Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

Hakuwa mvumilivu, kama hilo hukulipenda kwake, pole. Ufanisi wake ulitokana na kutovumilia uzembe na uchokoraa.

Hakuja kuuza sura so its ok kama hukumpenda. Na watu effective kama yeye mara zote huwezi kuwa neutral juu yao: either utawachukia kama wewe unavyomchukia, au utamkubali kama anavyokubalika na mamilioni ya watanzania. Amelitendea haki kusudi lililomleta duniani, na ameondoka akiwa Shujaa wa Tanzania na Afrika kwa ujumla wake.
Alikuwa na ufanisi gani???

Mamilioni gani ya watanzania wanamkubali zaidi ya nyie chato gang na Burundi gang???

Kusudi gani la Mungu kalitendea wakati hata Kanisa katoliki tu ametofautiana nalo kwa roho mbaya yake ya kutojali maisha yao kwenye Corona????

Magufuli alikuwa mshenzi na ndo mana Mungu amemuua. Kataa kubali
 
Anayejua uzuri na ubaya wa Bandari ya Bagamoyo ni mtu aliyesoma mkataba. Wengi wetu tunapiga ramli tu.
 
Huu
Hata kama amefariki lazima tuseme ili waliopo wajifunze

1. Alikuwa mtu mwenye roho mbaya, mshenzi, muuaji na aliyependa kuona watu wenye maendeleo au waliotofautiana nae wakiteseka sana. Mfano wa haya ni kwa vile walivyowafanyia Manji, Erick Kabendera, Ben saanane, Rwabaje, Mama yake Erick Kabendera, Mdude Nyangali, Zacharia na watu wengine wengi

2. Alikuwa mtu Mbinafsi sana, aliyependa sifa zote zirudi kwake. Alipenda kusifiwa, kuonekana yeye ni bora kuliko wenzake. Hata kwenye hotuba zake alipenda kujionesha ni yeye zaidi na wala sio wenzake. Rejea hotuba alizokuwa akisema bila yeye miradi haitofanikiwa. Aliwapa vyeo bila aibu watu waliokuwa wakimsifu yeye binafsi. Mf. Katambi, Sabaya, kafulila, Mrema, Babu

3. Alikuwa mkabila na mbaguzi wa kikanda aliyetukuka. Kwenye awamu yake alijaza watu wa kanda ya ziwa hasa wasukuma na mapandikizi wenzake kutoka Rwanda na Burundi kwenye nafasi nyeti serikalini. Bashiru, Kakoko, Doto James na wengineo wengi ni mifano michache tu. Hawa watu walikuwa hawagusiki na waliweza kufanya lolote lile kwa jina lake na yeye hakusema lolote. Hawa watu waliweza hata kuwadharau waziwazi Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na wala hawakujali mfumo wa utendaji serikalini. Waliweza kupiga simu au kupita moja Kwa moja ikulu hadi kwa Magufuli bila kupita kwa waziri, waziri mkuu au hata Makamu wa Rais.

4. Kwa kujua kwake kuwa ni kweli aliharibu uchumi wa nchi kwa sera zake mbaya, aliwekeza sana kwenye propaganda za kujitangaza sana kupitia vyombo vya Habari ili kuwa brainwash watu wasiofikiri vizuri. Tv zote, magazeti, blogu na hata viongozi wa dini aliwatumia kumtangaza yeye muda wote na kumsifu yeye muda wote ili aonekane ni Bora kuliko wenzake. Ofisi za Taifa zilifanywa kutengeneza data za uongo ili aonekane anafanya vizuri kumbe nchi ilikuwa inaenda pabaya sana. Rejea taarifa aliyotoaga kuwa ATCL inapata faida ya bil 28.

5. Aliwadharau sana wenzake. Na alifanya kila jitihada wenzake waonekane watu wasiofaa ( hasa viongozi waliopita). Aliishi nao kiunafiki akiwatumia vijana wake Kama Msiba, Sabaya , Makonda na Aly Happi kuwatukana na kuwatisha ili aharibu taswira yao kwa jamii na ajitengeneze kuwa ni Bora kuliko wao.

6. Alianzisha mambo ili kuwakomoa watu waliokuwa tofauti nae. As Kofi niwemugizi, Aidan Eyakuze, Yusuph Manji ni wachache kwenye hii list, walianza kuhojiwa uraia, wakanyang’anywa passport na kupewa kesi mbalimbali ili kukomolewa kutokana na kutofautiana nae.

