama ongezeni nguvu. Hilo liwe fundisho kwa VIONGOZI WA CHADEMA.
 
CONCEPT ya kuuawa kwa MED mwandishi ameiweka wazi. CHADEMA msituharibie amai ya nchi kwa uchu wa Madaraka. Vyombo vya usalama ongezeni nguvu. Hilo liwe fundisho kwa VIONGOZI WA CHADEMA.
Bora mzee wako angeenda tu washroom hata na lotion ya nivea akazipunguze kisha aflash . Pengine ingesaidia sana kupunguza humanoid specie aina yako.
 

Na ndicho nilichokuwa nakiwaza, kwamba Kwa madai ya polisi, walikua na taarifa za uhakika pasi shaka kuhusu uvamizi wa vituo kadhaa.
Nilitegemea hiyo iwe hatua ya muhimu na awali kabisa kuwafikisha wahusika kwenye vyombo vya Sheria Kwa taratibu zilizopo.

Hii inazua maswali mengi kuhusu weledi na umahiri wa jeshi letu kwenye utendaji kazi wake. Pelekezi na tuhuma mbali mbali wanazikabili kwa mwenendo wa aina hii?

Kwa namna Moja, kama ni kweli madai ya polisi walikua na hizo taarifa zisizoshaka, hii ilikua ni njia rahisi na nyepesi kabisa ya kuimaliza CDM Kwa taratibu za kisheria.
 
Usahihi na lengo la taarifa yoyote ni muhimu sana kwenye taasisi yoyote.
Bingwa wa upasuaji aweza kumpasua mgonjwa kichwa badala ya mguu kutokana na taarifa na vipimo visivyo sahihi kutoka kwa wasaidizi wasio na weledi au wanaotunga na kuandika uongo kwa malengo yao au ujinga tu.
Ukweli au usahihi huweka watu huru Ila uongo una gharama ya kuulinda au kuuhalalisha kwa muda (temporary), ambazo matokeo ni madhara na kuongeza uongo unaoharibu zaidi.
 
Upo kila sehemu kwa sababu kichwa chako kinaishi lala/land and you think that’s how actually the world as in your little pathetic head.

Kazi ya polisi pia ni kuzuia uhalifu kabla aujatokea. Unataka wasubiri mpaka madhara yatokee ndio wachukue hatua. Kuna wasaa kama hawajui siku wala saa ya tukio busara ni kuonya watu waache.

Sasa utakwenda kuwakamata watu bila ya strong evidence (hata kama una intelligence mipango yao). Utakwenda kuwashitaki mahakamani kwa ushahidi gani uliojitosheleza. Ndio msingi wa kukuuliza unafahamu conditions ‘actus reus na mens rea’ kwenye criminal case zote hizo lazima uthibitishe.

Sikiliza unaweza endelea ugomvi na wengine misikuingia kwenye hii mada kwa malengo ya kulumbana hasa mambo ya kijinga unayofikiria kichwani thinking that’s how actual the world works.
 
Kama polisi hawakuwa na ushahidi kwanini wakatutangazia kwamba Chadema wana mpango wa kuvamia vituo vya polisi Dsm?!

Kwamba unaona sahihi polisi kufanya kazi ya kuhisi?!

Uhalifu waliouzuia ni upi, kumuua marehemu bila ushahidi wa kosa lake? huoni kama walimuonea? au kututangazia Chadema wabaya kisha kuwatuma wasiojulikana?

Wewe ni mjinga kama hao polisi unaowatetea, wasting my time idiot.
 
Kama polisi hawakuwa na ushahidi kwanini wakatutangazia kwamba Chadema wana mpango wa kuvamia vituo vya polisi Dsm?!

Kwamba unaona sahihi polisi kufanya kazi ya kuhisi?!

Wewe ni mjinga kama hao polisi unaowatetea, wasting my time idiot.
Walikwambia wamehisi au wanataarifa za intelligence. Kwani si kunaweza kuwa na rat kwenye hiyo mipango akapeleka umbea.

Sasa polisi wenye jukumu la kuzuia uhalifu hawana jukumu la kuonya. Kwani si hata ubalozi wa marekani uwa inatoa warning kadhaa kuna hatari ya attacks.

Polisi kusema waliyosema hawana ulazima wa kwenda kukamata watu ushahidi wao autoshelezi kukamata watu.

Wewe sasa kama kauli hiyo imekuuma sana unaweza ongea na uongozi wa CDM kwenda kuwafungulia kesi ya defamation polisi watoe ushahidi wa intelligence yao, au waombe radhi. Lakini sio kuongea hatua za kuchukuliwa watu ambazo hazina uzito.

Huna unalolijua usinichoshe tafadhali, mkishaandika ujinga wenu humu na kugongeana likes basi mnaamini mna akili kweli.

Mie nishamalizana na wewe, ain’t nobody got time to entertain your nonsense any longer.
 
Waandishi kama wewe ndiyo tunawahitaji hapa JF. Siyo kina Lucas na watoa mitusi na wapingaji.
 
Ndo Tanzania ya CCM hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…