Unaweza kututajia watu saba wa waziri wa mambo ya ndani waliokufa na Corona?
Hujanitajie hao ndugi zake Simbachawene,zaidi ya kuandika ngojera.Nitajie hao nduguzake Simbachawene saba walio kufa kwa Corona.Haujui kuwa watoa takwimu yakiwamo hata majina ni mtu 5 tu wakiwamo Ummy na Abbas kukutajia wachache.
Mkuu wanasema asiyejua kufa na aangalie kaburi.
Wewe unatafuta wafu live?
Hujanitajie hao ndugi zake Simbachawene,zaidi ya kuandika ngojera.Nitajie hao nduguzake Simbachawene saba walio kufa kwa Corona.
Njiwa ni macho yetu tu bila micro scope mkuu! Hongera sana kwetu watanzania, Mungu anatupenda kuliko taifa lolote duniani! Sisi kuanzia sasa kama unasikiaga taifa teule ndiyo sisi sasa tume take over!Ningependa kuwaambia kisa flani cha kwenye bible hao Jamaa wanaojiandaa kwenda ku-party hio J2 kusherekea 'kumalizika' kwa Corona:
Baada gharika kuisha Nuhu akaona amtume Njiwa nje ya Safina ili kuona vipi hali ikoje huko nje,maji yameisha au lah ili aone kama anaweza kutoka nje ya safina au la.
Sasa wajiulize kwa mazingira tuliyonayo Njiwa anaweza kua nani?
Njiwa ni macho yetu tu bila micro scope mkuu! Hongera sana kwetu watanzania, Mungu anatupenda kuliko taifa lolote duniani! Sisi kuanzia sasa kama unasikiaga taifa teule ndiyo sisi sasa tume take over!
Sent using Jamii Forums mobile app
We mpuuzi,unaonekana oya oya sana upo kama bati kwenye baridi unakuwa wa baridi,kwenye joto unakuwa wa moto,hueleweki kama sigara kali unawashwa mbele na nyuma.Yaani unatembea na kiwiliwili kichwa hujui umempa nani.Simbachawene yupo bungeni kama unahitaji namba yake sema ili ukapate majinga yao toka kwenye mdomo wa farasi mwenyewe kabisa.
Mkuu hayo ya wazungu ya kufa Kama kuku unayajua kwa kuwa wanaweka takwimu wazi Hapa kwetu corona ni sawa na kiongozi fulahi hivi.Jana nilikuwa kwenye mazishi ya rafiki yangu.Pamoja na kwamba alikuwa na kisukari,Ila ukweli ni kwamba kifo chake kimeharakishwa na corona.Marehemu alishikwa ghafla ijumaa na matatizo ya kupumua,kawekewa mtungi wa oxygen wa kwanza ukaisha,kawekewa wa pili,ulivyoisha tu na mauti ikamkuta.Kwa akili ya mwanaccm watakuambia jamaa kafa kwa kisukari lakini tangu lini kisukari kikaua kwa kupana mapafu?Kwendeni huko mmeanza kusema tusubiri, sijui Corona itatunyoosha karibia miezi mitatu na bado tunadunda.
Mtasubiri sana.
WHO ndio wamekuwa wapuuzi kabisa siku hizi. Walisema Corona haienezwi kati ya mtu na mtu. Wakasema Barakoa wavae wagonjwa tu.
Baadae wanakuja tena kukanusha. Kila habari mbaya wanaitabiria Africa wakati wazungu ndio wanakufa kama kuku wa mdondo.
