Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kuna watu mnalaana ya ngono.Kumbe anafaa kwa human consumption japo kwa kumtoa upweke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu mnalaana ya ngono.Kumbe anafaa kwa human consumption japo kwa kumtoa upweke.
Malisa kaingiaje hapo?Malisa Godlisten ni mwisho wa matatizo.
Rebeca anahitaji mawazo zaidi ili apanue huduma yake
Kapitia dirishaniMalisa kaingiaje hapo?
Anafanya kazi kama ya MulesMalisa kaingiaje hapo?
Yupo, kakomaa na RFAHuyo Rebecca kitambo Sana daaah Bado yupo na hicho kipindi
Tuone nini?Ngoja tuone...
Kweli kabisa mkuu mimi nashanga kwa kazi kubwa anayeifanya huyu dada sijui kwa nini hajatambuliwa na kutuzwa pengine tuzo yake ipo mbinguni.Huyo mwana mama anayo roho ya upendo sana, jinsi anavyokipangilia kile kipindi na kukiendesha, anaitaji tunzo.
Kwani RFA wanalipwa mshahara?Habari za Jumapili Wana wa JF. Mtangazaji Rebeka Mulesi wa Radio Free Africa amekuwa akitangaza kipindi Cha USHAURI WAKO kwa muda mrefu Sana.
Kipindi hurushwa kila Jumapili asubuhi saa mbili hadi saa Tatu. Hapa huja watu wenye matatizo mbalimbali na kuelezea matatizo yao. Wengi ni wagonjwa, walemavu, mayatima nk.
Cha ajabu watu wengi wanapomaliza kuelezea shida zao, hudai Wana njaa Sana au kudai hajui pakwenda au hana nauli nk.
Sasa najiuliza huyu Mtangazaji si anamaliza mshahara wake kwa huruma ya kusaidia watu?
Huu pia ni Zaidi ya USHAURI WAKO Ila mjue tu Kuna watu Wana shida nyingi na wanajamii wengine ndiyo tegemeo lao.
Ktk kipindi hicho mwenye shida hutoa namba yake ya simu au ya ndugu yake ili apokee msaada. Sijui kwa muda mfupi Kama watu watakuwa washatuma hela ili mtu huyu aondoke studio akiwa na nauli au hela ya chai.
Sauti yake mimi hoi huku.....mwenye picha yake tafadhariHabari za Jumapili Wana wa JF. Mtangazaji Rebeka Mulesi wa Radio Free Africa amekuwa akitangaza kipindi Cha USHAURI WAKO kwa muda mrefu Sana.
Kipindi hurushwa kila Jumapili asubuhi saa mbili hadi saa Tatu. Hapa huja watu wenye matatizo mbalimbali na kuelezea matatizo yao. Wengi ni wagonjwa, walemavu, mayatima nk.
Cha ajabu watu wengi wanapomaliza kuelezea shida zao, hudai Wana njaa Sana au kudai hajui pakwenda au hana nauli nk.
Sasa najiuliza huyu Mtangazaji si anamaliza mshahara wake kwa huruma ya kusaidia watu?
Huu pia ni Zaidi ya USHAURI WAKO Ila mjue tu Kuna watu Wana shida nyingi na wanajamii wengine ndiyo tegemeo lao.
Ktk kipindi hicho mwenye shida hutoa namba yake ya simu au ya ndugu yake ili apokee msaada. Sijui kwa muda mfupi Kama watu watakuwa washatuma hela ili mtu huyu aondoke studio akiwa na nauli au hela ya chai.
Dah kana umbo matata sana very fit for human consumption.
duh aiseeKumbe anafaa kwa human consumption japo kwa kumtoa upweke.