Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

NB: Kuna mambo ya muungano.

Tanganyika na Zanzibar tuliungana katika mambo hayo tu. Mengine yote nje ya mambo hayo, Zanzibar ni nchi na inajitegemea. Ila Tanganyika (kwa yale yasio ya Muungano) inategemea JMT.

To be honest, muungano wetu ni wa kulazimishana tu. Muundo wake ni wa hovyo (kwa maoni yangu).
haya maoni yako haya . . . . . . . . mmmmmhhhhhhhh yetu macho
 
Leo tunapo adhimisha miaka 60 ya huu muungano wetu adhimu, nafanya tafakuri, niliwahi kuandika nini humu kuhusu muungano wetu.
Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya muungano wetu adhimu.
Ujumbe wangu ni muungano wetu adhimu udumu milele, na sasa ni muda muafaka tuachane na huu muungano wa kimaghumashi, wa union na federation, sasa twende kwenye muungano wa kweli wa union wa nchi moja, serikali moja, na rais mmoja!.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Tusaidie
P
 
Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.
Na wako wengi sana huko kwenye mamlaka wenye akili ndogo kama yeye, haoni kama Tanganyika ndiyo looser mkubwa wa huo muunganiko!!
 
Na wako wengi sana huko kwenye mamlaka wenye akili ndogo kama yeye, haoni kama Tanganyika ndiyo looser mkubwa wa huo muunganiko!!
Kwani Watanganyika wangapi kila uchaguzi wanauliwa kwa kulamisha kuwekwa Raisi Kama huku Zanzibar,? Hata useme Tanganyika ndio loser?
 
Wanabodi,

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Wanabodi,
Mwanasheria huyu Mkuu wa Zanzibar, hebu msikilize hapa!.


Kamati ya Maridhiano Six:MWANASHERIA OTHMAN MASOUD AUCHAMBUA MUUNGANO NA KATIBA MPYA
Paskali

OMO ndie mgombea urais wa Zanzibar 2025 kupitia tiketi ya ACT, kwa hoja kama hizi, hiki kikiwa ndicho Zanzibar wakitakacho, nimeshauri na naendelea kushauri kuundwa tume ya maridhiano Zanzibar kabla ya uchaguzi ili huyu jamaa akishinda atangazwe, lakini isipoundwa, ikatokea huyu jamaa ndie kashinda, itabidi tufunike tena kombe kama 2015 maana JMT haiwezi kukubali watu ma radical kama huyu kukabidhiwa nchi, akikabidhiwa leo, kesho yake tuu atauvunja huu wetu adhimu na adimu!
Ushauri wangu ni huu
Mwenzenu mimi nina jicho la tatu, 2015 nilishauri Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein hawakusikia, kilichokuja kutokea ni hiki Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Sasa kwa 2025 nimeelezwa HII kitu!
P
 
OMO ndie mgombea urais wa Zanzibar 2025 kupitia tiketi ya ACT, kwa hoja kama hizi, hiki kikiwa ndicho Zanzibar wakitakacho, nimeshauri na naendelea kushauri kuundwa tume ya maridhiano Zanzibar kabla ya uchaguzi ili huyu jamaa akishinda atangazwe, lakini isipoundwa, ikatokea huyu jamaa ndie kashinda, itabidi tufunike tena kombe kama 2015 maana JMT haiwezi kukubali watu ma radical kama huyu kukabidhiwa nchi, akikabidhiwa leo, kesho yake tuu atauvunja huu wetu adhimu na adimu!
Ushauri wangu ni huu
Mwenzenu mimi nina jicho la tatu, 2015 nilishauri Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein hawakusikia, kilichokuja kutokea ni hiki Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Sasa kwa 2025 nimeelezwa HII kitu!
P
Binafsi naunga mkono kuvunjika kwa huu Muungano uliojaa kero na manung'uniko ya kila aina kutoka pande zote mbili.
 
