Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

Daaah yani hakuna hata moja ulilomsingizia natamani kuidanlowd maana kunawajinga huku mwanza wanamsifia chaajabu mpaka waha pia wanaendelea kuunga juhudi kamaunavyojua tena huwezi kumuelimisha muha
Just copy and paste
 
Wewe unaamini kila report inayotolewa baada ya JPM kuondoka? Au hujui paka akiondoka panya hujitawala?

Tunahitaji paka mwingine fasta.
Hatuitaji paka tunahitaji katiba mpya na taasisi imara, Rais ni binadamu atakuja ataondoka lakini tukiwa na taasisi imara zitafanya kazi vizuri.

Tabia ya kufikiri kwamba mtu mmoja ni bora kuliko wote ndio inatufanya tusiendelee

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hawafai kuaminiwa hawa Watu
Hata kama wanavaa suti na kupendeza
Ni Wasaliti katika uso huu wa Dunia na waongo mpaka wa nafsi zao
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.
Kama Msumbiji wako tayari kwa masharti ya muwekezaji sisi haituhusu, ni nchi yao.

Vv
 

Mimi natamani zaidi tujikite zaidi kujadili kwenye plan ya huu mradi, huu ni bonge la project , sio lazima tufanye sasa na sio lazima na mchina hata tukikosa wawekezaji wengine wenye masharti nafuu tupambane sisi wenyewe mdogo mdogo hata kama ni plan ya miaka 25 au 30, tena nafikiri wakati huo hata bandari zetu zitakuwa zimezidiwa na mizigo.

Tuaangalie faida ya mradi kwanza tuone jinsi ya kuutekeleza, hapa tunabishana masharti ya wawekezaji atuelekezi akili nje ya hapo tufanye nini.
 
Leta vifungu vinavyosema tra wasisogelee Bandari kwa Muda wa miaka 33 ?
Au ulisikia wakisema!
 
Sukuma gang,miradi yoote ya chato haikuwa na msingi,kama bandar ya bagamoyo itakuwa na tija itajengwa tuh,jiwe kukataa siyo kigezo tusiendelee,jiwe mwenyew alikuwa mwizi tuh
 
Kama katiba tuliyonayo ni mbaya mbona mlikuwa mnamsimanga JPM kwamba hafuati katiba iliyopo? Kama katiba iliyopo haifai na akaja rais aliyewasikiliza, akawa anafanya mambo yake aliyoyaona yanafaa, na watanzania wakaona yanafaa, bifu naye la nini?

Katiba ni maandishi yale, watu wakiwa wabovu hata uwe na katiba nzuri namna gani hakuna la maana litakalopatikana.
 

Afande selemani kazini.

Hiiiiii bagosha!
 
Ndugai ni kiongozi wa mhimili wa hovyo kuwahi kutokea, ni mtu anayecheza mdundo wa kila rais anayeingia madarakani na haelewi ni nini maana ya kuwa kiongozi wa mhimili kama bunge, kuna skendo zake za ufujaji wa pesa za walipa kodi kwenye matibabu yake huko India zimeongelewa sana humu...
 
Ni vyema mkataba huo uwekwe wazi kwa ajili uchambuzi na majadiliano.
Hii itasaidia faida na hasara zinazoweza kusababishwa na mkataba huo kujulikana ili kufikia a win-win situation na kuepika kubebesha Watanzania mzigo wa madeni yasiyo na tija kwa nchi.
 
Mkataba ya kujenga chato airport nao uwekwe wazi!
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.

Mkuu, Hayati Dr. Magufuli alivyokuwa na addiction na miundombinu asingeuacha huu mradi kirahisi namna hiyo.

Kama wewe unayo hiyo report kwa nini usiilete hapa?
 
Yaani mimi hata nikisikia JK ndiye prezidaa fresh tu, achilia mbali kucontrol remotely.

Mwendazake alitutesa sana.
 
Unaonekana una roho mbaya, mbaguzi, mbinafsi, una kisasi na wewe ni mkabila. Haitakufikisha kokote, achana nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…