Kuhusu Mgahawa wa Rayvanny, ni wake au anapiga promo?

Nacheka kama mazuri,
Kwa hili mtoa mada umepuyanga,

Kweli kilikuja na Meli enzi za Wakoloni
Yaaaani halafu ni chuki tu.
Mana asingekuwa na chuki angemfurahia tu kijana mwenzie akaomba Mungu, angejifunza basi.

Ila yeye kaona, kakimbilia kutafuta uthibitisho kuwa sio yake.
Only to kuishia kuonekana tu roho nyeusi.
Mxxxxiew
 
Mnaomtukana mleta mada wekeni akiba za maneno maana hata chibu pafyum,karanga,bado pafyum za manara tuliambiwa ni zao bila kusahau wasafi tv na redio tuliaminishwa hisa zote ni za sadala
 
Mleta mada haters wa wasafi wanakufanyia unyama.
 
Mnaomtukana mleta mada wekeni akiba za maneno maana hata chibu pafyum,karanga,bado pafyum za manara tuliambiwa ni zao bila kusahau wasafi tv na redio tuliaminishwa hisa zote ni za sadala
Alichotuletea kama uthibitisho kuwa Havanna.tz sio ya Rayvanny ndo kinamwangusha.

Naweza kubuy in kuhusu Franchising.
Kwamba labda zipo Havanna nyingi duniani, Ravanny kachukua jina na kila kitu kwa mkataba maalum mpk recipe kuwa ni zao, kisha akawekeza kwa Tz.
Kama ilivyo KFC, Subways, Merrybrown, PizzaHut, Macdonald's, Coca Cola na hizo food line business zingine zilizoko duniani.
Hapa angeeleweka na hakuna mtu angembishia.
Maana hiyo nayo ni aina ya biashara, na mwekezaji wa eneo husika BADO ana haki ya kuita ni mgahawa wake.

Sasa kutuletea screenshots za mbunifu na mjenzi wa mgahawa huo, tena akijinasibisha kuwa ni rafiki yake, kuonesha kuwa wana karibu.

Wakati mwenzie amepost mojawapo ya kazi zake.
Hapa ndo TUMEMSHANGAA!!
So hatuweki akiba ya maneno, kwa hili AMECHEMSHA!!
aje na hoja nyingine.
 
Kwani mtu akipewa tenda ya kudesign na kutengeneza ndo anakuwa mmiliki? Au kama Rayvanny kapangisha kwa huyo mshkaji wako kuna ubaya gani?
Yawezekana Vanyboy ni Partner hapo kwahiyo ni mmoja wa wamiliki!!.. lakini Mmiliki wa hii
Wasanii wetu waishi kwenye uhalisia!!..Hii kitu labda Vanyboy ni partner!!!..
 
Kwa hiuo mmiliki ni nani?

Maana huyo mwingine uliyetuonesha amejieleza kama ni interior designer au mchoraji wa hiyo mandhari ya ndani tunayoiona...
Kasema yuko jikoni kwa Mshkaji wake Mtani.
Tuendelee kusubiri
 
Paula acha mpapariko ndo maana sijaquote mtu. Mgazeti wooteee pumba tupu nonsense mamdenyi was right ile attack kwenye uzi wa msiba punguza mhaho
 
Huyo jamaa ambaye unasema ndo anahii roject ukisoma maelezo it is clear kwamba ni mkandarasi kwa maana ya architect/interior design kwa maana ndo kasimamia utengenezaji lakini hajasema popote kwamba ni mmiliki wa product. Mbona mnapenda kukurupuka tu kupost
 
Mkwe basi inatosha. Sasa basi ungenipa namba nianze kuchati naye huu mwaka wa tano ujue
 
Watu mnazidi kumbamiza nyundo za kichwa mleta mada, hamna hata huruma umeamua kumvua nguo hadharani.
Ufahamu wake mdogo wa lugha ya malkia ndiyo umemuangusha, hater aliyekuja na silaha iliyochujuka.
 
Yawezekana Vanyboy ni Partner hapo kwahiyo ni mmoja wa wamiliki!!.. lakini Mmiliki wa hii

Wasanii wetu waishi kwenye uhalisia!!..Hii kitu labda Vanyboy ni partner!!!..
Unless ithibitishwe otherwise kutoka kwake mwenyewe au mtu mwingine aje na hard proof hakuna sababu ya kutokubali kuwa restaurant si ya kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…