Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raisi ni Mkuu wa nchi na ndiye Raia Namba moja.Rais ni binadamu na wateule wake wote ni binadamu.Kumekuwepo na maoni mengi sana siku za karibuni kuhusu uwekezaji au miondombinu inayojengwa wilayani Chato(nyumbani kwa rais wetu).
WanaJF,
Hongereni na usiku wa mapinduzi ya Zanzibar. Na naenda kwenye mada moja kwa moja.
Kila kundi wameongea yao; Wanasiasa, wanaharakati, wasomi wa kawaida, wanasheria, viongozi wa dini na makundi mengineyo.
Swali ambalo leo naliweka kama principal question kwa makundi hayo yanayotoa maoni ni hili;Je, mheshimiwa rais anawatuma viongozi wapeleke au viongozi wanyewe wanaamua kwa utashi wao wapeleke Chato miondombinu hiyo?
Mimi kama Mtanzania nadhani huenda nadharia ya pili ya swali la msingi ina nguvu.
Tunajua wazi viongozi wa siku hizi walioko chini ya rais walivyo na tabia ya kujipendekeza na unafiki, ili tu waendelee kubaki kwenye nyadhifa zao, wakijua pia kuwa Kuna makosa yao fulanifulani mheshimiwa rais anayajua.
Nahitimisha kwa kuwakaribisha Watanzania wenzangu, na nyinyi muone ni nadharia ipi kati ya hizo mbili zilizopo kwenye "Principal question".
Sory,mwenye kuamua roho ya mtu itoke ni Mungu pekee(kwa Imani yangu). Refer to the failed assassinations.Raisi ni Mkuu wa nchi na ndiye Raia Namba moja.Rais ni binadamu na wateule wake wote ni binadamu.
Rais pamoja na kuwa mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu (ana uwezo wa kuamua hata roho ya mtu itoke,akiamua) lakini bado ni binadamu na haina maana ya kuwa ana akili nyingi kuliko aliowateua.
Walioteuliwa ni wajuvi na wanaelewa ni kipi atakacho Raisi na wanakwenda na upepo huo.
Tusiwadharau tuliowaajiri kuna wakati ni inteligent kuliko sisi tunaowalipa mshahara!!!
Raisi ni Mkuu wa nchi na ndiye Raia Namba moja.Rais ni binadamu na wateule wake wote ni binadamu.
Rais pamoja na kuwa mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu (ana uwezo wa kuamua hata roho ya mtu itoke,akiamua) lakini bado ni binadamu na haina maana ya kuwa ana akili nyingi kuliko aliowateua.
Walioteuliwa ni wajuvi na wanaelewa ni kipi atakacho Raisi na wanakwenda na upepo huo.
Tusiwadharau tuliowaajiri kuna wakati ni inteligent kuliko sisi tunaowalipa mshahara!!!
Kuna watu wajinga sana hii nchi.Bado illiteracy rate ni kubwa mno.Tulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.
Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
You couldn't prove this.Ni mawaziri wanapeleka maendeleo kwa mujibu wa ilani ya uchaguzi!
Kama ni kweli itakuwa ni ajabu kuwahi kutokea nchi kama hii.Rais hataki isipokua wananchi tunamlazimisha
Hata kuongeza muda hataki ila Sisi tunamlazimisha
Indirectly au directly Magufuli anawataka hao mafisadi wadogo wadogo wajenge miundombinu mbalimbali huko jijini ChatoKumekuwepo na maoni mengi sana siku za karibuni kuhusu uwekezaji au miondombinu inayojengwa wilayani Chato(nyumbani kwa rais wetu).
WanaJF,
Hongereni na usiku wa mapinduzi ya Zanzibar. Na naenda kwenye mada moja kwa moja.
Kila kundi wameongea yao; Wanasiasa, wanaharakati, wasomi wa kawaida, wanasheria, viongozi wa dini na makundi mengineyo.
Swali ambalo leo naliweka kama principal question kwa makundi hayo yanayotoa maoni ni hili;Je, mheshimiwa rais anawatuma viongozi wapeleke au viongozi wanyewe wanaamua kwa utashi wao wapeleke Chato miondombinu hiyo?
Mimi kama Mtanzania nadhani huenda nadharia ya pili ya swali la msingi ina nguvu.
Tunajua wazi viongozi wa siku hizi walioko chini ya rais walivyo na tabia ya kujipendekeza na unafiki, ili tu waendelee kubaki kwenye nyadhifa zao, wakijua pia kuwa Kuna makosa yao fulanifulani mheshimiwa rais anayajua.
Nahitimisha kwa kuwakaribisha Watanzania wenzangu, na nyinyi muone ni nadharia ipi kati ya hizo mbili zilizopo kwenye "Principal question".
Kumtetea magufuli ni lazima ujitoe ufahamuAnaamua yeye na siyo watendaji.
Je, kupokea wageni was kitaifa anaamuliwa na watendaji kwa kujipendekeza?
Ukipata jibu utaelewa
Akisaini hukumu wa ya kunyongwa bado utaendelea kuishi.Kumbuka ni saini yake inahitajika!!!!Sory,mwenye kuamua roho ya mtu itoke ni Mungu pekee(kwa Imani yangu). Refer to the failed assassinations.
Kwenye ukurasa gani wa ilani ya CCM inayoelekeza miradi extraordinary ya Chatto?Ni mawaziri wanapeleka maendeleo kwa mujibu wa ilani ya uchaguzi!
Ajabu lakini ni kweliKama ni kweli itakuwa ni ajabu kuwahi kutokea nchi kama hii.
Profesa Antipas Tundu Lissu a.k.a kiboko ya mafisadi wa CCm aulipotangazia umma kuwa na Sera za Majimbo tuliambiwa tunaleta ukabila, sasa hii CHATONIZATION ni nini!?
Unadhani wenzake walimtangulia walikuwa wajinga? Hapo penyewe ulipo hujalipa Deni lako loan board,ila unaleta ubishi wa waziTulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.
Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
Mambo ya wananchi!Mahitaji ya wananchi ni hayo?Tulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.
Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
Kama ni ilani ya uchaguzi, mbona kwingine hayaendi kwa kasi hiyo?Ni mawaziri wanapeleka maendeleo kwa mujibu wa ilani ya uchaguzi!
Acha Imani haba wewe.Jibu swali la failed assassinations.Uoga uliopitiliza huo.Akisaini hukumu wa ya kunyongwa bado utaendelea kuishi.Kumbuka ni saini yake inahitajika!!!!
Kwa hiyo watanzania wote tuhamie chato?Usipoteze mda. Hajengi kwa ajili yake ni kwa ajili ya Watanzania.
Afadhali umemkumbusha. Magufuli hakwepi ktk ubabe wake wa kiutawala.Dr Chalz KIMEI alitatua ilo swali lako kipindi anazindua CRDB ,KIMEI alisema MAGUFULI ndio aliyefanya utafiti na ndio wakaamua wajenge CRDB CHATTLE.
Conclusion: JIWE ndio anatoa maelekezo ya mambo yanayofanyika CHATTLE.