Kuhusu Mtangazaji Rebeka Mulesi wa Radio Free Africa

Kuhusu Mtangazaji Rebeka Mulesi wa Radio Free Africa

Mbona wanasema RFA kuna njaa lakini huyo kanona jamani?
Mwanamke hata akifanya kazi masijara..chamsingi awe mzuri tu..atapendeza kuliko wahasibu wa halmashauri...na mshahara wake wa laki 2 kwa mwezi.

#MaendeleoHayanaChama
 
RFA inaonekana dhairi hamna maslai maana kila siku watangazaji ni wale wale tu

Mfano huyu Rebeca, ana tangaza kipindi cha michezo, magazeti,kipindi cha mahaba ..yaan ni hamna mgawanyo wa kazi
 
Nauli 800 x 30= 24000 kwa mjini tu. Fungu la kumi.
 
Back
Top Bottom