Kuhusu miundombinu Chato, Rais anawaagiza au viongozi wenyewe wanaamua tu kuipeleka huko?

Anaetoa pesa za miradi ndie anaewatuma hao wote ni Loudspeaker hawana say kuzidi microphone 🎤 checker
 
Ingekuwa sio yeye hata ule uwanja wa ndege usingejengwa hapo kijijini kwake na wala wanyama wasingehamishwa kutoka kwenye maskani yao ya asili kupelekwa Chato.
 
Unahoja nyepesi sana ndugu yangu.

Hoja ya ukonge haina mashiko. Tanganyia yote ilikuwa huru tangu 1961, Ilitengwa mipaka na wakoloni miaka ya 1884.. Chato nayo ilikuwepo kama ilivyokuwepo kisalawe.

Afu kwa nini unayana ya chato tu huonu Lami za Dar? Omba basi wasijenge Dar uje ujengewe Kisarawe.
 
Ni kweli, je hao Watanzania wahemia huko Chato miaka hii mitano ya utawala wake?
Umeshaelewa kilichoaki hapo ni roho ya kwa nini.

Omba iondoke. Ipo siku utatibiwa Chato hospital.
 
Akishajenga akamiliza atahamia kwenu.
Anngekuwa anajenga vitu mara mbilimbili ningekuelewa.

Hayaa mambo ya kujenga vitu vya mfano kisha unabomoa baada ya miaka kama ulivyotoa mifano ya Ruangwa au Azam Complex ndo tunavilaum kila siku. Maaana vinakula pesa afu vina bomolewa ndani ya mda mfupi.

Mfano ni hizi barabara zilikuwa zinajengwa finyu kisha zinabomolewa. Kinachofanyika chato kitabomolewa kizazi chetu kishapita.

Ni ruhusa kuona mambo kwa mtizamo tofauti. Kutofautinana mimi na wewe kimtizamo hakuwezi kunifanya mimi mpumbavu na wewe mwelevu.
 
Pilipili kichaa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
weka namba ya simu iwe rahisi kukupata uteuzi utafanyika muda sio mrefu.
Nikuwekee wewe?

Kwani unaja sasa niko wapi hadi uniombee uteuzi?

Jikite kwenye hoja ya maendeleo la sivyo utapoteza mwelekeo,
 
Mtu kwao bwana na nyie kwa nafasi mlizokuwa nazo muendeleze makwenu

Ova
 
Swali kama hili nilijibuje sasa.

Kwamba chato iko Msumbiji ?
Na leo imeongezewa tena ni kitovu cha utalii kanda ya Ziwa.......kuna kivutio gani cha maana huko Chato? Wakati Mboga ni artificial?
 
Na leo imeongezewa tena ni kitovu cha utalii kanda ya Ziwa.......kuna kivutio gani cha maana huko Chato? Wakati Mboga ni artificial? Acha uzwazwa
Tulieni DAWA iwaingie kwanza. Maana mnataka akafanye kwenu tu afu kwao aache.

Mangapi anafanya kila mkoa hadi muone wivu?. Acheni ajipongeze so long anafanya mambo ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…