Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?
Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?
Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]
Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]
Sent from my CPH2387 using
JamiiForums mobile app
Huruma au kanuni zitumike kumpata mfungaji bora