Kuhusu miundombinu Chato, Rais anawaagiza au viongozi wenyewe wanaamua tu kuipeleka huko?

Kuhusu miundombinu Chato, Rais anawaagiza au viongozi wenyewe wanaamua tu kuipeleka huko?

Kwa hiyo watanzania wote tuhamie chato?
Vipi wanainchi wa huku Ipole ndani ndani huku, wao watafaidika lini na kodi zao?
Hamia tu. Hauzuiliwi kwenda Chato, Kaungane na Watanzania walioko huko.

Huko Ipole zamu yao inakuja.
 
Back
Top Bottom