Kuingiza KIINGEREZA kwenye mada za KISWAHILI ni USHAMBA.

Kuingiza KIINGEREZA kwenye mada za KISWAHILI ni USHAMBA.

hili suala kweli linaniboa hata mimi
kuna siku niliomba ushauri JF dokta...dadeki nikaandikiwa bonge la uzi lenye kiiengereza cha baolojia...lireeefu............hata uzi nikaususa!!!

Poleeee lakini ukiona hivo ujue dokta alikopi mahali akajatupia hapo kama palivo bila kufanya ufupisho wa kiswahili alitakiwa akueleweshe kutokana na uelewa wake yeye kama yeye.
 
HAha !!!!uache matangazo nani kasema kingereza uwe na iko kistashada chako ,watu wamechanganya lugha kwahiyo??ushamba ni nini hujanijibu,una uwezo kiasi gani wakunisaidia kwenye mada ya kipuuzi kama hii?
au unadhani kilamtu amefumbwa kama wewe

kama ulijua maana ya promotion uliuliza ya nini?
Narudia PROMOTION NI USHAMBA ULIO NAO.
Kistashahada ndio nini?Hata kupanga maneno hujui?eti 'HAha'....
 
Yani unatumia JF, umejua maana ya Home, New Posts, Tech and Gadgets, Profile, Forum, Private Message, Settings, Reply, Reply with quotes, vyote alafu unalalamika watu kuchanganya ngeli na kiswahili? hiyo degree uliyoisema mbona nimeanza "kuidoubt"??
em nitafsirie hapo nlipofanya quotation
 
Mkuu, mbona wewe mwenyewe hujui Kiswahili? Huwezi 'kuandika kiingereza' hata siku moja!


Naona hata wewe ni MSHAMBA tu kama hao unaowaita WASHAMBA! Unachanganya kiingereza kwenye uzi wako uliouandika kwa kiswahili, umejuaje kwamba wote tunaelewa kiingereza?

Ila inaandikwaje???nobody z perfect!!!hahaa
 
Ndiyo mkuu, 'kuandika kiingereza' si kiswahili sanifu! Unachotakiwa kusema ni 'kuandika kwa lugha ya kiingereza/kuandika kwa kutumia lugha ya kiingereza'! Na lugha ya 'kidhungu' mkuu mimi siielewi!
Neno 'kiingereza' sio kiswahili?Ulitaka niandike 'kidhungu'au?Sio kila kidhungu ni kiingereza hahaaa
 
Nimemwambia hivyo makusudi kwani hata yeye amefanya kosa lile lile analolikemea katika uzi wake!Kama 'no body is perfect' basi huu uzi usingekuwepo! Cha mhimu ni kutofanya 'no body is perfect' kuwa kichaka matatizo! Makosa katika matumizi ya lugha huwa yapo cha msingi ni kwa watumiaji wa lugha husika kujitahidi kutoyafanya! Cheers charty!
Ila inaandikwaje???nobody z perfect!!!hahaa
 
Last edited by a moderator:
Yani unatumia JF, umejua maana ya Home, New Posts, Tech and Gadgets, Profile, Forum, Private Message, Settings, Reply, Reply with quotes, vyote alafu unalalamika watu kuchanganya ngeli na kiswahili? hiyo degree uliyoisema mbona nimeanza "kuidoubt"??
em nitafsirie hapo nlipofanya quotation
"kuidoubt" ndio nini?Hakuna kamusi ina tafsiri yake....sema kitu kimoja "doubt" utaeleweka.Pia baada ya alama ya mshangao unaanza na herufi kubwa.Shule za kata shida sana.
 
Mi napita tu,u know sio kila aongeae englsh amesoma,u know what I mean,mbwembwe muhimu hahaaa!
 
Wengine hata hatujaenda shule, mie hapa elimu yangu ya primary ila nachanganya kuleta swaga, si unajua mjini hapa...
hahahaha...swagga?kawadanganye wasiokujua hako kadigree kako hutaki kukathamin nn
 
"kuidoubt" ndio nini?Hakuna kamusi ina tafsiri yake....sema kitu kimoja "doubt" utaeleweka.Pia baada ya alama ya mshangao unaanza na herufi kubwa.Shule za kata shida sana.

Usiwe na dharau kiasi hicho mkuu ungejua chuo nilichosoma usingeandika ujinga huo, hata bongo shule nilizosoma si za kitoto, siku nyingine usimdharau mtu unamwambia shule za kata huku hujui background yake kielimu...

Turudi kwenye mada, hicho ni kiswanglish, ningeweka neno doubt kwenye sentensi yangu unaona ingeleta maana kweli?? afu alama ya mshangao umeiona wapi?? nimeweka alama ya kuuliza tu, sijaweka alama ya mshangao hata moja..

afu hata swali langu hukujibu, u ran from ma question.. you are ignorant and you can't accept that
 
Usiwe na dharau kiasi hicho mkuu ungejua chuo nilichosoma usingeandika ujinga huo, hata bongo shule nilizosoma si za kitoto, siku nyingine usimdharau mtu unamwambia shule za kata huku hujui background yake kielimu...

Turudi kwenye mada, hicho ni kiswanglish, ningeweka neno doubt kwenye sentensi yangu unaona ingeleta maana kweli?? afu alama ya mshangao umeiona wapi?? nimeweka alama ya kuuliza tu, sijaweka alama ya mshangao hata moja..

afu hata swali langu hukujibu, u ran from ma question.. you are ignorant and you can't accept that

Nisamehe kwa niliyokukwaza mkuu,lengo kubwa hapa ni kuelimishana na kuburudishana pia,hapa tunajenga udugu ndio maana watu wanaoa,kupata kazi,biashara n.k,kupitia humu humu.Kwa hiyo kiroho safi naomba nisamehe sana mkuu.
 
Ao wadau wenye degree mbona hawaja specify kua ni za aina gani coz kuna degree za centigrade[celcius] , za fahrenheight na za angle
 
Yani unatumia JF, umejua maana ya Home, New Posts, Tech and Gadgets, Profile, Forum, Private Message, Settings, Reply, Reply with quotes, vyote alafu unalalamika watu kuchanganya ngeli na kiswahili? hiyo degree uliyoisema mbona nimeanza "kuidoubt"??
em nitafsirie hapo nlipofanya quotation

Daah kweli!! basi kwa muktadha huo inabidi MODS wabadili yote yaliyomo humu kwa kiswahili
 
It depends. Some people can express themselves better in English than in Swahili. That is why even in Universities you wont find lecturers teaching in Swahili because they themselves learnt those things in English. So when a person want an advice on a technical issue, i should rather use English to explain because I dont know the Swahili words of the advice. I hope umenielewa mkuu!
 
Back
Top Bottom