Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

Nimesoma comments za juu zote kumbe makanisani kuna vioja vikubwa sana
Ndio maana kuna rafiki zangu wakiristo ukiwambia waende kanisani wanakataa sijui kiliwakuta nini kutoka kwa wachungaji
 
Kwa hiyo, Je, unaamini kwamba Yesu Kristo ni mponyaji?
 
Mombi bila kuanguka huko ni kukosa uzalenfo wa kiroho.

Haya amaigizo ya imani sijui wapi mwisho wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh I see nimecheka sana eti bila ya kuanguka huko ni kukosa uzalendo wa kiroho[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Kwenye maombi pale hamna tofauti na walevi wanaolewa kumaliza matatizo yaliyokichwani pombe ikiisha msoto uko palepale.
Mtu ameshindwa kurejesha Mkopo anaenda kwenye maombi unategemeea benki imsamehe kivipi sasa?​
Hili wazo finyu sana. Fikiria zaidi ya hapo. Ukijibu naweza kukufungukia kidogo utapata kitu.
 
Au itakuwa hukumwelewa? But miujiza ipo sana
 
Itakuwa bange uliotumia wakati unaandika siyo ya nchi hii
 
Enda kanisani jaman
 
Ha haaaaa uminikumbusha vibao vya kustukiza vya kisogoni E.A.G.T city center kwa pastor Katunzi....vinavurugaaa ila sikudondoka
😂😂😂😂 Hawa wachungaji ni Hatari😂
 
Akijibu maswali haya au akiyaelewa anaokoka peponi
 
Hebu toa sababu , ulienda kufanya nn?
 
Hao akili ujue Maulana kawapa ndiyo maana wanafanya wandaz. Hata sisi Waafrika & Watanzania tuna akili na viwanda vyetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…