Kuhusu miundombinu Chato, Rais anawaagiza au viongozi wenyewe wanaamua tu kuipeleka huko?

Kuhusu miundombinu Chato, Rais anawaagiza au viongozi wenyewe wanaamua tu kuipeleka huko?

Anaetoa pesa za miradi ndie anaewatuma hao wote ni Loudspeaker hawana say kuzidi microphone šŸŽ¤ checker
 
Ingekuwa sio yeye hata ule uwanja wa ndege usingejengwa hapo kijijini kwake na wala wanyama wasingehamishwa kutoka kwenye maskani yao ya asili kupelekwa Chato.
 
Watanzania wanaishi Chato tu,Kisarawe tu hapo barabara ya lami haizidi kilomita 10 hata wakitaka kwenda kwenye mradi wa bwawa la kuzalisha umeme la Rufiji wanazunguka Morogoro huko wakati kwa kupitia Kisarawe ni karibu zaidi, pamoja na ukongwe wake lakini ndio ipo nyuma zaidi
Unahoja nyepesi sana ndugu yangu.

Hoja ya ukonge haina mashiko. Tanganyia yote ilikuwa huru tangu 1961, Ilitengwa mipaka na wakoloni miaka ya 1884.. Chato nayo ilikuwepo kama ilivyokuwepo kisalawe.

Afu kwa nini unayana ya chato tu huonu Lami za Dar? Omba basi wasijenge Dar uje ujengewe Kisarawe.
 
Ni kweli, je hao Watanzania wahemia huko Chato miaka hii mitano ya utawala wake?
Umeshaelewa kilichoaki hapo ni roho ya kwa nini.

Omba iondoke. Ipo siku utatibiwa Chato hospital.
 
Watu wote wenye akili timamu wanaona lipo tatizo isipokuwa wewe na wenzako wachache ndio mnaona hakuna tatizo kwa sababu ya kujipendekeza uenda kwa kutafuta uteuzi au kwa faida mnazozijua wenyewe,watu wanachohoji ni hiyo kasi ya kupeleka maendeleo kwenye ka wilaya kamoja ktk muda mfupi huku miradi mingine ingepaswa ijengwe makao makuu ya mkoa lakini inajengwa huko uswekeni na miradi mingine ya gharama kubwa isiyo na ulazima utajengaje International airport Chato badala ya Geita mjini au ni vipi ujenge uwanja wa mkubwa wa michezo unaogharimu mabilioni ya shilingi huko maporini bila ulazima wa kufanya hivyo kwani ungejengwa mfano kama wa azam complex au hata ule majaliwa wa kule Ruangwa ingekuwa kuna shida gani? Lakini pia hata ofisi za taasisi za umma zinajengwa huko zinakuwa za viwango tofauti na wilaya nyingine mfano mzuri ni ofisi za TRA na Mahakama sasa huu upendeleo wa wazi kwa vile tu mtu mmoja mwenye mamlaka katokea huko hiyo ndio tunaona sio sawa.
Akishajenga akamiliza atahamia kwenu.
Anngekuwa anajenga vitu mara mbilimbili ningekuelewa.

Hayaa mambo ya kujenga vitu vya mfano kisha unabomoa baada ya miaka kama ulivyotoa mifano ya Ruangwa au Azam Complex ndo tunavilaum kila siku. Maaana vinakula pesa afu vina bomolewa ndani ya mda mfupi.

Mfano ni hizi barabara zilikuwa zinajengwa finyu kisha zinabomolewa. Kinachofanyika chato kitabomolewa kizazi chetu kishapita.

Ni ruhusa kuona mambo kwa mtizamo tofauti. Kutofautinana mimi na wewe kimtizamo hakuwezi kunifanya mimi mpumbavu na wewe mwelevu.
 

WanaJF,

Hongereni na usiku wa mapinduzi ya Zanzibar. Na naenda kwenye mada moja kwa moja.
Kumekuwepo na maoni mengi sana siku za karibuni kuhusu uwekezaji au miondombinu inayojengwa wilayani Chato(nyumbani kwa rais wetu).

Kila kundi wameongea yao; Wanasiasa, wanaharakati, wasomi wa kawaida, wanasheria, viongozi wa dini na makundi mengineyo.

Swali ambalo leo naliweka kama principal question kwa makundi hayo yanayotoa maoni ni hili;
Je, mheshimiwa rais anawatuma viongozi wapeleke au viongozi wanyewe wanaamua kwa utashi wao wapeleke Chato miondombinu hiyo?

Mimi kama Mtanzania nadhani huenda nadharia ya pili ya swali la msingi ina nguvu.

Tunajua wazi viongozi wa siku hizi walioko chini ya rais walivyo na tabia ya kujipendekeza na unafiki, ili tu waendelee kubaki kwenye nyadhifa zao, wakijua pia kuwa Kuna makosa yao fulanifulani mheshimiwa rais anayajua.

Nahitimisha kwa kuwakaribisha Watanzania wenzangu, na nyinyi muone ni nadharia ipi kati ya hizo mbili zilizopo kwenye "Principal question".
Pilipili kichaa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
weka namba ya simu iwe rahisi kukupata uteuzi utafanyika muda sio mrefu.
Nikuwekee wewe?

Kwani unaja sasa niko wapi hadi uniombee uteuzi?

Jikite kwenye hoja ya maendeleo la sivyo utapoteza mwelekeo,
 
Mtu kwao bwana na nyie kwa nafasi mlizokuwa nazo muendeleze makwenu

Ova
 
Swali kama hili nilijibuje sasa.

Kwamba chato iko Msumbiji ?
Na leo imeongezewa tena ni kitovu cha utalii kanda ya Ziwa.......kuna kivutio gani cha maana huko Chato? Wakati Mboga ni artificial?
 
Na leo imeongezewa tena ni kitovu cha utalii kanda ya Ziwa.......kuna kivutio gani cha maana huko Chato? Wakati Mboga ni artificial? Acha uzwazwa
Tulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.

Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
 
Back
Top Bottom