Kuingia ndoani na MTU usiyempenda kutakuzidishia Upweke

Kitu kibaya pia kupendwa na mtu usiyempenda sometimes unakuta unapendwa sana tu lakini unaona kabisa huyu akinioa nitampa shida sijui ndio mapepo au ni nn au tutapendana huko mbele
Kundi kubwa wengi tunaangukia hapa ! Manzi anakuelewa kinoma ila wewe humuelewi !
Hivi haiwezekani kujifunza kumpenda mtu kweli ?
 
Unamaanisha mkuu usipopata anayekupenda ni heri usioe kabisa uwe mtume paulo..maana imekaa kama bahati fulani
 

Mkuu urefu au weusi, huchochea mvuto wa nje(tamaa)

Mapenzi au upendo ni ishu inayokuja natural na hakuna sababu ya moja Kwa moja ukimpenda mtu unaweza kusema umempendea nini.

Sifa za nje ni ziada tuu na zinahusu mvuto wa nje kufurahisha Mwili.

Kuna mademu wakali nimewashuhudia wameanguka kwenye mapenzi na washkaji wasio na Sifa maarufu kama hizo za Uhandsome boy, sijui urefu, yaani ni vishkaji Fulani hivi, na Pesa havina.
Na hao mademu wanatongozwa na wanaume wenye muonekano mzuri, wenye hadhi na Pesa lakini wanawatolea nje hao wanaume.

Pia kuna Wanawake ni handsome boy na wanavipato lakini utakuta anampenda mdada ambaye ukimtazama hata wewe unashangaa, na Haki kadada kakiamua kumpelekesha kanampelekesha kweli.
Mapenzi!
 
Nimeisubscribe niisome baadae vizuri mana na hii 33 niliyonayo....
 
Kitu kibaya pia kupendwa na mtu usiyempenda sometimes unakuta unapendwa sana tu lakini unaona kabisa huyu akinioa nitampa shida sijui ndio mapepo au ni nn au tutapendana huko mbele

Alafu unaweza ukaamua kusema Acha niwe naye nitajaribu(kuudanganya moyo) lakini ili ujue Uongo ni Mbaya Subiri Baada ya mikaa 10 au ishirini utashangaa mambo yakirudi yanarudi Kwa nguvu kubw, moyo wako unalipia kisasi Kwa kuupuuza, kuulaghai, kuiletea ubabe. Hapo ndio unakuta limama limegeuka, likorofi, haliambiliki, yaani hatari Sana hapo
 
Stress za ndoa kuna watu wanavua nguo huku wakijiongeresha kuwa hawa "mafundi machizi nini? wanadhani Mungu alikosea kutuumba bila nguo"

Baada ya miaka 20 unaambiwa Watoto hawa sio wako. Hapo usipopata presha au stroke wewe jembe
 
Baada ya miaka 20 unaambiwa Watoto hawa sio wako. Hapo usipopata presha au stroke wewe jembe
Unabaki unanung'unika tu kwamba "ina maana mimi ni mkaidi kiasi hiki? Nimegoma kurudisha faida ya Talanta, hata talanta, nimegoma ku multiply matokeo yake walimwengo wakanibeba ufala wakanibebesha mizigo ya kama Mnyamwezi ili nihangaike nayo. Yaani walinibebesha dhambi zao halafu wenyewe wakawa wanakula maisha?"
 

Ndio Ile kumbukumbu la torati 28 inatimia kwako
 
Wengi wamewaona Wanawake ni wachawi, wabaya na wenye Roho Mbaya lakini kumbe kosa lilikuwa Lao kuwalazimisha wawapende, nao Wanawake wakajaribu kujifunza kuwapenda lakini siku zote kitu kisicho cha asili hushindikana.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wanawake wapo wanamng'ang'ania mtu Hadi mwingine anajibebesha na mimba mwisho wake Huwa mbaya pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…