Kuiondoa CCM madarakani ni sawa na kupoteza muda

Kuiondoa CCM madarakani ni sawa na kupoteza muda

Huko uko mbali
Me nasema mtu mweusi anayedhulumu kura ngazi ya kitongoji
Mtu mweusi anayeiba dawa hospital
Mtu mweusi anayeiba cement ya gorofa Kariakoo
Mtu mweusi anayejali maslahi yake kuliko wenzake
Tuanze na hawa kunguni kabla ya kupambana na sera za wazungu

Kupambana na traffic police anayechukua rushwa kwa bodaboda sio dawa ya matatizo yetu. Tunataka tuamue wenyewe kuhusu kahawa yetu, chai yetu, samaki wetu, madini na kila kitu kwenye utajiri wa bara letu la Afrika. Sio mzungu atupangie anavyotaka yeye. Hawa viongozi wetu ni magumashi, au wewe unielewi?
 
Kupambana na traffic police anayechukua rushwa kwa bodaboda sio dawa ya matatizo yetu. Tunataka tuamue wenyewe kuhusu kahawa yetu, chai yetu, samaki wetu, madini na kila kitu kwenye utajiri wa bara letu la Afrika. Sio mzungu atupangie anavyotaka yeye. Hawa viongozi wetu ni magumashi, au wewe unielewi?
Yaani ndani inapigwa na mkeo
Unataka kupigana na Mwakinyo?
 
Sio maandamano, ni mapinduzi ya kuchukua bara letu tuamue mambo yetu wenyewe bila kupangiwa na wazungu.
Yeah!...kujikomboa kwenye mfumo ya kinyonyaji iliyowekwa na hao mabwanyenye wa magharibi sio rahisi......
Kama mnabisha mchagueni rais kutoka chama kingine chochote mtaona, hata Mbowe ziara yake ya kwanza itakuwa Washington DC kupiga picha na Trump. Mimi nimekaa pale
 
Tunapofunga vituo vya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Taifa limeendelea kushuhudia tena ubaradhuli wa wazi na wa aibu toka kwa mamlaka zote za Serikali kushirikiana kuipatia CCM na wagombea wake ushindi wa aibu hata kwa gharama za maisha ya Watanzania.

Tunalaani mauaji na kujeruhiwa kwa wagombea, viongozi na wanachama wetu mbalimbali wakiwemo:

1) Steven Chalamila wa Jimbo la Tunduma aliyevamiwa na kukatwakatwa mapanga kikatili hadi umauti kumkuta.
2) Modestus Timbisimilwa, Mgombea nafasi ya Ujumbe wa Serikali ya Mtaa wa Ulongoni A, Kata ya Gongolamboto, Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam aliyeuwawa na askari kwa kupigwa risasi wakati wa purukushani za kuzuia kura bandia na batili kuingizwa kituo cha kupiga kura.
3)George Juma Mohammed wa Kitongoji cha Stand Kata ya Mkwese Jimbo la Manyoni Mkoani Singida aliyevamiwa nyumbani kwake na watu waliofahamika kuwa askari na kumpiga risasi iliyomsababishia umauti.

Aidha, tuna taarifa kadhaa za kujeruhiwa na kukamatwa na Polisi viongozi, wagombea, wanachama na wapenzi wetu maeneo mbalimbali ya nchi walipokuwa wakijitahidi kukamata na kuzuia kuingizwa vituoni kura bandia na batili zilizopigwa tayari kuwabeba wagombea wa CCM.

Tunataka watu wetu hawa waachiwe haraka na bila masharti yeyote.

Tunaendelea kuwasiliana na Chama kitatoa tamko rasmi zoezi hili likikamilika.

Tunaamini kinachofanyika kina maagizo na baraka zote za @SuluhuSamia na Serikali yake na au nchi iko kwenye "autopilot" na yeyote katika eneo lake ana mamlaka ya kunajisi uchaguzi anavyotaka kwani tayari wamepewa kinga na Kanuni ya 49 ya Kanuni za Uchaguzi wa Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, Ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa inayosema, nanukuu:

"Msimamizi wa Uchaguzi, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi, Msimamizi wa Kituo, Wajumbe wa Kamati ya Rufani au mtumishi yeyote wa Umma aliyehusika na usimamizi wa uchaguzi hatowajibika kwa Jinai au Madai au kuchukuliwa kwa hatua za kinidhamu au za kiutawala kwa jambo lolote alilolifanya au kuacha kulifanya kwa nia njema wakati wa kutekeleza majukumu yake chini ya Kanuni hizi". Mwisho wa kunukuu.

