Kuhusu nani anastahili kiatu mskie Othman Kazi, refa wa Mstaafu wa FIFA

Kuhusu nani anastahili kiatu mskie Othman Kazi, refa wa Mstaafu wa FIFA

Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Verbal diarrhoea
 
Saidoo kaleta kizungumkuti kipya kwa WanaMedali.

Hili nalo watataka waitwe na mama wakale ubwabwa wa bure ikiliwakubali yaishe...
Medali [emoji777]

Medani [emoji736]

Ikikiwakubali [emoji777]

Ili wakubali [emoji736]

Ungekuwa yule Bi mdini ningekupa za uso ila sema tu huwa hauna umbumbumbu Mzee Baba [emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mayele yeye ameshajipa ufungaji bora. Kumbe Uto ni kuanzia viongozi mpaka wachezaji ni hopeless
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Huruma au kanuni zitumike kumpata mfungaji bora
 
Saidoo kaleta kizungumkuti kipya kwa WanaMedali.

Hili nalo watataka waitwe na mama wakale ubwabwa wa bure ikiliwakubali yaishe...
Si kama makolo ndio mnaangaika angalau na nyie mpate chochote msimu baada ya kushindwa hata kupata kombe la mapinduzi,msikilize afisa habari wa tff hapa alifafanua msimu uliopita sheria za tff ziko vipi,saidoo ana goli karibia 5 za penalti
 

Attachments

  • VID-20230610-WA0000.mp4
    941.6 KB
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umeambiwa mfungaji bora mambo ya kukabwa unayatoa wapi 😡😡😡
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mayele apewe cha kulia Saido apewe cha kushoto full stop.
 
Mkeka wa wafungaji bora EPL wa kwanza ni Halaand magoli 36, wa pili ni Harry Kane magoli 30, ........................................................wa saba ni Martin (arsenal) magoli 15 na assist 7, wa nane ni Ollie (Aston Villa) magoli 15 na assist 6, wa tisa ni Gabriel (Arsenal) magoli 15 na assist 5, wa kumi ni Saka (arsenal) magoli 14 na assist 11, wa kumi na moja ni Aleksandar (Fulham) magoli 14 na assist 1, wa kumi na mbili ni Lodrigo (Leeds) magoli 13 na assist 1 michezo 31, wa kumi na tatu ni Harvey (Leicester city) magoli 13, assist 1, michezo 34.

Angalia nafasi ya saba, nane, na tisa wote wana magoli 15, lakini wamezidiana assist. Ila bongo watu hawashindwi kujitoa ufahamu kwa kitu kilicho wazi!!
Ukileta za WC na sisi tutakuletea za EPL
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Magoli ya saidoo mengine kaja nayo simba.Kule napo alipiga michongo.Kila kitu lazima tubihane.
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Eti Mayele alikuwa anakabwa na mabeki, kama hamtaki akabwe akacheze na mke wake ebo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mkuu mbn makasiriko tena ilhali Othman kazi Tyr kashaekeza vizuri na ibaeleweka mwenye assist nyingi ni Nani baada ya kuwa na magoli Sawa....don't panic bro
 
Mayele ana advantage dhidi ya Saido, kwanini? Mayele kaiwezesha timu yake kuchukua ubingwa, ila Saido hakufanya hivyo, so Mayele ndio anastahili kupewa Golden Boot.

Saido mechi moja ameshinda magoli 5 ya kimchongo, huyo hastahili golden boot
Ohooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nani amekuambia hawana kanuni? Hakuna mashindano hayana kanuni, unazoziona wewe ni KANUNI kubwa. Ila zipo kanuno Ndogo. Mfano umeona maelezo ikiwa mchezaji amejifunga magali 20 atahesabika kama Top score? Umeiona kanuni hiyo? Ila ipo na inatolea ufafanuzi.

Kanuni ndogo ya Kufunga kwa wafungaji huangaliwa Idadi ya penati hiyo tangu msimu wa 2018/19 mara baada ya kutokea sintofahamu ya akina Msuva.

Top scores
1. MAYELE 17
1. SAIDO 17

GOLDEN BOOT
MAYELE KWA SABABU ANA MAGOLI MACHACHE YA PENALTY.

CHUKUA HIYO.
Nuts
 
Huyo anayesema magoli ya penalti yanaondolewa ni mjinga gani? kwani magoli ya penalti sio magoli!

Hao watu kimsingi wanatakiwa kila mmoja wao apewe kiatu chake, kwasababu;
wote wawili wana magoli 17 na hiyo tuzo ni ya mfungaji bora, haina uhusiano wowote na assist, ni kutupia mpira kambani tu, ndio maana ya ufungaji bora, na wala sio kusaidia kufunga!.
 
Back
Top Bottom