Kuhusu Mtangazaji Rebeka Mulesi wa Radio Free Africa

Rebecca unatafutwa huku na mabachela wenzako msimu huu wa kipupwe
 
Kwa kazi anayoifanya Bi rebecca anastahili faraja sana hasa ya usiku ili asinihisi mpweke
 
Kwani RFA wanalipwa mshahara?
 
Kama wanaopiga simu ni wahitaji kweli muache awasaidie ila kama wazushi endelea kukutea hoja yako
 
Sauti yake mimi hoi huku.....mwenye picha yake tafadhari

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…