"Kuishi na Corona" kunavyopotoshwa Tanzania

"Kuishi na Corona" kunavyopotoshwa Tanzania

Lengo la mtu utalijua tu.. The way ulivyowasilisha mada na unavyowapaka mafuta wakenya na kuikandia Tz ata mifano yako uliyotoa.. Umeiweka Tanzania na nchi ambazo kwa mtu makini anaweza ona thairi lengo lako.

Unaweza 'kulijua lijua tu' lengo la mtu kama wewe ni kibwetere.

Mkuu kama wewe si kibwetere soma mada na mawazo huru kuelewa mambo.

Haya ya kudandia treni kwa mbele yatakupelekeni kwingine ambako haikuwa safari yenu.
 
Mto mada hujafanya kuchungulia who wanafanya nini dhidi ya corona Europ na Afrika, kuna kitu kimejificha ambacho hukijui ila unakimbilia, oooh who ni wanasayansi..!.

Hivi kuna mzungu/beberu anayekupenda kwa dhati wewe mtu mweusi, mmh?

Mkuu kwani wewe umechungulia nini unachokijua kuhusu WHO ambacho wewe hujakiweka hapa kuhusiana na hii mada?

Mada iko wazi "kuishi na Corona kwa mujibu wa WHO" ambako mada inatambua dhana hiyo kuwa ina mashiko.

Kama Corona ilivyo, mada inatambua Corona ni kama mnyama mkali ambaye inawezekana kuishi naye salama, lakini akiwa kwenye udhibiti.

1. Mada imetambua nchi zilizo fanikiwa kumweka mnyama mkali huyu mahali salama anapopaswa kuwa.

2. Mada inatambua nchi zinazopambana kumweka mnyama mkali huyu anapopaswa kuwa.

3. Mada inatambua nchi ambazo mnyama mkali huyu yungali yuko mitaani na wanajaribu kuishi naye hivyo hivyo.

Mada iko humo tu si zaidi?

Mkuu hizo ramli zingine unazoongelea zinahusika vipi hapa?
 
Hamia Kenya mkuu... Tuachie nchi yetu

Bandiko mufilisi kabisa:

IMG_20200520_084904_234.jpg


Kinacho kuuma hasa hasa wewe ni huu ushauri wa kuishi na Corona au nini hasa? Au hata mada yenyewe umepata nafasi ya kuiona?

Au umekurupuka tu na maluweluwe linao ya nyungu?

Eti nikuachie nchi yenu mliyojimilikisha na nani?
 

Lockdown ya Kenya nayo usanii mtupu asubuhi mpaka jioni ruksa kufanya shughuli zenu,Kuanzia saa moja mpaka 12 alfajiri lockdown,sasa sijajua hao virus vya Corona Kuanzia asubuhi mpaka jioni huwaga wamelala.
 
Naandika kwa maada na nimejibu nitakavyo mimi na si utakavyo wewe na majibu yako

Ha haa haa.

Kumbe wewe unaandika kwa mada utakayo wewe na wala siyo hii iliyotukanisha hapa?

Ndiyo sababu unaonekana kuwa unabwabwaja hovyo tu mkuu.

Utakuwa umeingia choo kingine mkuu.

Milangoni kuna maelekezo ya jinsia. Jitahidi kuzingatia.
 
Ha haa haa.

Kumbe wewe unaandika kwa mada utakayo wewe na wala siyo hii iliyotukanisha hapa?

Ndiyo sababu unaonekana kuwa unabwabwaja hovyo tu mkuu.

Utakuwa umeingia choo kingine mkuu.

Milangoni kuna maelekezo ya jinsia. Jitahidi kuzingatia.
Haaa haaaa haaaa kumbe wewe unataka tujibu utakavyo wewe.
 
Covid imetufanya tutambulike ulimwenguni, tumekuwa kituko sana,kituko hiko kinaonekana kupitia mtu fulani
 
Lockdown ya Kenya nayo usanii mtupu asubuhi mpaka jioni ruksa kufanya shughuli zenu,Kuanzia saa moja mpaka 12 alfajiri lockdown,sasa sijajua hao virus vya Corona Kuanzia asubuhi mpaka jioni huwaga wamelala.


