Kuhusu Mbowe na COVID 19 kula deal, nimesikitika sana-sana

Kuhusu Mbowe na COVID 19 kula deal, nimesikitika sana-sana

Acha kutetea ujinga, lazima chama kijisafishe.
Halima Mdee aliwahi kunukuliwa kwa kauli yake kuwa inshu ya ubunge wao ina baraka za mwenyekiti.
Mbowe alikutana nao Nairobi kwa mapumziko mara tu baada ya kufukuzwa kwao na amekuwa akiwaalika nyumbani kwake kila Msimu wa mwaka mpya. Hoja hizi ukiunga dot na kauli ya Mdee unapata majibu.
Pili, inakuwaje wake wa viongozi wakubwa wawe waasi huku waume zao wakiendelea kuwa katika nyadhifa zao?
Kwa nini hakuivunja Sekretarieti ya chama ili kuondoa mgongano wa maslahi?
Chadema inahitaji kusafishwa kwa kweli, makandokando ni mengi kwa kweli.Lissu apewe mikoba ya mbowe .
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Haa umenikumbusha kimpetupetu, kipindu pindu,
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Mshalipwa kuja kumchafua mwamba haya pigwni kazi vijana
 
Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?

Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.

BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?

Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
😂 😂 😂 Ila chadema Aliewaita manyumbu hakukosea kabisa yani!
Kwahiyo nyie kweli mlikuwa hamjui kabisa?

Mbona wanaccm walikuwa wanaongea kila siku humu? Au mlifikiri ni propaganda kama kawaida yenu?
 
Ndio sababu wale wadada walikuwa wanajiamini sana hata walipoitwa kamati kuu walienda kwa mbwembwe maana walikua ni igizo la kuwqchezea akili manyumbu
 
Ishu ya wabunge 19 Mbowe hajui anything

Hata wenyewe wabunge hawajui Nani amehusika na mpango mzima

Mbowe kaja kujua 3hrs before kuapishwa wale wabunge

Kwa hili namtetea
Kwa hiyo mpaka leo hajui, na hajajua kwamba wasaidizi wake kwenye sekretariet yake wake zao na mahawara zao ndio wanahusika na covid 19?

Kwa nini hadi leo hajaamua kukaa nao mbali kwa kuwatoa kwenye sekretariet yake?

Sherehe ya mwaka mpya Mbowe amewaalika Halima Mdee na Easter Bulaya nyumbani kwake lakini Msigwa hataki hata kumuona?

Baada ya kujuaa Mbowe amechukua hatua gani kukaa mbali na waume za hao wasaliti?
 
Kwa hiyo mpaka leo hajui, na hajajua kwamba wasaidizi wake kwenye sekretariet yake wake zao na mahawara zao ndio wanahusika na covid 19?

Kwa nini hadi leo hajaamua kukaa nao mbali kwa kuwatoa kwenye sekretariet yake?

Sherehe ya mwaka mpya Mbowe amewaalika Halima Mdee na Easter Bulaya nyumbani kwake lakini Msigwa hataki hata kumuona?

Baada ya kujuaa Mbowe amechukua hatua gani kukaa mbali na waume za hao wasaliti?


Ndugu yangu
Mtu aliefanya mchakato wa COVID hajuliani

Hakuna mtu anamjua

Hata hao wakina halima hawamjui walikuwa wanaongea nae kwenye simu Tu

Hakuna mtu anajua tukio zima lilikuwaje trust me

Mbowe hajui kitu chochote, wala myika hakuna anachojua

Wakina halima walikuwa wanapigiwa simu na kuambiwa nenda sehemu flan utakuta gari flan nenda kachukue kitu flan
 
Ilikuaje akaruhusu viongozi waandamizi waendelee kuwa madarakani huku wake zao ni wasaliti wa Chama? Anahusika 100% huitaji pythogrous theorem kulijua hilo unless wewe unatoka machame

Mke wa Nani ni covid?
Wewe unaongea hear says

Huna ushahidi wowote

Mimi nakwambia kitu ambacho nimeshuhudia mwenyewe

So najua ninachokiongea

Wewe unaongea Kwa kuhisi na kuconect dotes but ujui ukweli wowote

Wakati kesi ya COVID inaendelea Mbowe alikuwa segerea wakina halima walienda kumsalimia Mzee Mbowe nusu atoe machozi wakati anawabembeleza wakina halima watoke bungeni

So Mbowe hakuna anachojua na hakuna mtu yoyote anajua mambo yalikuwaje mpaka Leo wapo bungeni
 
Ishu ya wabunge 19 Mbowe hajui anything

Hata wenyewe wabunge hawajui Nani amehusika na mpango mzima

Mbowe kaja kujua 3hrs before kuapishwa wale wabunge

Kwa hili namtetea
Duuh unaelewa ulichokiandika lakini?
 
Hivi Ile kesi ya COVID-19 iliishia wapi? Hi nchi inavituko sana
 
Ndugu yangu
Mtu aliefanya mchakato wa COVID hajuliani

Hakuna mtu anamjua

Hata hao wakina halima hawamjui walikuwa wanaongea nae kwenye simu Tu

Hakuna mtu anajua tukio zima lilikuwaje trust me

Mbowe hajui kitu chochote, wala myika hakuna anachojua

Wakina halima walikuwa wanapigiwa simu na kuambiwa nenda sehemu flan utakuta gari flan nenda kachukue kitu flan
Ila kati ya hao covid 19 walikuwepo wake wa wajumbe wa sekretariet iliyoteuliwa naMbowe, manaibu katibu wakuu bara na Zanzibar. Baada ya kuona hivyo ni usaliti wa chama kwa nini wasiwatoe wake zao au kujiuzulu nafasi zao kwenye sekretariet ili kuepusha mgongano wa maslahi?

Hawakumjua huyo mtu hawajamuona na pia hawakujua kuwa wanavunja katiba ya CHADEMA na ni usaliti? Lame excuses.

MBOWE alichukua hatua gani kwa Salum Mwalimu na Benson Kigaila? Kama watu wake wa karibu ili kujitenga na uchafu huu? Nini kikimfanya akae kimya afunike kombe mwanaharamu apite kama hakuwa na maslahi nayo?
 
Mke wa Nani ni covid?
Wewe unaongea hear says

Huna ushahidi wowote

Mimi nakwambia kitu ambacho nimeshuhudia mwenyewe

So najua ninachokiongea

Wewe unaongea Kwa kuhisi na kuconect dotes but ujui ukweli wowote

Wakati kesi ya COVID inaendelea Mbowe alikuwa segerea wakina halima walienda kumsalimia Mzee Mbowe nusu atoe machozi wakati anawabembeleza wakina halima watoke bungeni

So Mbowe hakuna anachojua na hakuna mtu yoyote anajua mambo yalikuwaje mpaka Leo wapo bungeni
Mke wa Benson Kigaila na Salum Mwalimu. Kama siyo watoke na wakanushe kuwa Lema anadanganya, au wewe unayewajua tuambie hapana mke wa Kigaila ni fulani na mke wa Salum Mwalimu ni fulani ili tumbane Lema kwa kauli yake
 
Mke wa Benson Kigaila na Salum Mwalimu. Kama siyo watoke na wakanushe kuwa Lema anadanganya, au wewe unayewajua tuambie hapana mke wa Kigaila ni fulani na mke wa Salum Mwalimu ni fulani ili tumbane Lema kwa kauli yake


Salum mwalimu Yule sio mke wake ila amezaa nae Tu na kila mtu na Maisha yake

Kigaila walishaachana na Yule mwanamke
 
Back
Top Bottom