Kuingia ndoani na MTU usiyempenda kutakuzidishia Upweke

Kuingia ndoani na MTU usiyempenda kutakuzidishia Upweke

Hata wanawake wapo wanamng'ang'ania mtu Hadi mwingine anajibebesha na mimba mwisho wake Huwa mbaya pia

Hii iliyopo kwenye jamii kuwa Mwanamke Mbaya au Mwanaume Mbaya chanzo chake ni hukohuko ndoani.
Mama anamwambia Binti yake wanaume wabaya reference ni babaake.
Baba anawaambia watoto wasimuamini Mwanamke bila kutoa sababu lakini reference ni mkewe(mamayao)
 
Za tangu jana mkuu?
Mm msimamo wangu ni huo huo tu hakuna fundi wa kitu kinacho itwa mapenzi duniani na hatokuja kutokea, ukioa ndoa ikawa na amani ni jambo la kumshukuru mungu tu.
 
Back
Top Bottom