Kuhusu Mgahawa wa Rayvanny, ni wake au anapiga promo?

Kuhusu Mgahawa wa Rayvanny, ni wake au anapiga promo?

Leo nimeshtuka sana baada watu wakimnadi ray vanny kafungua mgahawa wake.

Nikasema jambo zuri lakini nikaanza kupata wasi wasi

View attachment 1923486

Kwa sababu mtu ambaye anafanya hivi vitu ni mtu ambaye na mfahamu zamani sana tokea milenium tower makumbusho.

Hii project alikuwa nayo tokea zamani ikabidi nimuulize [emoji23].

Nyie WCB embu kuweni na aibu na vitu vingine.

View attachment 1923490

Mshikaji wangu ndio project hiyo na tokea mwanzo alikuwa na hii kitu.

View attachment 1923491
View attachment 1923492
View attachment 1923493
Kevin ni msanifu majengo hapo ni tenda amepewa nae sio yake, Kevin amebuni migahawa mingi hapa mjini ukiwepo Granno Coffee Mlimani City na majengo mablimbali.
 
Maelezo bila hard facts unakuwa hater tu, the boy is achieving some goals whilst haters are busy hating.
One of his managers Babu Tale aliliongea hili muda mrefu kuwa dogo anakuja na surprise ya uwekezaji and mind you this franchise is gonna be a chain of restaurants around Tz, keep on hating.
Pale Tegeta kuna msanii ana nyama choma yake ,kwa hiyo sio jambo la ajabu kuwa na migahawa
 
subiri basi maana nilipo jikoni mwenye hiki kitu
Keep on digging, I bet you'll celebrate the results.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dogo hajafika hata form 4 anakula ngozi Tamu na investments Kama hizi wakati Professor pale Mlimani anasubiria uteuzi wa Ukuu wa Wilaya. This life is not fair
Mwana umeniongezea siku yangu ya kuishi nipo hapa kwenye daladala nimecheka mpaka watu wananishangaa
 
Amesema "we build what we design"

Hapo sasa wapi kasema ni wake?

Ili hizi screenshot ziwe ni uthibitisho wa kuwa Rayvanny sio mmiliki?
Na kuna nini cha ajabu hapo mpk uone kuwa Rayvanny hawezi kuwa na hiyo sehemu ya kuuzia chakula?

Hizo taa taa?
Mbona ni project ndogo sana kwa Msanii kama huyu?
Yani umekurupula huko as if ni kitu cha ajabuuuu, kikubwaaaa.

Kuna vitu mnajiandaaga kudegrade watu halafu mnaonekana wa ajabu!!!
Mxxxiiiew

Screenshot_20210904-224800_Chrome.jpg
 
Amesema "we build what we design"

Hapo sasa wapi kasema ni wake?

Ili hizi screenshot ziwe ni uthibitisho wa kuwa Rayvanny sio mmiliki?
Na kuna nini cha ajabu hapo mpk uone kuwa Rayvanny hawezi kuwa na hiyo sehemu ya kuuzia chakula?

Hizo taa taa?
Mbona ni project ndogo sana kwa Msanii kama huyu?
Yani umekurupula huko as if ni kitu cha ajabuuuu, kikubwaaaa.

Kuna vitu mnajiandaaga kudegrade watu halafu mnaonekana wa ajabu!!!
Mxxxiiiew

View attachment 1923985
[emoji817][emoji3581]
 
Kipaji hakihitaji elimu kubwa ili kikulipe,na idadi ya wanaofanikiwa kwa kipaji duniani ni wachache sana..

Ni ujinga kuanza kuwalinganisha wasanii talented au athletes na watu ordinary.
Kweli kabisa...Mkubwa wa The Money Team Mayweather hana shule ila he signs six figure papers
 
Amesema "we build what we design"

Hapo sasa wapi kasema ni wake?

Ili hizi screenshot ziwe ni uthibitisho wa kuwa Rayvanny sio mmiliki?
Na kuna nini cha ajabu hapo mpk uone kuwa Rayvanny hawezi kuwa na hiyo sehemu ya kuuzia chakula?

Hizo taa taa?
Mbona ni project ndogo sana kwa Msanii kama huyu?
Yani umekurupula huko as if ni kitu cha ajabuuuu, kikubwaaaa.

Kuna vitu mnajiandaaga kudegrade watu halafu mnaonekana wa ajabu!!!
Mxxxiiiew

View attachment 1923985
Umempiga n kitu kizito kichwani[emoji16]
 
Umempiga n kitu kizito kichwani[emoji16]
Wanakera, yani alivojipanga na mambo ya ushahidi, oh mshkaji wangu Kelvin.

Sasa mshkaji halafu hujui issue zake mjini?
Like seriously, hata kusoma hizi caption za so called mshkaji wake hasomi?
Mxxxxiew!
 
Back
Top Bottom