Kuingiza KIINGEREZA kwenye mada za KISWAHILI ni USHAMBA.

Kuingiza KIINGEREZA kwenye mada za KISWAHILI ni USHAMBA.

mashoba

Senior Member
Joined
May 8, 2014
Posts
145
Reaction score
42
Jaman unakuta mtu kaomba USHAURI,kaandika kwa lugha ya KISWAHILI,basi watakuja mafundi watatia mbwembwe kibao wa kuandika KIINGEREZA.Unajuaje kama mtoa mada anaelewa?Ni USHAMBA maana hata sie tunajua hiyo lugha na tumesoma hadi degree moja na zaidi.
 
Aliyekuambia uende shule na usikuelewa nani? ndo nyie mnaokariri hata maana hamjui....
na usiaibishe watu wenye degree zao hapa
 
Tanzania nchi ya ajabu sana, hata haijulikani watanzania wanaongea lugha gani..ndio maana kila mtu anaongea lugha apendayo!! Ni kawaida mkuu!!
 
Aliyekuambia uende shule na usikuelewa nani? ndo nyie mnaokariri hata maana hamjui....
na usiaibishe watu wenye degree zao hapa

Hahaha wana degree za nini?That means people write in english to notify us they have a degree?NI USHAMBA,kama kaomba ushauri kwa kiswahili,jibu kwa kiswahili.Mie pia nna degree,kawaida tu.
 
Tanzania nchi ya ajabu sana, hata haijulikani watanzania wanaongea lugha gani..ndio maana kila mtu anaongea lugha apendayo!! Ni kawaida mkuu!!

Humu kuna watu tofauti,kama kaomba msaada kiswahili ni busara kujibu kiswahili pia,wengine hawaelewi kingereza.
 
Hahaha wana degree za nini?That means people write in english to notify us they have a degree?NI USHAMBA,kama kaomba ushauri kwa kiswahili,jibu kwa kiswahili.Mie pia nna degree,kawaida tu.
Kaa na degree yako uchemshie chai unywe
 
kwani ww mgeni kama mimi humu jamvini? humu jamvini watu wameenda shule mkuu wengine hawapendi kuchanganya ila kwakua ngeli..imemkolea anajikuta tu kashusha mavocal yake,huo ni mtazamo wangu from my experience humu ndani
 
kwani ww mgeni kama mimi humu jamvini? humu jamvini watu wameenda shule mkuu wengine hawapendi kuchanganya ila kwakua ngeli..imemkolea anajikuta tu kashusha mavocal yake,huo ni mtazamo wangu from my experience humu ndani

Mimi ni mgeni,lakin napochaingia naangalia,kama muomba ushauri kachanganya na mie nachanganya,kama kaandika kiswahili tu,unajuaje kama ataelewa?
 
Mimi ni mgeni,lakin napochaingia naangalia,kama muomba ushauri kachanganya na mie nachanganya,kama kaandika kiswahili tu,unajuaje kama ataelewa?
kwani wakati anafungua account jf zile rule alizisoma kwa kiswahili?
 
kwani wakati anafungua account jf zile rule alizisoma kwa kiswahili?
Unamaanisha "kwani wakati anafungua akaunti jf zile sheria alizisoma kwa kiswahili?Jibu akaunti mtu anaweza hata kufunguliwa na mtu mwingine,ni rahisi.
 
Mkuu kuna misamiati mingine ni migumu kuiandika kwa kiswahili...

U know what I mean eeh....
 
!
!
lugha sio ushamba bana wala ujanja...ila pia kuna muda mchangiaji anakuwa halengi mada kuu ila uelekeo wa wachangiaji wengine.
 
duu kaz ipo,basi swali likiulizwa kwa kiswahili lijibiwe kwa kiswahili,likiulizwa kwa kiingereza lijibiwe kwa kiingera,na hizi degree zinazopigiwa kelele ni zipi?bachelors au masters??? NB: Mtu anaweza akawa na hizo degree mnazosema na bado akawa anapiga zee zee u know....na mtu anaweza asiwe na hizo degree mnazosema,lakini kwa sababu ana back ground nzuri akawa anatema ngeli kwa kwenda mbele.
 
Naungana na mtoa maada watu wengine ni upumbavu tu kuchanganya kingereza wakati humu wote niwaswahili...loading error...
 
Back
Top Bottom