mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hahah chagua tu mkuu unataka uwe Nuhu au Njiwa.Mkuu usitake ncheke miye ...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah chagua tu mkuu unataka uwe Nuhu au Njiwa.Mkuu usitake ncheke miye ...!
Na uwaambie kama wao ni WHO sisi TZ ndiyo US hatuyumbishwi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata mheshimiwa ni mwanasayansi kama hao wa WHO
We mleta maada na wengine kama wewe, kwa taarifa yenu JPM ana trend sana ulimwenguni sema hawaweki mtandaoni wengi. Kwa kifupi amejenga jina mataifa mbalimbali kwa jinsi alivyolikabiri hili suala.
Endeleeni kutuombea mabaya mtaaibika tu mwisho wa siku
God save us
Kwendeni huko mmeanza kusema tusubiri, sijui Corona itatunyoosha karibia miezi mitatu na bado tunadunda...
Jumapili mnapoogelea msisahau barakoa
Afadhali wewe umeweka wazi kwamba kwa hili la vita dhidi ya corona, Marekani amekuwa akitofautiana na WHO kwenye baadhi ya mambo. Kuna watu hawaelewi lolote, wao lawama zote ni kwa Marekani tuWHO wapite hivi ndio maana Trump anawazingua.
Machizi yanaongezeka nikuulize machache.
Kuna ndugu au jilani ako kafa kwa covid
Hao wanaochukua hatua wangapi wanakufa kwa siku..
pambana na hali yako covid Tanzania hakuna, kajinyonge sasa. hahahaha.Mkuu mwanzoni mwa bandiko 'kuzingatiwa kwa itifaki' kulikuwa na maana ya kuwavumilia watu kama wewe
pambana na hali yako covid Tz hakuna, kajinyonge sasa. hahahaha.