Umeongea yote. Hata kugombea kwake analinda biashara.Mbowe ni mfanyabiashara aliyefanikiwa kufanya biashara na CCM kwa kipindi kirefu sana
Acha kutetea ujinga, lazima chama kijisafishe.Ishu ya wabunge 19 Mbowe hajui anything
Hata wenyewe wabunge hawajui Nani amehusika na mpango mzima
Mbowe kaja kujua 3hrs before kuapishwa wale wabunge
Kwa hili namtetea
Hata wewe ulikuwa unajua maana watu walikuwa wakisema unabisha!Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?
Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.
BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?
Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Hivi Mbowe ana wake wangapi?Ishu ya wabunge 19 Mbowe hajui anything
Hata wenyewe wabunge hawajui Nani amehusika na mpango mzima
Mbowe kaja kujua 3hrs before kuapishwa wale wabunge
Kwa hili namtetea
Mmetumwa na nani kumchafua Mh Mbowe ?Watu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?
Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.
BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?
Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Utakuwa huna kichwa bro.Ishu ya wabunge 19 Mbowe hajui anything
Hata wenyewe wabunge hawajui Nani amehusika na mpango mzima
Mbowe kaja kujua 3hrs before kuapishwa wale wabunge
Kwa hili namtetea
Ilikuaje akaruhusu viongozi waandamizi waendelee kuwa madarakani huku wake zao ni wasaliti wa Chama? Anahusika 100% huitaji pythogrous theorem kulijua hilo unless wewe unatoka machameIshu ya wabunge 19 Mbowe hajui anything
Hata wenyewe wabunge hawajui Nani amehusika na mpango mzima
Mbowe kaja kujua 3hrs before kuapishwa wale wabunge
Kwa hili namtetea
Inashangaza. Halafu haohao ndio waandae ushahidi wa mahakamaniIlikuaje akaruhusu viongozi waandamizi waendelee kuwa madarakani huku wake zao ni wasaliti wa Chama? Anahusika 100% huitaji pythogrous theorem kulijua hilo unless wewe unatoka machame
Hapa ndipo mbowe amejizalilisha sana kwa kweliWatu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?
Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.
BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?
Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Yote haya yange baki siri kama angeng'atuka tu shida kashupaza shngo lakeWatu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?
Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.
BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?
Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Hili suala la COVID-19 Mzee Pascal Mayalla alishalielezea sana humu mpaka akawaombea msamaha ila wadau wengi walimpinga huyu kada wa CcmWatu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?
Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.
BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?
Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
wako 19 ukigawanya kwa mbowe, kigaila na mwalimu kila mmoja anapata wake sita anabaki mmoja. Huyo mmoja ni wa nani? Anyway, tuyaache hayo. Kama huo ulikuwa ni mpango wa mbowe na genge lake chamani haoni kuwa aliwahadaa wanachama na wananchi kuwa wale covid19 spika aliwang'ang'ania huku chadema ikiwa imewavua uanachama? Kama ni hivyo mbowe akae tu pembeniWatu tunakomaa humu kumlaumu Tulia na Samia kwa kuiletea hasara serikali kwa uwepo wa kina Mdee bungeni, kumbe wale wabunge ni wake wa Kigaila na Salimu Mwalimu?
Yaani hawa wasaidizi wa Mbowe ndio waandae ushahidi mahakamani wa kuwatoa wake zao bungeni? Pamoja na mambo mengi ya hovyo ya Mbowe lakini hili limenisikitisha sana.
BAWACHA wanaandamana kulazimisha kina Mdee watolewe bungeni kumbe Mbowe na wasaidizi wake wanajua mchakato mzima? Sisi tunakaza magego humu kukilaumu serikali, kumbe walioruhusu huu uhuni tupo nao?
Mbowe hapaswi kuondolewa kwa kura, anatakiwa kupinduliwa
Mimi mwenyewe baada ya kumsikiiza Lema jana nilitota jasho....Mbowe hapana ni ccm na Fisadi Kuu