WHO wapite hivi ndio maana Trump anawazingua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu njia moja kubwa ya kulitatua tatizo ni kulikubali,kulielewa na Kisha kupanga mikakati ya kulikabilli.Kama unadhani kutokuelezwa ukubwa wa tatizo na athari zinazosababishwa na hilo tatizo ndo ujaja na uelevu,Basi stay tuned utaelewa siku likifika home kwakoInashangaza Sana kuona Tanzania Kuna wapuuz wengi wait tangu Corona ianze wanaombea vifo viongezeke, wanaombea wagonjwa waongezeke. Taarifa zikitolewa kwamba Tanzania Kuna wagonjwa 20 wenyewe wanakomaa wapo wengi ukimuuliza kwenu kuna wagonjwa wangapi hana jibu means wore wapo safe. Tatizo wanasiasa wa Tanzania hutumua majanga kujichukulia umaarufu. Nyie mnaoombaTanzania iwe na Corona siku ukipoteza hata mtu mmoja kwenye familia yako kwa ajili ya Corona ndo hapo mtaungana na wengine kuliombea Taifa. Kama upo safe tulia unawashwa Nini, unataka kuiga mataifa mengine, umekomaa na WHO wanatoa taarifa za Kisayansi kumbuka WHO inaongozwa na hao waliokuwa Colonialist waliowanyonya na kuwakandamiza babu zetu, acheni kushikiwa akili. Tanzania ipo safe tuendelee kuchukua Tahadhari.
Mtoa Mada upo Out Of context kama ulivopenda kulitumia hilo neno kwenye thread yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inashangaza Sana kuona Tanzania Kuna wapuuz wengi wait tangu Corona ianze wanaombea vifo viongezeke, wanaombea wagonjwa waongezeke. Taarifa zikitolewa kwamba Tanzania Kuna wagonjwa 20 wenyewe wanakomaa wapo wengi ukimuuliza kwenu kuna wagonjwa wangapi hana jibu means wore wapo safe. Tatizo wanasiasa wa Tanzania hutumua majanga kujichukulia umaarufu. Nyie mnaoombaTanzania iwe na Corona siku ukipoteza hata mtu mmoja kwenye familia yako kwa ajili ya Corona ndo hapo mtaungana na wengine kuliombea Taifa. Kama upo safe tulia unawashwa Nini, unataka kuiga mataifa mengine, umekomaa na WHO wanatoa taarifa za Kisayansi kumbuka WHO inaongozwa na hao waliokuwa Colonialist waliowanyonya na kuwakandamiza babu zetu, acheni kushikiwa akili. Tanzania ipo safe tuendelee kuchukua Tahadhari.
Mtoa Mada upo Out Of context kama ulivopenda kulitumia hilo neno kwenye thread yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha nafasi yao tushaichukuaUngemalizia kabisa mkuu: "Israel walie tu!"
We mpuuzi,unaonekana oya oya sana upo kama bati kwenye baridi unakuwa wa baridi,kwenye joto unakuwa wa moto,hueleweki kama sigara kali unawashwa mbele na nyuma.Yaani unatembea na kiwiliwili kichwa hujui umempa nani.
Hao ndugu saba wa Simbachawene waliokufa kwa Corona muwataje na si mnaanza kuzusha?
Wewe kwenye comment uliyo nijibu umejibu nini?Mpuuzi wewe huna hoja unaanza matusi sio kwamba watu hatujui kutukana.Hatuijibu matusi kwa matusi. Matusi ni dalili ya kufilisika kwa hoja. Komaa hivyo hivyo.
Muda ni mali!
Yes wacha tusubiri nani ataibuka mshindi,kuna mambo yanachanganya sana, ngoja tusubiri nani ataibuka mshindi.
Wewe kwenye comment uliyo nijibu umejibu nini?Mpuuzi wewe huna hoja unaanza matusi sio kwamba watu hatujui kutukana.
Ukiona mtu anatumia muda mwingi kurudia rudia kwa kulipamba jambo hilohilo jua kuna kasoro ,kwanini utake kulitangaza mara kwa mara hilo jambo kwa upande tu unaotaka? kwa sababu kama jambo jema litajulikana lenyewe na sio kwa mapambio,sasa imekuwa too much jamani.Nilisikia mapambio kwenye kituo kimoja cha television wakidai mataifa sasa yameanza kuiga na kufata mbinu za Mh fulani,
Wakaenda mbele zaidi na kuwahoji wakazi wa mataifa mengine eti wanatoa pongezi sana kwa mbinu hizo na utafiti.
Nikajiuliza kulikuwa kuna umuhimu wowote wa hizi propaganda? Na zinafanywa kwa malengo gani?
Sijui uliandikiwa au ndio ushafilisika kwa hoja mpuuzi.