OMO ndie mgombea urais wa Zanzibar 2025 kupitia tiketi ya ACT, kwa hoja kama hizi, hiki kikiwa ndicho Zanzibar wakitakacho, nimeshauri na naendelea kushauri kuundwa tume ya maridhiano Zanzibar kabla ya uchaguzi ili huyu jamaa akishinda atangazwe, lakini isipoundwa, ikatokea huyu jamaa ndie kashinda, itabidi tufunike tena kombe kama 2015 maana JMT haiwezi kukubali watu ma radical kama huyu kukabidhiwa nchi, akikabidhiwa leo, kesho yake tuu atauvunja huu wetu adhimu na adimu!
Ushauri wangu ni huu
Mwenzenu mimi nina jicho la tatu, 2015 nilishauri Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein hawakusikia, kilichokuja kutokea ni hiki Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Sasa kwa 2025 nimeelezwa HII kitu!
P
Hiyo sababu ya kuvuruga mchakato wa Katiba mpya ambao ungetatua hili suala.
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Wewe Pascal sema kweli tunakuhishimu sana lkn unapokuja na propaganda zako kuhusu muungano hatutanyamaza kimya unajua wazi wazanzibari hawafurahishi na muungano huu .Muungano huu ni wa nguvu na Tanganyika na Zanzibar sio ndugu nyinyi ndugu zenu ni Kenya Uganda Rwanda na Congo n.k .Anayosema OMO ni mwiba kwenu ndio maana mnafik kama wewe na wenzake hamufurahishwi na maneno yake sisi tunakujua wazi wewe ni kitumwa cha CCM unajaribi kumpinga OMO wkt OMo na wewe ni baina ya bingu na ardhi wewe ni cha mtoto kwa OMO unatumwa chai .Na wacha chuki zako na roho mbaya yako kwa Zanzibar na Wazanzibari ile ajali ulopata bado hujasoma tu .ONE DAY YES Refer Syria imekuwaje time will tell.
 
Kwanza rekebisha. Jee in makamo was kwanza au wa Pili. Kwenye mada.
Mtoa mada wewe ni mkereketwa ulie na chuki zilizojificha dhidi ya Zanzibar.

Kujificha nyuma ya kiini macho cha Tanzania wakati unajua fika by practice na reality kilichoondoka ni neno Tanganyika tu.

Hakuna Muungano huu. Wizara za Tanganyika kwa mambo ya Tanganyika zinaitwa za Tanzania.

Kibaya zaidi kumezaliwa matatizo kibao ya Muungano Leo zinaitwa kero. Lkna shida ni mfumo na muundo. Linapokuja suala LA haki za Zanzibar, wasomi wote wa Bara na wachambuzi wanakuwa wanafiki.

Nini kimejificha nyuma ya chuki hii?
Tena huyu Pascal ni JAHIL sana sana anapoengea masula ya Zanzibar wewe Zanzibar haikuhusu ndewe wa sikio wewe uongelea Tanganyika yako Uongelea tatizo la UMEME na MAJI utamaliza lini tatizo la barabara litamaliza lini .Tuachie tupumuwe .Hasbiya llah waniima lwakil huyu chuki zake ziko wazi wazi zipo ndani ya damu.Namuoimba Allah uwe kafara ikitokea tena Dah kuna mijitu wana chukiiiiii na Zanzibar cjui faida yake nini.
 
Leo tunapo adhimisha miaka 60 ya huu muungano wetu adhimu, nafanya tafakuri, niliwahi kuandika nini humu kuhusu muungano wetu.
Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya muungano wetu adhimu.
Ujumbe wangu ni muungano wetu adhimu udumu milele, na sasa ni muda muafaka tuachane na huu muungano wa kimaghumashi, wa union na federation, sasa twende kwenye muungano wa kweli wa union wa nchi moja, serikali moja, na rais mmoja!.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Tusaidie
P
Wee fala sana, kama umeungana unataka serikali moja unatiwa nn wewe ,fanya serikali moja na kenya sio Zanzibar .Kaiacha Baba ako na wewe Zanzibar utaiacha unafaa utiwe adabu ya kizanzibari wewe.
 
Back
Top Bottom