B Bombabomba JF-Expert Member Joined Dec 23, 2017 Posts 1,804 Reaction score 2,128 Jan 14, 2021 #81 paul sylvester said: Thibitisha mkuu!! Swala la wageni wa kitaifa, hili ni wivu na Maumivu ya waliokosa wingi wa Kura!! Click to expand... Memba unapongelea Habari za kura unakosea sana na kuonyesha uwezo wako wa uelewa una Shida. Sema ushindi tu, kura zitoshe zisitoshe unatangazwa tu
paul sylvester said: Thibitisha mkuu!! Swala la wageni wa kitaifa, hili ni wivu na Maumivu ya waliokosa wingi wa Kura!! Click to expand... Memba unapongelea Habari za kura unakosea sana na kuonyesha uwezo wako wa uelewa una Shida. Sema ushindi tu, kura zitoshe zisitoshe unatangazwa tu
JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 7,914 Reaction score 10,793 Jan 14, 2021 #82 kichwa kikubwa said: Kwa hiyo watanzania wote tuhamie chato? Vipi wanainchi wa huku Ipole ndani ndani huku, wao watafaidika lini na kodi zao? Click to expand... Hamia tu. Hauzuiliwi kwenda Chato, Kaungane na Watanzania walioko huko. Huko Ipole zamu yao inakuja.
kichwa kikubwa said: Kwa hiyo watanzania wote tuhamie chato? Vipi wanainchi wa huku Ipole ndani ndani huku, wao watafaidika lini na kodi zao? Click to expand... Hamia tu. Hauzuiliwi kwenda Chato, Kaungane na Watanzania walioko huko. Huko Ipole zamu yao inakuja.
JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 7,914 Reaction score 10,793 Jan 14, 2021 #83 pilipili--mbuzi said: Mambo ya wananchi!Mahitaji ya wananchi ni hayo? Click to expand... Kwamba hawataki hospital au? Hawataki Mahakama?
pilipili--mbuzi said: Mambo ya wananchi!Mahitaji ya wananchi ni hayo? Click to expand... Kwamba hawataki hospital au? Hawataki Mahakama?
S Samiaagain2025 JF-Expert Member Joined Dec 2, 2020 Posts 3,626 Reaction score 3,869 Jan 14, 2021 Thread starter #84 JF Member said: Kwamba hawataki hospital au? Hawataki Mahakama? Click to expand... Hospitali ni geresha tu.Ili mradi ya kwenu yapite.The time will unveil you.
JF Member said: Kwamba hawataki hospital au? Hawataki Mahakama? Click to expand... Hospitali ni geresha tu.Ili mradi ya kwenu yapite.The time will unveil you.
Mayonene JF-Expert Member Joined Mar 16, 2016 Posts 1,595 Reaction score 1,419 Jan 14, 2021 #85 MGOGOHALISI said: Nileteeni gwajiiiiiii Click to expand... Huyo alienda kusaka kura wakati wa kampeni akaonekana anafariji walioathirika na mafuriko.Mafuriko ya mwaka huu wakamfuata kumwambia hiyo shida haijaisha.Akwajibu tusubiri maamuzi ya serikali.
MGOGOHALISI said: Nileteeni gwajiiiiiii Click to expand... Huyo alienda kusaka kura wakati wa kampeni akaonekana anafariji walioathirika na mafuriko.Mafuriko ya mwaka huu wakamfuata kumwambia hiyo shida haijaisha.Akwajibu tusubiri maamuzi ya serikali.