7. Kwa sera zake mbovu, aliharibu kwa kiasi kikubwa uchumi hivyo kupelekea kuwepo tatizo kubwa la ajira . Ili kujiokoa na Tatizo hili Kwa kuwapumbaza watanzania wajinga alianzisha utaratibu wa kujifanya kuwa karibu na Mama lishe na bodaboda huku akisema kuwa wanaruhusiwa kufanya Biashara popote pale. Alifanya hili Kwa sababu alijua kabisa kuwa ameharibu uchumi wa Tanzania na amesababisha watu wengi kukosa ajira. Kuepuka lawama akataka kuifanya nchi nzima kuwa nchi ya wachuuzi huku akiharibu mipango miji na kusababisha walipa kodi wapungue kwa kasi.

8. Kutokana na kuwa na sera mbovu za kiuchumi huku akiiba Mali za watanzania Kwa kigezo cha uzalendo, akiogopa kupinduliwa na jeshi na wasaidizi wake, aliamua kufuatilia maongezi ya wasaidizi wake wote akiwemo Makamu wa Raisi , Mawaziri na viongozi wa Ccm. Alikuwa hadi meseji zao anasoma na alivyo mshamba alikiri hadharani kuwa anafuatilia mawasiliano ya watu. Alianzisha pia utaratibu wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kuwa nae popote pale anapokuwepo. Huu utaratibu ulikuja kuonekana katika awamu ya 5 tu maana Kwa awamu ya 1 hadi ya 4 haikuwai kutokea wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na spika na Jaji mkuu kuambatana na Rais popote pale anapokuwa.

9. Alikuwa muuaji
Niliwai bishia watu wengi kwenye hili ila nilikuja kuthibitisha alipokuja tamka hadharani kuwa huwezi kuwa msaliti alafu uka survive na baada ya hotuba yake iyo Tundu Lissu alikuja kushambuliwa kwa Risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini wake.

10. Alijiona ni Bora kuliko mtu yeyote yule na alitaka neno lake ndo liwe mwisho. Alisema hadharani kuwa hashauriki na kila mtu aliyekuwa akimshauri alimchukulia kama adui yake. Siku za mwisho za uhai wake alitofautiana na kupingana Hadi na viongozi wa dini wa kanisa katoliki ambao waliamua kushauri nchi kuchukua hatua tofauti dhidi ya corona.

Mungu fundi sana! Alale anapostahili mwendazake.
Huu utopolo ungeuandikia kitabu kabisa, watanzania siowajinga wanaona kilichofanywa na Magu.

Sisi tunaangalia vituvinavyoonekana vilivyo fanywa kizalendo na aliekuwa rais wetu kipenzi.
Haya makelele yoote ya chuki binafsi ulioandika yanaweza kuishia humuhumu tu kwa nyie wapiga dili mlie banwa. Kama unataka kujua magu alikuwa shujaawetu chukua maspika makubwa tafuta uwanja alafu uitewatu uanzekusema hayamaneno yako ulioandika hapo uone reaction ya wananchi.

Wewe ni mpotoshaji tu, muda utaongea.
 
Huu

Huu utopolo ungeuandikia kitabu kabisa, watanzania siowajinga wanaona kilichofanywa na Magu.

Sisi tunaangalia vituvinavyoonekana vilivyo fanywa kizalendo na aliekuwa rais wetu kipenzi.
Haya makelele yoote ya chuki binafsi ulioandika yanaweza kuishia humuhumu tu kwa nyie wapiga dili mlie banwa. Kama unataka kujua magu alikuwa shujaawetu chukua maspika makubwa tafuta uwanja alafu uitewatu uanzekusema hayamaneno yako ulioandika hapo uone reaction ya wananchi.

Wewe ni mpotoshaji tu, muda utaongea.
Vitu gani vinavyoonekana alivyofanya Magufuli?? Ulemavu wa Tundu Lissu???
 
Alikuwa na ufanisi gani???

Mamilioni gani ya watanzania wanamkubali zaidi ya nyie chato gang na Burundi gang???

Kusudi gani la Mungu kalitendea wakati hata Kanisa katoliki tu ametofautiana nalo kwa roho mbaya yake ya kutojali maisha yao kwenye Corona????

Magufuli alikuwa mshenzi na ndo mana Mungu amemuua. Kataa kubali
Kila nafsi itaonja mauti, suala ni when and how, si why. Inshu yetu iwe je wakati ukifika tutaacha legacy, tutalitimiza kusudi? Kwa JPM kazi aliifanya, heshima ya nchi yetu aliijenga, na vizazi vitamuenzi.

Kama unahoji ufanisi wake rejea speech ya Mwinyi, "mwenzetu alitekeleza ndani ya miaka mi5 yale yaliyotushinda miaka 40".

Chato gang, na Burundi gang? Man, hata sijui unazungumza lugha gani hapa.

Kutofautiana na katoliki wenzake kuhusu corona? Bado sikuelewi. Kama alitofautiana nao mbona walimzika? Walitofautiana naye vipi kuhusu corona wakati hawakuwahi kuweka lockdown makanisa yao?

Mungu amemuua? Kama Mungu alitoa halafu akatwaa, sisi tusemeje zaidi ya kulibariki Jina Lake?
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Hata kama haya yalosemwa juu ya mwendazake ni ya kweli, hili la bandari ya bagamoyo lazima tumuunge mkono tu. Kwa nini mtu usistuke unapoambiwa miaka 33 TRA wasisogee hapo, au bandari nyingine yoyote haitakiwi kuendelezwa kwa miaka 99. Au eti wachina wako tayari kutoa asilimia 90 ya gharama ya mradi wote!! Kwa wema gani huo? Kwa upendo gani walionao kwetu? Hii haihitaji elimu ya chuo kikuu kustuka. Lazima kuna deal somewhere behind kati ya hao wachina na wachache kati yetu.
 
Kuna waobweka baada ya simba kufa.we are watching you.2025 tutawadhibu we subiri.

CCM natakiwa kuficha aibu yenu.you are being manipulated to die 2025.
Labda kama mmeshakata tamaa ya kurudi 2025.kiogozi mkuu wa CCM akitaka kuchaghuliwa na wananchi 2025 lazima aanze jitihada za kumaliza miradi iliyoachwa na JPM .full stop.If JPM can not be trusted there is no one again in CCM to be trusted. So it to say CCM is dying slowly .Mkapa is gone,Mangula was about to go,JPM is gone.those are the only person could help CCM to say on power.
 
Wewe iyo mikataba aliyoingia hayati umewahi kuiona? Una uhakika gani kama sio ya upigaji? Mambo mangapi amesema ambayo yamekuja kuwa sio kweli?

Aliwahi kutuambia ndege zimetengeneza faida ya deal milion kumi na nne juzi CAG anasema ndege zimeingiza hasara kwa miaka 5 mfululuzo. Utamwamini vipi mtu kama huyu?
Unaandika kwa hasira sana,kwani na wewe ni miongoni mwa watakaopata mgawo kidogo? Mikataba yote inapaswa kuwekwa wazi maana hii nchi sio ya viongozi tu ni ya wote wao wanatuwakilisha,relax na tuleteeni huo mkataba wa mradi,msituambie "it was a very convincing presentation" sisi tutajuaje sasa? Acha ushamba!
 
Tumesema watuweke picha ya JPM Kwenye hela/pesa. Wao wanaendelea kupaka masizi kivuli chake. Sisi hakuwaelewe. Mwamba awekwe kwenye pesa.Ndio waendelee kumchafua lasivyo tutakutana 2025 harudi mtu mbungeni. Kuna watu tuliwapa kula sio kwasababu ya maneno na matendo yao. Bali ni sababu yailitaja jina lilobarikiwa la DR. MH. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
 
Hivi karibuni kumeibuka suala la bandari ya bagamoyo ambayo mh. Hayati JPM alilikataa kwa kuwa mkataba wake ulikuwa wa kinyonyaji.

Hivi karibuni suala hilo limeibuka tena upya na spika wa bunge ameonekana kulikingia kifua na kudiriki kusema kuwa Mh Rais alishauriwa vibaya.

Je, Mh Ndugai ameamua kuwa kibaraka wa mabeberu baada ya hayati kututoka? Au ni mpango mkakati wa Mh. JK ambaye ndo muasisi wa mradi huo kutumia bunge kuuhuisha mradi huo.

Ni dhahiri kuwa JK aliutamani sana mradi huo ili aache legacy kwa watu wake wa Bagamoyo. Kwa kuwa inasemekana ndo mshauri mkubwa kwa mama SSH ataitumia nafasi hiyo kikamilifu kuurudisha!

Hitimisho: Kwa kuwa mkataba huo una sintofahamu kadhaa ni vyema basi ukapitiwa upya ili kuepuka ulaghai wa wachina. Ni aibu kubwa kwa viongozi wetu wa karne ya 21 kuingia kwenye bogus treaties km kina Mangungo wa msowero!
Na Bado huo mwanzo tu, nchi lazima irudi kwenye misingi bora ya UCHUMI,DEMOCRASIA...

Kama hupendi kunywa sumu umfuate MWENDAZAKE...🤣🤣🤣😂😂😂

Mh SASHA Samia Suluhu Hassan ,chapa kazi turudishe kwenye kicheko na furaha kama zama za Mwinyi na JK.

Hii nchi anaposhika MWISLAMU mambo yanakuwa safi sana.

Anapokuwa zamu ya Mkristu mwenzetu mambo yanakuwa hovyo.
Mama yetu tunakupenda sana tuko nyuma yako.
Tuongoze vema na tunakupa moyo.....👊👊👏👏👏🙏🙏🙏🤸‍♂️
 
Nguchiro
Assad alimbwela, na JPM kama ulivyomjua hakuwa mvumilivu sana kwa watu waliokuwa na ajenda zao walizozificha nyuma ya eti taaluma. Wewe unachokijua ni kwamba Assad katimuliwa basi, lakini Rais ana info za ndani zaidi kuliko wewe.
 
Vitu gani vinavyoonekana alivyofanya Magufuli?? Ulemavu wa Tundu Lissu???

Acheni kuchafua watu kwa vihoja uchwarauchwara, mara tundulisu mara watukwenye viroba yani mnatafuta uhalali wa kumchafua mtu bila ushahidi wowote.

Sisi tunaangalia maendeleo kwaujumlawake tunaongelea reli, vituo vya afya, barabara nzuri na imara kila mitaa na hatamtaanikwako miguuyako na macho yako yanashuhudia kama unajifanya huelewi.
Tunaongelea umeme karibu kilakijiji katika nchi hii, mradimkubwa wa Stigle, daraja kubwa busisi, fly over ubungo masoko, bus stands za kisasa nidhamu kwa watumishi wa uma.

Elimu namengine mengi siwezi kuyataja ungekuwa nashukrani ningekuambia uongezee wewe lakini kaanayo moyonitu yaendelee kuisuta nafsiyako.
 
Hivi karibuni kumeibuka suala la bandari ya bagamoyo ambayo mh. Hayati JPM alilikataa kwa kuwa mkataba wake ulikuwa wa kinyonyaji.

Hivi karibuni suala hilo limeibuka tena upya na spika wa bunge ameonekana kulikingia kifua na kudiriki kusema kuwa Mh Rais alishauriwa vibaya.

Je, Mh Ndugai ameamua kuwa kibaraka wa mabeberu baada ya hayati kututoka? Au ni mpango mkakati wa Mh. JK ambaye ndo muasisi wa mradi huo kutumia bunge kuuhuisha mradi huo.

Ni dhahiri kuwa JK aliutamani sana mradi huo ili aache legacy kwa watu wake wa Bagamoyo. Kwa kuwa inasemekana ndo mshauri mkubwa kwa mama SSH ataitumia nafasi hiyo kikamilifu kuurudisha!

Hitimisho: Kwa kuwa mkataba huo una sintofahamu kadhaa ni vyema basi ukapitiwa upya ili kuepuka ulaghai wa wachina. Ni aibu kubwa kwa viongozi wetu wa karne ya 21 kuingia kwenye bogus treaties km kina Mangungo wa msowero!
Kwani akiongoza na tukaenda vizuri tu shida iko wapi?
 
Acheni kuchafua watu kwa vihoja uchwarauchwara, mara tundulisu mara watukwenye viroba yani mnatafuta uhalali wa kumchafua mtu bila ushahidi wowote.

Sisi tunaangalia maendeleo kwaujumlawake tunaongelea reli, vituo vya afya, barabara nzuri na imara kila mitaa na hatamtaanikwako miguuyako na macho yako yanashuhudia kama unajifanya huelewi.
Tunaongelea umeme karibu kilakijiji katika nchi hii, mradimkubwa wa Stigle, daraja kubwa busisi, fly over ubungo masoko, bus stands za kisasa nidhamu kwa watumishi wa uma.

Elimu namengine mengi siwezi kuyataja ungekuwa nashukrani ningekuambia uongezee wewe lakini kaanayo moyonitu yaendelee kuisuta nafsiyako.
Kwani ni uongo Tundu Lissu hakupigwa risasi? Ni uongo watu hawakuwekwa kwenye viroba???

Hivi una akili wewe??? Kuna Rais aliyefanya miradi mikubwa na mingi nchi hii Kama Kikwete??? Au Kwa sababu fedhuli wenu alienda kuzindua a Hadi stand na vyoo??? Kuna miradi mingi iliyozinduliwa nchi hii kama iliyozinduliwa na Makamu wa JK Dr Bilal??? Au hujui kwa nini aliitwa mzee wa kukata utepe????

Kwa kifupi huyo muuaji wenu hajafanya lolote! Miradi hata aliyofanya ni white elephant kama daraja la Busisi.
 
Kila nafsi itaonja mauti, suala ni when and how, si why. Inshu yetu iwe je wakati ukifika tutaacha legacy, tutalitimiza kusudi? Kwa JPM kazi aliifanya, heshima ya nchi yetu aliijenga, na vizazi vitamuenzi.
Kama unahoji ufanisi wake rejea speech ya Mwinyi, "mwenzetu alitekeleza ndani ya miaka mi5 yale yaliyotushinda miaka 40".

Chato gang, na Burundi gang? Man, hata sijui unazungumza lugha gani hapa.

Kutofautiana na katoliki wenzake kuhusu corona? Bado sikuelewi. Kama alitofautiana nao mbona walimzika? Walitofautiana naye vipi kuhusu corona wakati hawakuwahi kuweka lockdown makanisa yao?

Mungu amemuua? Kama Mungu alitoa halafu akatwaa, sisi tusemeje zaidi ya kulibariki Jina Lake?
Alifanya kazi gani Magufuli acha undezi wewe??? Alileta heshima gani wakati hata viongozi wa SADC walioneka wakimsema kwa utendaji wake usiofaa???

Unamsema mzee Mwinyi ambae anaongea maneno huku akiwa hajui kaongea nini???

Chato gang na Burundi gangLeo huwajui wakati wewe ni mmoja wao???

Kwani kabisa likikupa makavu na kutofautiana na wewe hawakuziki??? Tena Kwa kuwafundisha walimpangia askofu sliyemnyang’anya passport ili amzike ili mjifunze vizuri!

Kwani hujui kuwa Mungu anaua??? Kasome tena kwenye biblia kifo cha sauli chanzo ni nini???
 
Hata kama amefariki lazima tuseme ili waliopo wajifunze

1. Alikuwa mtu mwenye roho mbaya, mshenzi, muuaji na aliyependa kuona watu wenye maendeleo au waliotofautiana nae wakiteseka sana. Mfano wa haya ni kwa vile walivyowafanyia Manji, Erick Kabendera, Ben saanane, Rwabaje, Mama yake Erick Kabendera, Mdude Nyangali, Zacharia na watu wengine wengi

2. Alikuwa mtu Mbinafsi sana, aliyependa sifa zote zirudi kwake. Alipenda kusifiwa, kuonekana yeye ni bora kuliko wenzake. Hata kwenye hotuba zake alipenda kujionesha ni yeye zaidi na wala sio wenzake. Rejea hotuba alizokuwa akisema bila yeye miradi haitofanikiwa. Aliwapa vyeo bila aibu watu waliokuwa wakimsifu yeye binafsi. Mf. Katambi, Sabaya, kafulila, Mrema, Babu

3. Alikuwa mkabila na mbaguzi wa kikanda aliyetukuka. Kwenye awamu yake alijaza watu wa kanda ya ziwa hasa wasukuma na mapandikizi wenzake kutoka Rwanda na Burundi kwenye nafasi nyeti serikalini. Bashiru, Kakoko, Doto James na wengineo wengi ni mifano michache tu. Hawa watu walikuwa hawagusiki na waliweza kufanya lolote lile kwa jina lake na yeye hakusema lolote. Hawa watu waliweza hata kuwadharau waziwazi Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na wala hawakujali mfumo wa utendaji serikalini. Waliweza kupiga simu au kupita moja Kwa moja ikulu hadi kwa Magufuli bila kupita kwa waziri, waziri mkuu au hata Makamu wa Rais.

