Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,039
- 2,676
He!!
Kwa tuzo ya Man of the year 2021Hivi Malisa aliingiaje humu?
Wenye shida wanakusumbuaš„²š„²ndugu yangu muombe Mungu sana.huijui shida endelea kuwa mnyenyekevuDunia imejaa wenye shida tupu! Mi naona wanatusumbua tu!
Mwanamke hata akifanya kazi masijara..chamsingi awe mzuri tu..atapendeza kuliko wahasibu wa halmashauri...na mshahara wake wa laki 2 kwa mwezi.Mbona wanasema RFA kuna njaa lakini huyo kanona jamani?
Hawamkumbuki, sijui shida niniTunzo angepewa rebeca Kwan ni was siku nyingi
Anastahili kwa kweli...hao wengine wanajipigia promo kwenye mitandao ya jamii ili waonekane ila Rebecca yeye hana habari za kujitangaza...Hawamkumbuki, sijui shida nini
Anahitaji kutiwa moyo Sana, kila Jumapili yupoHuyo Rebecca kitambo Sana daaah Bado yupo na hicho kipindi
Mjini shule, inabidi utafute biasharaNauli 800 x 30= 24000 kwa mjini tu. Fungu la kumi.