Kuhusu miundombinu Chato, Rais anawaagiza au viongozi wenyewe wanaamua tu kuipeleka huko?

Kuhusu miundombinu Chato, Rais anawaagiza au viongozi wenyewe wanaamua tu kuipeleka huko?

Kipind kile cha kampeni alijifanya anamkoromea DG wa takukuru kutuzuga, lakn naamin anawatuma hao viongozi wapeleke huko
 

WanaJF,

Hongereni na usiku wa mapinduzi ya Zanzibar. Na naenda kwenye mada moja kwa moja.
Kumekuwepo na maoni mengi sana siku za karibuni kuhusu uwekezaji au miondombinu inayojengwa wilayani Chato(nyumbani kwa rais wetu).

Kila kundi wameongea yao; Wanasiasa, wanaharakati, wasomi wa kawaida, wanasheria, viongozi wa dini na makundi mengineyo.

Swali ambalo leo naliweka kama principal question kwa makundi hayo yanayotoa maoni ni hili;
Je, mheshimiwa rais anawatuma viongozi wapeleke au viongozi wanyewe wanaamua kwa utashi wao wapeleke Chato miondombinu hiyo?

Mimi kama Mtanzania nadhani huenda nadharia ya pili ya swali la msingi ina nguvu.

Tunajua wazi viongozi wa siku hizi walioko chini ya rais walivyo na tabia ya kujipendekeza na unafiki, ili tu waendelee kubaki kwenye nyadhifa zao, wakijua pia kuwa Kuna makosa yao fulanifulani mheshimiwa rais anayajua.

Nahitimisha kwa kuwakaribisha Watanzania wenzangu, na nyinyi muone ni nadharia ipi kati ya hizo mbili zilizopo kwenye "Principal question".
Raisi ni Mkuu wa nchi na ndiye Raia Namba moja.Rais ni binadamu na wateule wake wote ni binadamu.
Rais pamoja na kuwa mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu (ana uwezo wa kuamua hata roho ya mtu itoke,akiamua) lakini bado ni binadamu na haina maana ya kuwa ana akili nyingi kuliko aliowateua.
Walioteuliwa ni wajuvi na wanaelewa ni kipi atakacho Raisi na wanakwenda na upepo huo.
Tusiwadharau tuliowaajiri kuna wakati ni inteligent kuliko sisi tunaowalipa mshahara!!!
 
Raisi ni Mkuu wa nchi na ndiye Raia Namba moja.Rais ni binadamu na wateule wake wote ni binadamu.
Rais pamoja na kuwa mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu (ana uwezo wa kuamua hata roho ya mtu itoke,akiamua) lakini bado ni binadamu na haina maana ya kuwa ana akili nyingi kuliko aliowateua.
Walioteuliwa ni wajuvi na wanaelewa ni kipi atakacho Raisi na wanakwenda na upepo huo.
Tusiwadharau tuliowaajiri kuna wakati ni inteligent kuliko sisi tunaowalipa mshahara!!!
Sory,mwenye kuamua roho ya mtu itoke ni Mungu pekee(kwa Imani yangu). Refer to the failed assassinations.
 
Raisi ni Mkuu wa nchi na ndiye Raia Namba moja.Rais ni binadamu na wateule wake wote ni binadamu.
Rais pamoja na kuwa mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu (ana uwezo wa kuamua hata roho ya mtu itoke,akiamua) lakini bado ni binadamu na haina maana ya kuwa ana akili nyingi kuliko aliowateua.
Walioteuliwa ni wajuvi na wanaelewa ni kipi atakacho Raisi na wanakwenda na upepo huo.
Tusiwadharau tuliowaajiri kuna wakati ni inteligent kuliko sisi tunaowalipa mshahara!!!
 
Tulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.

Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
Kuna watu wajinga sana hii nchi.Bado illiteracy rate ni kubwa mno.
 

WanaJF,

Hongereni na usiku wa mapinduzi ya Zanzibar. Na naenda kwenye mada moja kwa moja.
Kumekuwepo na maoni mengi sana siku za karibuni kuhusu uwekezaji au miondombinu inayojengwa wilayani Chato(nyumbani kwa rais wetu).

Kila kundi wameongea yao; Wanasiasa, wanaharakati, wasomi wa kawaida, wanasheria, viongozi wa dini na makundi mengineyo.

Swali ambalo leo naliweka kama principal question kwa makundi hayo yanayotoa maoni ni hili;
Je, mheshimiwa rais anawatuma viongozi wapeleke au viongozi wanyewe wanaamua kwa utashi wao wapeleke Chato miondombinu hiyo?

Mimi kama Mtanzania nadhani huenda nadharia ya pili ya swali la msingi ina nguvu.

Tunajua wazi viongozi wa siku hizi walioko chini ya rais walivyo na tabia ya kujipendekeza na unafiki, ili tu waendelee kubaki kwenye nyadhifa zao, wakijua pia kuwa Kuna makosa yao fulanifulani mheshimiwa rais anayajua.

Nahitimisha kwa kuwakaribisha Watanzania wenzangu, na nyinyi muone ni nadharia ipi kati ya hizo mbili zilizopo kwenye "Principal question".
Indirectly au directly Magufuli anawataka hao mafisadi wadogo wadogo wajenge miundombinu mbalimbali huko jijini Chato
 
Mengi na maagizo kutoka juu...

Kwa nini wasipeleke msoga...




Cc: mahondaw
Profesa Antipas Tundu Lissu a.k.a kiboko ya mafisadi wa CCm aulipotangazia umma kuwa na Sera za Majimbo tuliambiwa tunaleta ukabila, sasa hii CHATONIZATION ni nini!?

Leo Ndumbaro anatuambia Chato ni kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa hivi huyu ni mwehu!? Seriously Chato iwe kitovu wakati huo world heritage pale Serengeti, namshauri magufuli afanye uhakiki wa vyeti vya hawa phd holders wake type ya Ndumbaro!!??
 
Tulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.

Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
Unadhani wenzake walimtangulia walikuwa wajinga? Hapo penyewe ulipo hujalipa Deni lako loan board,ila unaleta ubishi wa wazi
 
Tulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.

Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
Mambo ya wananchi!Mahitaji ya wananchi ni hayo?
 
Dr Chalz KIMEI alitatua ilo swali lako kipindi anazindua CRDB ,KIMEI alisema MAGUFULI ndio aliyefanya utafiti na ndio wakaamua wajenge CRDB CHATTLE.

Conclusion: JIWE ndio anatoa maelekezo ya mambo yanayofanyika CHATTLE.
Afadhali umemkumbusha. Magufuli hakwepi ktk ubabe wake wa kiutawala.
 
Back
Top Bottom