jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ni mpumbafu pekee anaye amini kila graduate lazima aajiriwe na serikali..na wewe mleta mada ni moja ya wa pumbafu hao.Angalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.
Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.
Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
Usipokula unakufa. This is simple logiic. Sema we umesoma kiswahili hata logic huelewi. Google itKwamba maendeleo ni kula Bata Nini?
Aisee watu WA dizaini yako ni mizigo mizito na hatarishi sana Kwa taifa, maana Kwa akili zenu duni zinazowaza kula tu ni rahisi sana kulisaliti taifa pale mnawekewa vipande vya fedha.
Tumia lugha ya staha mkuulile jibwa
Hii ndo primary goal ya kila anayeenda chuo kikuu. Hakuna anayeenda chuo kikuu akilenga kutembeza nguo barabarani au kusajili line za simuNi mpumbafu pekee anaye amini kila graduate lazima aajiriwe na serikali..na wewe mleta mada ni moja ya wa pumbafu hao.
Bonge la NyauKwani wewe hapa duniani unafanya nini? Unaweza kuishi bila kula? Yaani unatala tumsifoe rais ambye katulaza njaa five years na kiteka na kuua kila anayempinga as if yeye hapingwi kabisa. Mungu ndo hapingwi peke yake
Huyo msengembwa mwangalie hivyo hivyoTumia lugha ya staha mkuu
Kama hizo nafasi ziko ingieni huko Leo,yeye hayupoAngalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.
Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.
Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
Haya nenda kamlambe matako aliekupa ajira sasa maana ndicho ulichobakiza mother fucker!Hii ndo primary goal ya kila anayeenda chuo kikuu. Hakuna anayeenda chuo kikuu akilenga kutembeza nguo barabarani au kusajili line za simu
Uongo. Tena vyuo vya kati ndo vinawaandaa vijana kuwa watumwa. Hakuna mtoto wa waziri anayeza kwenda kusoma mafinzo ya amali au kusom vetaMagufuli hahusiki na graduates kuwa mitaani. Na mwaka wa tano tangu atwaliwe na bado hao graduates wapo mitaani. Shida ingekuwa yeye huyu aliyepo angeshawaajiri wote.
Tatizo ni uwenda wazimu wa Watanzania wote wakiongozwa na wanasiasa wao na wasmoni. Kuliwa na haja gani kuua vyuo vya kati na kila Chuo kutoa elimu ya Shahada wakati nchi ina sekta zinazozalisha ajira na kodi.
Kulikuwa na ulazima gani hadi SUA na Mzumbe kutoa hadi kozi za ualimu? Kwa nini hivyo vyuo visingebaki na taaluma zao za asili ya vyo vyao?
Kuna sababu gani vyuo vya ajabu ajabu kutoa elimu ya biashara na uhasibu badala ya taaluma hizo kuachwa kwa UDSM. Mzumbe, IFM, AIA, TIA na CBE?
Ngoja tuendelee kuisoma namba maana sisi ni vichwa vya wenda wazimu.
Jinga kabisaUongo. Tena vyuo vya kati ndo vinawaandaa vijana kuwa watumwa. Hakuna mtoto wa waziri anayeza kwenda kusoma mafinzo ya amali au kusom veta
.magufuli atengeneza wasagili line tena wasomi wa masters kabisa wanasagili liane mtaani. Ndo mana alipendwa na wajinga mtaani mana walifurahi sana kuona wasomi wako sawa na waoHaya nenda kamlambe matako aliekupa ajira sasa maana ndicho ulichobakiza mother fucker!
Hongera yako wewe uliyeajiriwa kwa mwijaku. Sio mbaya na wewe unafaidika na hela za uchawa. Safi.Kama bado uko mtaani Maana yake Elimu Yako haijakusaidia chochote
Umeshindwa hata kuajiriwa na Mwijaku? 🐼
Huna akili wewe kisa umepewa ajira ndio unapiga msasa matako sikuzote ulikua wapi kumambuzi kabisa wewe.magufuli atengeneza wasagili line tena wasomi wa masters kabisa wanasagili liane mtaani. Ndo mana alipendwa na wajinga mtaani mana walifurahi sana kuona wasomi wako sawa na wao
Acha kutukana hovyo. Jaribu kuyapokea mawazo kinzani na kujibu kwa hoja sio matusi. Kama haujapendezwa na mawazo yake kua mvumilivu.Haya nenda kamlambe matako aliekupa ajira sasa maana ndicho ulichobakiza mother fucker!
Mimi ni mstaafuHongera yako wewe uliyeajiriwa kwa mwijaku. Sio mbaya na wewe unafaidika na hela za uchawa. Safi.
Huyu mpuuzi kiwango chake cha ujinga nawasikitikia waliompa ajira kumamakezakeAcha kutukana hovyo. Jaribu kuyapokea mawazo kinzani na kujibu kwa hoja sio matusi. Kama haujapendezwa na mawazo yake kua mvumilivu. Ch
Hakuna aliyemaliza chuo kipindi cha jk aliyekosa ajira. Jk alikuwa ni mtu na nusu. Jpm ndo katengeza tatizo hilo kwa uwezo wake mdogoOya weweboya unamtukana JK unajua yaan matusi yako yote yanaenda kwa JK bora unyamaze tu kuficha ujinga wako, Samia kakupa ajira Samia kakupa kaa kimya kumwmako