Kwani pana nini mkuu? Mada nzima nimeiweka tena summary yake hapa:

IMG_20200520_140315_423.jpg


Sioni tatizo popote.

Labda tusaidiane tatizo liko wapi?
 
Ningependa kuwaambia kisa flani cha kwenye bible hao Jamaa wanaojiandaa kwenda ku-party hio J2 kusherekea 'kumalizika' kwa Corona:

Baada gharika kuisha Nuhu akaona amtume Njiwa nje ya Safina ili kuona vipi hali ikoje huko nje,maji yameisha au lah ili aone kama anaweza kutoka nje ya safina au la.

Sasa wajiulize kwa mazingira tuliyonayo Njiwa anaweza kua nani?
Mods waiweke hii comment iwe nambari moko
 
Covid imetufanya tutambulike ulimwenguni, tumekuwa kituko sana,kituko hiko kinaonekana kupitia mtu fulani

Uzuri wake ni kuwa pamoja na kila kitu tofauti na ilivyokuwa siku za Nuhu, angalau wapo wengi tu wanaojitambua ambao hawakubaliani na dhalili za namna hii bila ya kujali muasisi ni nani.
 
"Mnyama mkali anapo paswa kuwa? WAPI huyo mnyana anapopaswa kuwa?
Manake unazunguka kama dawa ya mbu ya kuchoma.


Soma kwenye mada imeelezwa mnyama mkali anapaswa kuwekwa wapi. Unayezunguka kuliko dawa ya mbu ni wewe. Usingekuwa dawa ya mbu ungekuwa umeona mwenyewe na usingekuja hapa na swali fyongo kama hilo!
 
Kama nimemwelewa mleta mada ni kwamba hatupaswi kuacha kuzingatia makatazo ambayo yanapaswa kufuatwa kuepukana na maambukizo haya so kusema watu watoke wakaafanye sherehe au kuparty hapo si ndo kuruhusu misongamano? Kila siku tuko kitaa ila kwa tahadahri sasa ukiwaruhusu wabongo na kuwaambia korona imeisha ni kama unataka watu waambukizane wenye kufa wafe.
 
Soma kwenye mada imeelezwa mnyama mkali anapaswa kuwekwa wapi. Unayezunguka kuliko dawa ya mbu ni wewe. Usingekuwa dawa ya mbu ungekuwa umeona mwenyewe na usingekuja hapa na swali fyongo kama hilo!
Mnyama anaposwa kuwa wapi?Si utaje sehemu anakuwa wapi? ETI ANAPO PASWA KUWA 😂😂
 
Waafrika wengi sana mna upumbavu wa kujidharau na kutukuza vya mzungu mshenzi, katika gonjwa hili JPM ni mshindi na gumzo duniani japo wanaficha,.

Lakini mnatokea wa kudharau na kumuona mzungu kua ni kila kitu,kinachoendelea wala hakionekani mitaani wala kwa ndugu zetu wala kwa majirani,marafiki huko mikoani kote.

Tatizo lipo lakini linadunda kwa ngozi nyeusi,watu hawa sisi hutembea na Maralia, Typhod, Kichocho, Madonda ya tumbo na tunaanza kutibu kimoja kimoja huku tukiendelea na shughuli zetu ije iwe hii mafua?

Nyie vibaraka mnakuja na ngonjera chungu mzima wapuuzi wakubwa nyie..RAIS wetu ni zaidi ya kina Tyson na Mohamed Alli iwapo angekua ulingoni

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Wewe ambae haumtukuzi mzungu kitu gani umekifanya kuliko hao wazungu? Kwanini mnaendekeza mihemko kuliko logic? Mbona ukiumwa unaenda hospitali kupigwa ma exray? Dawa zote unazozitumia zinatengenezwa nani? ,Magufuli hapo alipo kila kitu anatumia cha mzungu kuanzia suti zake, magari, simu, Tv na vitu vingne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyama anaposwa kuwa wapi?Si utaje sehemu anakuwa wapi? ETI ANAPO PASWA KUWA 😂😂

Kwenye uzi wewe dawa ya mbu kama una macho angalia kumeandikwa hivi:

IMG_20200520_143458_568.jpg


Hukuwa umesoma kujua wanyama wakali huwekwa wapi?

Acha kurukia treni kwa mbele.
 
Back
Top Bottom