Kuhusu Mgahawa wa Rayvanny, ni wake au anapiga promo?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Leo nimeshtuka sana baada watu wakimnadi ray vanny kafungua mgahawa wake.

Nikasema jambo zuri lakini nikaanza kupata wasi wasi



Kwa sababu mtu ambaye anafanya hivi vitu ni mtu ambaye na mfahamu zamani sana tokea milenium tower makumbusho.

Hii project alikuwa nayo tokea zamani ikabidi nimuulize [emoji23].

Nyie WCB embu kuweni na aibu na vitu vingine.



Mshikaji wangu ndio project hiyo na tokea mwanzo alikuwa na hii kitu.



 
Dogo hajafika hata form 4 anakula ngozi Tamu na investments Kama hizi wakati Professor (PhD) pale Mlimani anasubiria uteuzi wa Ukuu wa Wilaya. This life is not fair

 
Dogo hajafika hata form 4 anakula ngozi Tami ba investments Kama hizi wakati Professor pale Mlimani anasubiria uteuzi wa Ukuu wa Wilaya
Kipaji hakihitaji elimu kubwa ili kikulipe,na idadi ya wanaofanikiwa kwa kipaji duniani ni wachache sana..

Ni ujinga kuanza kuwalinganisha wasanii talented au athletes na watu ordinary.
 
Rayvanny sio ya kwake ! labda ujanielewa
Maelezo bila hard facts unakuwa hater tu, the boy is achieving some goals whilst haters are busy hating.
One of his managers Babu Tale aliliongea hili muda mrefu kuwa dogo anakuja na surprise ya uwekezaji and mind you this franchise is gonna be a chain of restaurants around Tz, keep on hating.
 

subiri basi maana nilipo jikoni mwenye hiki kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…