Kuhusu Mbowe na COVID 19 kula deal, nimesikitika sana-sana

Kuhusu Mbowe na COVID 19 kula deal, nimesikitika sana-sana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa


Ishu ya wabunge 19 Mbowe hajui anything

Hata wenyewe wabunge hawajui Nani amehusika na mpango mzima

Mbowe kaja kujua 3hrs before kuapishwa wale wabunge

Kwa hili namtetea
 
Mbowe ni mfanyabiashara aliyefanikiwa kufanya biashara na CCM kwa kipindi kirefu sana
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Ndiyo maana mimi nasema hivi:
Ukiitwa kwenye harakati za mtu hakikisha ukishiriki na kuhatarisha maisha yako uwe na uhakika usio na shaka kuwa mnapigania the same course.
vinginevyo unaweza kuwa unatumiwa na mtu kutimiza mambo yake. Unajua duniani unahitaji watu wa kukuunga mkono ili kufanya mambo fulani.
Lema anasema Mbowe watu aliwaona wanafaa kusherehekea nao mwaka mpya nyumbani kwake ni Covid-19 ndiyo ambao aliwaalika kula nao mwaka mpya.
Akili kumkichwa mtu wangu.
 
Pia tujiulize, ni nani aliyefoji sahihi ya KM Mnyika?
Mchakato wote ni mkubwa kwa Covid 19 kufanya peke yao bila msaada wa ndani.
Ukiona mnyika yuko kimya, jua kuna jambo.
Mchakato ulichezwa na jpm na ccm ila bila shaka akina mbowe walijua kabisa. Wengine na wale wanawake wengine waliokataa kumbe walikuwa wanawachora.
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Mimi mwenyewe baada ya kumsikiiza Lema jana nilitota jasho....Mbowe hapana ni ccm na Fisadi Kuu
 
Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Acheni kumtisha mjomba angu
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Mie hata kufuatilia nimeacha kabisa. Nasakaa tonge tu. Watanzania ndiyo walewale, CCM kama chadema....labda tufe wote wabaki watoto wadogo
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?
 
Pia tujiulize, ni nani aliyefoji sahihi ya KM Mnyika?
Mchakato wote ni mkubwa kwa Covid 19 kufanya peke yao bila msaada wa ndani.

Uliona signature ya myika kwenye form?
 
Back
Top Bottom