Wengi wamewaona Wanawake ni wachawi, wabaya na wenye Roho Mbaya lakini kumbe kosa lilikuwa Lao kuwalazimisha wawapende, nao Wanawake wakajaribu kujifunza kuwapenda lakini siku zote kitu kisicho cha asili hushindikana.[emoji419][emoji375]
Sent using
Jamii Forums mobile app