Waafrika wengi sana mna upumbavu wa kujidharau na kutukuza vya mzungu mshenzi, katika gonjwa hili JPM ni mshindi na gumzo duniani japo wanaficha,.
Lakini mnatokea wa kudharau na kumuona mzungu kua ni kila kitu,kinachoendelea wala hakionekani mitaani wala kwa ndugu zetu wala kwa majirani,marafiki huko mikoani kote.
Tatizo lipo lakini linadunda kwa ngozi nyeusi,watu hawa sisi hutembea na Maralia, Typhod, Kichocho, Madonda ya tumbo na tunaanza kutibu kimoja kimoja huku tukiendelea na shughuli zetu ije iwe hii mafua?
Nyie vibaraka mnakuja na ngonjera chungu mzima wapuuzi wakubwa nyie..RAIS wetu ni zaidi ya kina Tyson na Mohamed Alli iwapo angekua ulingoni
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature