Kuidharau Yanga SC ikielekea CAFCC Semi ni Ushamba na Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC

Aah najilize na losers wakati timu ipo champions. Tunawapa fact tu na hakuna timu ya maana itatamani kushiriki CAF CC badala ya CAF champions hata kama kila msimu itafika nusu final.
Losers ndiyo kulikowafanya mchome moto kwa kuwanga ugenini mchana kweupe na inonga kupatwa degedege wakati wa penati
 
Mkuu big up, ukiendelea hivi Kura yangu unaipata mapema kabisa ya mwanamichezo Bora wa mwaka wa jukwaa letu pendwa..tena mapema Sana maana tunahutaji nondo kama hizi na wala si ushabiki maandazi..BIG UP MKUU
 
Acha kutudanganya. CAF CUP ndiyo cafcc ya leo.

Shida yako wewe mjuaji halafu unaamini unajua kila kitu na ukishasema Basi . Ni ushamba!

Simba inacheza klabu bingwa ambayo Yanga ilishindwa. Ikaangukia kombe la luzas.

Manara ndiye alilibatiza hivyo akiwabeza Simba.

Yaani Simba inayocheza klabu bingwa ikajifunze kwa mtu aliyefeli.

Hivi unajua tofauti ya hadhi ya haya mashindano mawili cafcl na cafcc!


Acha ushamba na ulimbukeni!
 
Kama CAF cup ndio kwasasa ndio shirikisho, embu nitajie timu mojawapo iliyoshinda kombe la Caf cup halafu akaenda kucheza Caf super cup
 
Mwamba.
 
Kweli mkuu. Wananikera na staili zao za kishamba hizo.
 
Loosers ❌❌❌❌
Losers✅✅✅✅

Nlitaka kushangaa mtu ameenda kusoma chuo SAUT anaweza kuwa na uelewa mzuri wa lugha anayotumia kweli? SAUT? kuweni serious.
 
Loosers ❌❌❌❌
Losers✅✅✅✅

Nlitaka kushangaa mtu ameenda kusoma chuo SAUT anaweza kuwa na uelewa mzuri wa lugha anayotumia kweli? SAUT? kuweni serious.
Na hata Kuukosoa Umasikini wako Uliokukubuhu huwa pia unafanya hivi hivi ili usiendelee kuwa Omba Omba?

Kumbe kupatia Kuandika vyema Lugha ya Kiingereza kwa Mpumbavu Mkuu kama Wewe ndiyo Usomi?

Vijana wa Upinde mna tabu mno tu.
 
Na hata Kuukosoa Umasikini wako Uliokukubuhu huwa pia unafanya hivi hivi ili usiendelee kuwa Omba Omba?

Kumbe kupatia Kuandika vyema Lugha ya Kiingereza kwa Mpumbavu Mkuu kama Wewe ndiyo Usomi?

Vijana wa Upinde mna tabu mno tu.
Wewe ndo maskini wa hed andunje mpenda wadudu. Unataka sana attention sisi yanga hatutaki upinde uje kujipendekeza kwetu kaa mbali mama jenny... Nyie watu wafupi mnapenda sana attention.
 
Wewe ndo maskini wa hed andunje mpenda wadudu. Unataka sana attention sisi yanga hatutaki upinde uje kujipendekeza kwetu kaa mbali mama jenny... Nyie watu wafupi mnapenda sana attention.
Kuna Watu hapa wananijua vyema unaposema Mimi ni Mfupi hakika Wanathibitisha kuwa Kweli Wewe ni Chizi kama ID yako ilivyo na Mpumbavu Tukuka.

Kutwa unahangaika Kujipendekeza / Kunishobokea na kutafuta Umaarufu kupitia Kujibizana nami ila hutofanikiwa.

Nina PhD ya Mapambano ya Vita ya Maneno na Maandishi na huna Uwezo wa Kupambana nami kwani hata huko nyuma kulikuwa na Magwiji hapa JamiiForums ila walinishindwa kwa Moto wangu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Bwege wewe andunje mpenda attention. Mi nikiona unafanya ujinga nakugonga tu sikufugii hisani. Boya wewe andunje.
 
Simba ina historia Kimataifa kuliko timu zingine hapa Tanzania.
Mbona records zipo? Tusiwe wavivu kufukunyua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…