Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

Wewe unaamini kila report inayotolewa baada ya JPM kuondoka? Au hujui paka akiondoka panya hujitawala?

Tunahitaji paka mwingine fasta.
 
Wewe unaamini kila report inayotolewa baada ya JPM kuondoka? Au hujui paka akiondoka panya hujitawala?

Tunahitaji paka mwingine fasta.
Embu acha kutulisha huo ujinga wako wa chato! Kama huyo mshenzi wenu alikuwa msafi Kama mnavyosema kwa nini alikuondoa CAG Assad baada ya Assad kuibua ufisadi wake?
 
Best interest of our country at heart inapimwa je?

Egocentricity? Mwendazake hakuwa nayo?
Ndio,hakuwa egocentric,kwa maana kwamba alikuwa hajijali yeye tu,alikuwa anajali Watanzania wote,without exception.
 
Miaka mitano hizo nd

Miaka mitano hizo ndege zilikuwapo au wewe ndo bogus?
 
Bandari ya bagamoyo hata JPM alishaanza kuukubali mradi ule hasa hotuba yake ya chato inadhihirisha hilo nadhani aliitoa kipindi waziri wa mambo ya nje wa China alipo mtembelea chato

Kwa mujibu wa Deusdedit Kakonko aliye kuwa boss pale Tpa mazungumzo yalikuwa yanaendelea kuhusu marekebisho ya mashariti ya mkataba ule nimuda muafaka Sasa kwa viongozi wetu kutueleza wamerekebisha Nini kwenye mkataba mpya Kama wamekubaliana
 
Jihadhari, hiyo chuki itakuua! Afya ya mwili inataka uwe na furaha na Amani! Hivi huwezi kuongea bila kutukana! Halafu huyo unayemtukana ni marehemu!
Huwezi kutushawishi hata kidogo kuwa shujaa Wa Taifa letu alikuwa MTU mbaya! We we mwenyewe labda mbaya!
 
Embu acha kutulisha huo ujinga wako wa chato! Kama huyo mshenzi wenu alikuwa msafi Kama mnavyosema kwa nini alikuondoa CAG Assad baada ya Assad kuibua ufisadi wake?
Assad alimbwela, na JPM kama ulivyomjua hakuwa mvumilivu sana kwa watu waliokuwa na ajenda zao walizozificha nyuma ya eti taaluma. Wewe unachokijua ni kwamba Assad katimuliwa basi, lakini Rais ana info za ndani zaidi kuliko wewe.
 
Hata kama ni Marehemu. Lazima ukweli usemwe. Alikuwa mshenzi asiyefaa na ndo mana Mungu kamchukua akiwa madarakani. Hutaki tafuta ndimu tengeneza juice unywe.
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.

Daaa Afadhali Ufanywe Msumbiji...
Sijawahi Kuwaamini Wachina Hata Kidogo...
Pesa Zilizotumika Kukarabati Bandari ya Dar...
Then mamba ya Bagamoyo tena duuu
Miradi iliopo Ikamilike Kwanza Mkuu!
Kwani Huo Upo Kwenye Ilani?
Kwaninj Usisubiri Ilani ya 2025?
Mbona Unataka Kupachika Vitu vipya?
 
Assad alimbwela, na JPM kama ulivyomjua hakuwa mvumilivu sana kwa watu waliokuwa na ajenda zao walizozificha nyuma ya eti taaluma. Wewe unachokijua ni kwamba Assad katimuliwa basi, lakini Rais ana info za ndani zaidi kuliko wewe.
Hakuwa mvumilivu au alikuwa mshenzi aliyependa kuishi kwenye uzandiki na uongo???
 
Ndio,hakuwa egocentric,kwa maana kwamba alikuwa hajijali yeye tu,alikuwa anajali Watanzania wote,without exception.

Haya ya miradi ya chattle, Chatto Inc, sukuma gang na ya namna hiyo hayana elements za egocentricity?

Haya ya wapwa kama paymaster general na wapwa wenyeviti kwenye jumuiya za chama nayo ndiyo mwendelezo wa kujali watanzania wote?
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.
Kama unafanywa msumbiji sisi inatuhusu nini? Kwani aliyoyafanya JPM kwa kupanua bandari za Tanga, Mtwara na DSM wewe huoni? Mnakosoa relI ya SGR aliyoijenga JPM Kuunganisha na bandari ya Dsm lakini reli aliyotaka kujenga mchina kuunganisha bandari ya bagamoyi hamkosoi.

Hao mabwana zenu huko china wapelekeeni miili yenu sio nchi yetu Tanzania.
 
Hakuwa mvumilivu au alikuwa mshenzi aliyependa kuishi kwenye uzandiki na uongo???
Hakuwa mvumilivu, kama hilo hukulipenda kwake, pole. Ufanisi wake ulitokana na kutovumilia uzembe na uchokoraa.

Hakuja kuuza sura so its ok kama hukumpenda. Na watu effective kama yeye mara zote huwezi kuwa neutral juu yao: either utawachukia kama wewe unavyomchukia, au utamkubali kama anavyokubalika na mamilioni ya watanzania. Amelitendea haki kusudi lililomleta duniani, na ameondoka akiwa Shujaa wa Tanzania na Afrika kwa ujumla wake.
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.
Kwa vipengele vipi vya mikataba usiifaninishe Msumbiji na ujinga uliopo Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…