Kuhusu shida ya maji, Tanzania kuna tatizo zaidi ya CCM

Kuhusu shida ya maji, Tanzania kuna tatizo zaidi ya CCM

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Hivi unawezaje mueleza mtu mwenye akili timamu kwamba mikoa kama Mwanza, Geita, Kagera nk ina shida ya maji ya Bomba?

Hivi Tanzania tuna pesa za kununua V8 na matumizi mengine yasiyo ya lazima ila hatuna pesa za kutoa Maji ziwa Victoria kupeleka mikoa mingine kama Singida, Dodoma, Moro etc? Hivi Tangu 1961 leo hii 2022 tuzungumze kukosa maji kanda ya ziwa.

Nimewaza sana CCM inaundwa na Watanzania hivyo kuna uwezekano mkubwa watanzania tuna shida kichwani zaidi ya hii tunayoona kuongozwa na CCM.
 
Hivi unawezaje mueleza mtu mwenye akili timamu kwamba mikoa kama Mwanza, Geita, Kagera ...nk ina shida ya maji ya Bomba?

Hivi Tanzania tuna pesa za kununua V8 na matumizi mengine yasiyo ya lazima ila hatuna pesa za kutoa Maji ziwa Victoria kupeleka mikoa mingine kama Singida, Dodoma, Moro ..etc ?

Hivi Tangu 1961 leo hii 2022 tuzungumze kukosa maji kanda ya ziwa .

Nimewaza sana CCM inaundwa na Watanzania hivyo kuna uwezekano mkubwa watanzia tuna shida kichwani zaidi ya hii tunayoona kuongozwa na CCM .
Umeeleweka sana bwashee
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Hivi unawezaje mueleza mtu mwenye akili timamu kwamba mikoa kama Mwanza, Geita, Kagera ...nk ina shida ya maji ya Bomba?

Hivi Tanzania tuna pesa za kununua V8 na matumizi mengine yasiyo ya lazima ila hatuna pesa za kutoa Maji ziwa Victoria kupeleka mikoa mingine kama Singida, Dodoma, Moro ..etc ? Hivi Tangu 1961 leo hii 2022 tuzungumze kukosa maji kanda ya ziwa.

Nimewaza sana CCM inaundwa na Watanzania hivyo kuna uwezekano mkubwa watanzania tuna shida kichwani zaidi ya hii tunayoona kuongozwa na CCM.
Fact👏
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Hivi unawezaje mueleza mtu mwenye akili timamu kwamba mikoa kama Mwanza, Geita, Kagera nk ina shida ya maji ya Bomba?

Hivi Tanzania tuna pesa za kununua V8 na matumizi mengine yasiyo ya lazima ila hatuna pesa za kutoa Maji ziwa Victoria kupeleka mikoa mingine kama Singida, Dodoma, Moro etc? Hivi Tangu 1961 leo hii 2022 tuzungumze kukosa maji kanda ya ziwa.

Nimewaza sana CCM inaundwa na Watanzania hivyo kuna uwezekano mkubwa watanzania tuna shida kichwani zaidi ya hii tunayoona kuongozwa na CCM.

Kagera tutoe kwenye huo upuuzi wako.
 
Hivi unawezaje mueleza mtu mwenye akili timamu kwamba mikoa kama Mwanza, Geita, Kagera nk ina shida ya maji ya Bomba?

Hivi Tanzania tuna pesa za kununua V8 na matumizi mengine yasiyo ya lazima ila hatuna pesa za kutoa Maji ziwa Victoria kupeleka mikoa mingine kama Singida, Dodoma, Moro etc? Hivi Tangu 1961 leo hii 2022 tuzungumze kukosa maji kanda ya ziwa.

Nimewaza sana CCM inaundwa na Watanzania hivyo kuna uwezekano mkubwa watanzania tuna shida kichwani zaidi ya hii tunayoona kuongozwa na CCM.
Kiongozi mzuri au mbovu ni taswira ya jamii anaypiongoza.

Unapoona haya yanajiri usiachr kuiomnea nchi maana adui anaweza kupenya kwenye shida za watu akakoroga nchi

Dawa ni CCM kubadilika ama ibadilishwe kwa lazima kupitia sanduku la kura
 
Kiongozi mzuri au mbovu ni taswira ya jamii anaypiongoza.

Unapoona haya yanajiri usiachr kuiomnea nchi maana adui anaweza kupenya kwenye shida za watu akakoroga nchi

Dawa ni CCM kubadilika ama ibadilishwe kwa lazima kupitia sanduku la kura
umenena vyema
 
Back
Top Bottom