Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #21
Nipo primary level katika utafutaji hivo wazo la kuhama litakuja baada ya kusogea sogea kidogoTafuta hela uhame hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo primary level katika utafutaji hivo wazo la kuhama litakuja baada ya kusogea sogea kidogoTafuta hela uhame hapo.
Ahahahaha daaha weeeh nasubri mkeo akate motoWewe bibi kama sio mchawi sijui
Shido ni luku an umeme unajua kutililika tuuUmesema shida kubwa ni luku kuisha kama mb za Vodacom au Kuna shido nyingine?
Ahahah naomba ushauri mkuu
Ila Faiza unavuta bange, bisha?Hama.
koma. Mimi siyo shangazi yako.
Ahahahah jau sana huyu shangaziIla Faiza unavuta bange, bisha?
Solar mkuu inabidi hata vifaa vyangu vyote nibadili sio ?Funga sola, ukihama unasepa nayo.
Umri niliokuwa nao sina hofu na mtu.
Shadow acha tuu...Pole sana mkuu
Mkuu kununua mita bei yake imeenda kidogo..Funga mita Yako kutoka tanesco,mara zote vitu vya kuchangia vinakera sana,kama huna subra unaweza kugombana na watu bila sababu ya msingi,mwingine akijuwa kwako Kuna vifaa vingi vya umeme atajifanya yeye Hana ela ya kulipa umeke ili mradi TU usitumie vifaa vya umeme.
Shido ni luku an umeme unajua kutililika tuu
Biashara ni location unadhani ni rahisi kupata location kama hiyoTafuta hela uhame hapo.
Labda kuna mpangaji kavuruga hiyo mita tanesco wanaona matumizi yenu ni level ya kiwanda.Mkuu kununua mita bei yake imeenda kidogo..
Ila kuna mpangaji hapa kasema kuwa itakua kuna sehemu umeme unavuja.
Hvi mkuu umeme unaweza kuvuja kweli et
ukiwa bishoo nd utapata tabu mkuu we endelea kupaua tu mijumbaMkuu mkuu unajua kuna watu wanatuonea sana mafundi...
Au na mimi niwe bishoo tuu kudadake ahahaa
Mkuu kifunga mita nyumba ya kupanga seriouslyHilo Jimbo jitwalie kwanza hapo ndo utajua umeme unatumikaje au funga MITA Yako. Ikishindikana hama hapo sio kwako
Kidogo wewe una mawazo chanya..Biashara ni location unadhani ni rahisi kupata location kama hiyo