- Thread starter
- #61
Asante,mie nilikua nawapa ujumbe walengwa,il wapate na radha yao kidogo.ni ushamba kuchangaya kiingereza katika mada ya kiswahili kama ulivyofanya wewe hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante,mie nilikua nawapa ujumbe walengwa,il wapate na radha yao kidogo.ni ushamba kuchangaya kiingereza katika mada ya kiswahili kama ulivyofanya wewe hapa.
hili suala kweli linaniboa hata mimi
kuna siku niliomba ushauri JF dokta...dadeki nikaandikiwa bonge la uzi lenye kiiengereza cha baolojia...lireeefu............hata uzi nikaususa!!!
Kistashahada ndio nini?Hata kupanga maneno hujui?eti 'HAha'....HAha !!!!uache matangazo nani kasema kingereza uwe na iko kistashada chako ,watu wamechanganya lugha kwahiyo??ushamba ni nini hujanijibu,una uwezo kiasi gani wakunisaidia kwenye mada ya kipuuzi kama hii?
au unadhani kilamtu amefumbwa kama wewe
kama ulijua maana ya promotion uliuliza ya nini?
Narudia PROMOTION NI USHAMBA ULIO NAO.
Kistashahada ndio nini?Hata kupanga maneno hujui?eti 'HAha'....
Mkuu, mbona wewe mwenyewe hujui Kiswahili? Huwezi 'kuandika kiingereza' hata siku moja!
Naona hata wewe ni MSHAMBA tu kama hao unaowaita WASHAMBA! Unachanganya kiingereza kwenye uzi wako uliouandika kwa kiswahili, umejuaje kwamba wote tunaelewa kiingereza?
Neno 'kiingereza' sio kiswahili?Ulitaka niandike 'kidhungu'au?Sio kila kidhungu ni kiingereza hahaaa
Ila inaandikwaje???nobody z perfect!!!hahaa
"kuidoubt" ndio nini?Hakuna kamusi ina tafsiri yake....sema kitu kimoja "doubt" utaeleweka.Pia baada ya alama ya mshangao unaanza na herufi kubwa.Shule za kata shida sana.Yani unatumia JF, umejua maana ya Home, New Posts, Tech and Gadgets, Profile, Forum, Private Message, Settings, Reply, Reply with quotes, vyote alafu unalalamika watu kuchanganya ngeli na kiswahili? hiyo degree uliyoisema mbona nimeanza "kuidoubt"??
em nitafsirie hapo nlipofanya quotation
hahahaha...swagga?kawadanganye wasiokujua hako kadigree kako hutaki kukathamin nnWengine hata hatujaenda shule, mie hapa elimu yangu ya primary ila nachanganya kuleta swaga, si unajua mjini hapa...
"kuidoubt" ndio nini?Hakuna kamusi ina tafsiri yake....sema kitu kimoja "doubt" utaeleweka.Pia baada ya alama ya mshangao unaanza na herufi kubwa.Shule za kata shida sana.
Usiwe na dharau kiasi hicho mkuu ungejua chuo nilichosoma usingeandika ujinga huo, hata bongo shule nilizosoma si za kitoto, siku nyingine usimdharau mtu unamwambia shule za kata huku hujui background yake kielimu...
Turudi kwenye mada, hicho ni kiswanglish, ningeweka neno doubt kwenye sentensi yangu unaona ingeleta maana kweli?? afu alama ya mshangao umeiona wapi?? nimeweka alama ya kuuliza tu, sijaweka alama ya mshangao hata moja..
afu hata swali langu hukujibu, u ran from ma question.. you are ignorant and you can't accept that
Ao wadau wenye degree mbona hawaja specify kua ni za aina gani coz kuna degree za centigrade[celcius] , za fahrenheight na za angle
Ao wadau wenye degree mbona hawaja specify kua ni za aina gani coz kuna degree za centigrade[celcius] , za fahrenheight na za angle
Yani unatumia JF, umejua maana ya Home, New Posts, Tech and Gadgets, Profile, Forum, Private Message, Settings, Reply, Reply with quotes, vyote alafu unalalamika watu kuchanganya ngeli na kiswahili? hiyo degree uliyoisema mbona nimeanza "kuidoubt"??
em nitafsirie hapo nlipofanya quotation
Aliyekuambia uende shule na usikuelewa nani? ndo nyie mnaokariri hata maana hamjui....
na usiaibishe watu wenye degree zao hapa