4. Kwa kujua kwake kuwa ni kweli aliharibu uchumi wa nchi kwa sera zake mbaya, aliwekeza sana kwenye propaganda za kujitangaza sana kupitia vyombo vya Habari ili kuwa brainwash watu wasiofikiri vizuri. Tv zote, magazeti, blogu na hata viongozi wa dini aliwatumia kumtangaza yeye muda wote na kumsifu yeye muda wote ili aonekane ni Bora kuliko wenzake. Ofisi za Taifa zilifanywa kutengeneza data za uongo ili aonekane anafanya vizuri kumbe nchi ilikuwa inaenda pabaya sana. Rejea taarifa aliyotoaga kuwa ATCL inapata faida ya bil 28.

5. Aliwadharau sana wenzake. Na alifanya kila jitihada wenzake waonekane watu wasiofaa ( hasa viongozi waliopita). Aliishi nao kiunafiki akiwatumia vijana wake Kama Msiba, Sabaya , Makonda na Aly Happi kuwatukana na kuwatisha ili aharibu taswira yao kwa jamii na ajitengeneze kuwa ni Bora kuliko wao.

6. Alianzisha mambo ili kuwakomoa watu waliokuwa tofauti nae. As Kofi niwemugizi, Aidan Eyakuze, Yusuph Manji ni wachache kwenye hii list, walianza kuhojiwa uraia, wakanyang’anywa passport na kupewa kesi mbalimbali ili kukomolewa kutokana na kutofautiana nae.

7. Kwa sera zake mbovu, aliharibu kwa kiasi kikubwa uchumi hivyo kupelekea kuwepo tatizo kubwa la ajira . Ili kujiokoa na Tatizo hili Kwa kuwapumbaza watanzania wajinga alianzisha utaratibu wa kujifanya kuwa karibu na Mama lishe na bodaboda huku akisema kuwa wanaruhusiwa kufanya Biashara popote pale. Alifanya hili Kwa sababu alijua kabisa kuwa ameharibu uchumi wa Tanzania na amesababisha watu wengi kukosa ajira. Kuepuka lawama akataka kuifanya nchi nzima kuwa nchi ya wachuuzi huku akiharibu mipango miji na kusababisha walipa kodi wapungue kwa kasi.

8. Kutokana na kuwa na sera mbovu za kiuchumi huku akiiba Mali za watanzania Kwa kigezo cha uzalendo, akiogopa kupinduliwa na jeshi na wasaidizi wake, aliamua kufuatilia maongezi ya wasaidizi wake wote akiwemo Makamu wa Raisi , Mawaziri na viongozi wa Ccm. Alikuwa hadi meseji zao anasoma na alivyo mshamba alikiri hadharani kuwa anafuatilia mawasiliano ya watu. Alianzisha pia utaratibu wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kuwa nae popote pale anapokuwepo. Huu utaratibu ulikuja kuonekana katika awamu ya 5 tu maana Kwa awamu ya 1 hadi ya 4 haikuwai kutokea wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na spika na Jaji mkuu kuambatana na Rais popote pale anapokuwa.

9. Alikuwa muuaji
Niliwai bishia watu wengi kwenye hili ila nilikuja kuthibitisha alipokuja tamka hadharani kuwa huwezi kuwa msaliti alafu uka survive na baada ya hotuba yake iyo Tundu Lissu alikuja kushambuliwa kwa Risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini wake.

10. Alijiona ni Bora kuliko mtu yeyote yule na alitaka neno lake ndo liwe mwisho. Alisema hadharani kuwa hashauriki na kila mtu aliyekuwa akimshauri alimchukulia kama adui yake. Siku za mwisho za uhai wake alitofautiana na kupingana Hadi na viongozi wa dini wa kanisa katoliki ambao waliamua kushauri nchi kuchukua hatua tofauti dhidi ya corona.

Mungu fundi sana! Alale anapostahili mwendazake.
Daaah yani hakuna hata moja ulilomsingizia natamani kuidanlowd maana kunawajinga huku mwanza wanamsifia chaajabu mpaka waha pia wanaendelea kuunga juhudi kamaunavyojua tena huwezi kumuelimisha muha
 
Back
Top Bottom