Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Rekebisha hapo kwenye heading mkuu sio Chuma badala yake weka Almasi.
 
Majibu hayo hapo..

Ongeza mke wa pili, atashika adabu..
 
Mimi nadhani kuishi pamoja kama mume na mke ndo kunahitaji uvumilivu.

Wote mvumiliane na sio uvumilivu uwe wa upande mmoja tu.

Kumwona mwenzio ndiye mwenye mapungufu na wewe kujiona uko timilifu nayo ni mapungufu.
Well said..!! Tatizo la wanaume mnajiona very sent wakat in real sense mnamadhaifu meng sana tunawavumilia sana bt hamtambui hilo..!! Badiliken hakuna mwanamke jeuri kwa mwanamme anayemjali na kumpenda kwa dhat kwa kumwonyesha mapenzi ya kweli..ndo maana Mungu alisema mtupende na sisi tuwaheshimu..usipo mpenda mwanamke usitegemee kuheshimiwa hata siku moja that's the real fact
 

Usituweke wanaume wote kwenye tenga moja.

Wengine tunajielewa na kuyatambua madhaifu yetu bila hata kuambiwa.

Vilevile, si wanawake wote wanaoyatambua na kuyakubali madhaitu yao. kuna wengine ni wabishi kupita maelezo na huwa hawajioni kuwa wana madhaifu.

Haya masuala hayana jinsia. Ni masuala ya kiubinadamu zaidi kuliko jinsia mahsusi ya mtu.
 
Ukute mdada wa kichaga na ana advanced diploma au bachelor degree ya kuunga unga kaSoma zake Topic za Gender kwenye DS. Ukajichanganya ukaoa. Utajuta.
 
Miaka 6 bado sana bwana mdogo,women are slow learners, as time goes atakuelewa tu,kikubwa usichoke kutoa maelekezo unavyofikiri ni sahihi,pili huenda naye anaishi kwa kadiri ya gia uliyotumia kumuingia hapo mwanzo.tatu Tabia ikiendelea washirikishe baadhi ya ndugu zake anaowaheshimu ili wakusaidie pia,usijaribu katu kuwahusisha ndugu zako.
 
Ligi ndio zinapelekea mpaka ndoa zinavunjika..
Lakin watu haelewi hilo.. na baadhi ya wanawake wanataka kuota oembe ndabi ya nyumba
 
mwanamke kama wewe!!!hata kama nimekuoa ndani ya wiki unaenda kwenu, nyie ndio mnasababisha hata maadili ya watoto kuporomoka na hata heshima ndani ya nyumba isiwepo
 
mwanamke kama wewe!!!hata kama nimekuoa ndani ya wiki unaenda kwenu, nyie ndio mnasababisha hata maadili ya watoto kuporomoka na hata heshima ndani ya nyumba isiwepo
kibaya kipi hapa niliachoandika mpaka utokwe povu hivyo?
 
Wanawake tunaooa sasa hivi ni watoto wa Wazazi wa kidigitali. Hakuna malezi wala makuzi ya kuheshimu na kutii ndani ya ndoa. Ukienda kuchumbia mapokezi ya Kiwango cha Lami, kumbe wanajua umekuja kuwaondolea aibu ya mtoto wao kukwama ndani..... Utakapooa sasa ndo utajiuliza hivi huyu alitokea mlangoni au dirishani.???

Na nyie wanawake Muwe na akili ya kutofautisha ndoa na harusi. Na Mjue kuwa harusi ni ya siku moja ndoa ni kitu cha maisha. Mnavyojiandaa kwenye harusi mngekuwa mnajiandaa hivyo kwenye ndoa mambo yangekuwa murua kabisaa.... Ila kinyume chake ndoa zimekuwa kiwanda cha kutengeneza wajane tu. Maana wanaume wanajifia hovyohovyo. Pumbavu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…