Hakika Taifa lina Msiba mwingine!!
 
Kuiondoa CCM ni sawa na kupoteza muda kwasababu chama kingine kitakachochukua nafasi ya kuongoza kiuchumi kitakuwa kina tumia mfumo huu wa sasa.

Sina elimu ya juu kama great thinkers wengi humu ndani, hiki ninachosema si biblia au msahafu, ni mawazo na msimamo wangu binafsi nilioamka nao leo

Nasema hivi kwasababu sioni kama bara letu la Afrika lina uhuru wa kujiamulia mambo yake. Sisi bado tunapangiwa kila kitu cha kufanya mpaka bei za mazao na rasilimali zetu.
Tumekaa tunapiga kelele kuhusu Mama Samia na CCM lakini wasomi wetu na wawakilishi wetu wote hawataki kusimama kwenye ukweli kwasababu wanazozijua.

Mfumo wa siasa na uchumi, si kwa Tanzania tu, wa bara letu la Afrika unasimamiwa na mataifa ya magharibi ndio maana nasema hata akija Mbowe madarakani nothing will change. Wote hawana kiburi mbele ya mzungu. Wote hawako kwa ajili ya Afrika. Hawapo kusimamia mitazamo ya wakina Mwalimu Nyerere, Thomas Sankara, Patrice Lumumba na wana wa Afrika wengine. Wako kifamilia zaidi kuliko bara letu tukufu. Wako kwa ajili ya kusujudia bwana zao kuliko kutetea mtu mweusi mzawa.
Kwa hili nina mifano mingi, lakini nisifanye gazeti liwe refu nitatoa kwenye comments.

Nini kifanyike? Walivyofanya GenZ wa Kenya kifanyike kwa Afrika nzima. We need revolution. Sio Ruto must go tu, Samia must go, Kagame must go, Haikande Hichilema must go, Filipe Nyusi must go na wengineo wote pamoja na system nzima waende tuanze upya. Otherwise tutakuwa masikini mpaka wajukuu na vitukuu watakuja kutulaumu.
I said.
 

Attachments

  • 1732721670920.jpeg
    1732721670920.jpeg
    86.7 KB · Views: 2
Ni ukweli ambao watu wengi hawataki kuusikia hakuna mabadiliko yatayokea hsta ukimchangua Mbowe chini ya hii system
Mbona Egypt, South Africa, Angola, Nigeria
Zinafanya vizuri
Yaani kweli Taifa letu linazidiwa na Kenya
Taifa letu linazidiwa na Rwanda ambao utalii wake ni makaburi ya kimbali
Nchi ina madini, bandari, mbuga Bado tuzidiwe uchumi na Rwanda na Zambia
 
Yeah!...kujikomboa kwenye mfumo ya kinyonyaji iliyowekwa na hao mabwanyenye wa magharibi sio rahisi......

Ni rahisi kuliko tunavyofikiria, kitu cha kufanya sasa hivi tuwape wenzetu elimu, hata kama sio wao lakini ipo siku watoto au wajukuu zao wataelewa. Tusikate tamaa mpaka Afrika irudi mikononi mwa wazawa, la sivyo wajukuu zetu watakuja kuishi kwenye mazingira magumu kuliko haya.
 
Ni rahisi kuliko tunavyofikiria, kitu cha kufanya sasa hivi tuwape wenzetu elimu, hata kama sio wao lakini ipo siku watoto au wajukuu zao wataelewa. Tusikate tamaa mpaka Afrika irudi mikononi mwa wazawa, la sivyo wajukuu zetu watakuja kuishi kwenye mazingira magumu kuliko haya.
Viongozi wa kutuongoza kutekeleza haya, kuwapata ndio mtihani.
 
Ni kweli,maana kuna watu wanajiona wao ndo wao

Hawana aibu, wakifika kwa wazungu wanajichekesha kumbe wenzao wanaona mabwege tu. Wewe binadamu gani uibe kwenu kuwapelekea matajiri. Hasa huyu Mrisho huyu, hana aibu hata kidogo umbwa huyu
 
Viongozi wa kutuongoza kutekeleza haya, kuwapata ndio mtihani.

Hii system yote ikiondoka hakuna kiongozi atakayetuchezea kwasababu wazungu wa kuwalinda hawatakuwepo. Hawa wote na familia zao watakimbilia Saudi kwasababu wazungu ni umbwa, do you think white people care about them? First of all they don't trust them. Mtu anaewaibia watu wake unafikiri wazungu wanawaona genius? Wanawatumia tu
 
Back
Top Bottom