MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Kama wewe..
Mwambieni aache kuishi kwa kiki za kijinga.
Kama ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe..
Mwambieni aache kuishi kwa kiki za kijinga.
Kevin ni msanifu majengo hapo ni tenda amepewa nae sio yake, Kevin amebuni migahawa mingi hapa mjini ukiwepo Granno Coffee Mlimani City na majengo mablimbali.Leo nimeshtuka sana baada watu wakimnadi ray vanny kafungua mgahawa wake.
Nikasema jambo zuri lakini nikaanza kupata wasi wasi
View attachment 1923486
Kwa sababu mtu ambaye anafanya hivi vitu ni mtu ambaye na mfahamu zamani sana tokea milenium tower makumbusho.
Hii project alikuwa nayo tokea zamani ikabidi nimuulize [emoji23].
Nyie WCB embu kuweni na aibu na vitu vingine.
View attachment 1923490
Mshikaji wangu ndio project hiyo na tokea mwanzo alikuwa na hii kitu.
View attachment 1923491
View attachment 1923492
View attachment 1923493
Pale Tegeta kuna msanii ana nyama choma yake ,kwa hiyo sio jambo la ajabu kuwa na migahawaMaelezo bila hard facts unakuwa hater tu, the boy is achieving some goals whilst haters are busy hating.
One of his managers Babu Tale aliliongea hili muda mrefu kuwa dogo anakuja na surprise ya uwekezaji and mind you this franchise is gonna be a chain of restaurants around Tz, keep on hating.
Wewe unatafutakama shishi anamiliki, why rayvany ashindwe? tafuta pesa ili shobo zipungue
Keep on digging, I bet you'll celebrate the results.subiri basi maana nilipo jikoni mwenye hiki kitu
Kwanini umempatia jibu la kumkosesha usingizi, we jamaa hauna huruma kabisa.Kevin ni msanifu majengo hapo ni tenda amepewa nae sio yake, Kevin amebuni migahawa mingi hapa mjini ukiwepo Granno Coffee Mlimani City na majengo mablimbali.
Hajampa nafasi Hater kufanya kazi yake 😂Kwanini umempatia jibu la kumkosesha usingizi, we jamaa hauna huruma kabisa.
Ni aina ya ukatili wa kisaikolojia, usingembamiza na nondo hizo ili apate usingizi kuwa asiyempenda hafanikiwi.Hajampa nafasi Hater kufanya kazi yake [emoji23]
Huyu jamaa simuelewi anaishije ishije pale wasafi...
Mwana umeniongezea siku yangu ya kuishi nipo hapa kwenye daladala nimecheka mpaka watu wananishangaaDogo hajafika hata form 4 anakula ngozi Tamu na investments Kama hizi wakati Professor pale Mlimani anasubiria uteuzi wa Ukuu wa Wilaya. This life is not fair
hivi usanii ni kazi nyepesi eh!!!Dogo hajafika hata form 4 anakula ngozi Tamu na investments Kama hizi wakati Professor pale Mlimani anasubiria uteuzi wa Ukuu wa Wilaya. This life is not fair
Kucheka ni afya.Mwana umeniongezea siku yangu ya kuishi nipo hapa kwenye daladala nimecheka mpaka watu wananishangaa
[emoji817][emoji3581]Amesema "we build what we design"
Hapo sasa wapi kasema ni wake?
Ili hizi screenshot ziwe ni uthibitisho wa kuwa Rayvanny sio mmiliki?
Na kuna nini cha ajabu hapo mpk uone kuwa Rayvanny hawezi kuwa na hiyo sehemu ya kuuzia chakula?
Hizo taa taa?
Mbona ni project ndogo sana kwa Msanii kama huyu?
Yani umekurupula huko as if ni kitu cha ajabuuuu, kikubwaaaa.
Kuna vitu mnajiandaaga kudegrade watu halafu mnaonekana wa ajabu!!!
Mxxxiiiew
View attachment 1923985
Kweli kabisa...Mkubwa wa The Money Team Mayweather hana shule ila he signs six figure papersKipaji hakihitaji elimu kubwa ili kikulipe,na idadi ya wanaofanikiwa kwa kipaji duniani ni wachache sana..
Ni ujinga kuanza kuwalinganisha wasanii talented au athletes na watu ordinary.
Umempiga n kitu kizito kichwani[emoji16]Amesema "we build what we design"
Hapo sasa wapi kasema ni wake?
Ili hizi screenshot ziwe ni uthibitisho wa kuwa Rayvanny sio mmiliki?
Na kuna nini cha ajabu hapo mpk uone kuwa Rayvanny hawezi kuwa na hiyo sehemu ya kuuzia chakula?
Hizo taa taa?
Mbona ni project ndogo sana kwa Msanii kama huyu?
Yani umekurupula huko as if ni kitu cha ajabuuuu, kikubwaaaa.
Kuna vitu mnajiandaaga kudegrade watu halafu mnaonekana wa ajabu!!!
Mxxxiiiew
View attachment 1923985
Wanakera, yani alivojipanga na mambo ya ushahidi, oh mshkaji wangu Kelvin.Umempiga n kitu kizito kichwani[emoji16]