Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Hakuna
 
MDOMONI WAKO STRONG, VERY STRONG.MOYONI WAKO WEAK, VERY WEAK. Na bado wanajiita strong ladies.HAHAHA😀
Mambo mengine yafanye Wewe. Usimsemeshe. Atakuona bwege. Usijali. Tunza wanao.
Usimpe Fedha . Jifunze majibu mafupi Sana kwake.
Tuma meseji fake kwa wanawake wengi ,acha asome kwenye SIMU.
Akija juu usimjali.
MPE test ya Kwenda kwao akajifunze. Asibebe watoto.
Akienda kaa kimya usimtafute.
Baada ya miezi kadhaa akirudi AMENYOOKA.
 
Nyau we
 
Ndo hivo hata hivo huyu bwana mdogo hapa anajuuuta kukutana na jike la kimachame, mwanamke sicheki, muda wote nimeula wa mbuzi tu, *****
So unajisifia ujinga unaona ujanja siyo!?

Pathetic!
 
Ndoa ni unnatural.
 
Dawa ni kumtafutia mwanamke mwingine, mbona jeuri itaishaa.

Yaani huko ni kujisahau kulikopitiliza kwa wanawake kwa kweli, ni kuzoea ndoa huko ila kila mmoja ana mapungufu na yapo yanayorekebishika
Sasa utaacha kujenga familia uhangaike na kumtafutia mke mwingine?????
Yote Ni sawa...mke mwingine au mchepuko ila Ni kupoteza kipato Cha familia tu....huo mchepuko unaweza ukawa umafyonza mrija mkuu wa income ya familia kuliko hata main house ...eg mke anakunywa coca....mchepuko savanna au saint Anne ...nyumbani maharage... Mke mdogo kuku,maini na mapochopocho ya Bei.

All in all wanawake wanna vichwa panzi Sana ....Kama Mimi najuta kwanini nilioa na utotoni hata wazazi wanajua nilisema nitazalisha wanawake tofauti tofauti then nikae na watoto wangu mwenyewe.

Nasema hivi, ndoa Ni jahanamu ingia for your own risk.
 
Siwezi kuruhusu demokrasia kwenye mahusiano yangu Mimi haya ya ndoa. Kama mbwai iwe mbwai tu ila hizi ndevu lazima ziheshimiwe.

yes natambua na yeye ni binadamu anatakiwa kufanyiwa Kama ninavyofanyiwa Mimi ila hawa viumbe hawaelewi unampa rift analazimisha kupiga na honi.

Miezi miwili tu baada ya ndoa mwenzangu akaniletea picha picha, vibao nilivyompa alikaa mwezi mzima haamini, nilimwambia nimekuoa ila uamuzi wa kukurudisha kwenu siwezi kusubili nikiwa nimelewa.

Uanamume ni pamoja na kuwa na maamuzi magumu cha msingi iwe katika kujenga na sio kubomoa.
 
Dawa ni kumtafutia mwanamke mwingine, mbona jeuri itaishaa.

Yaani huko ni kujisahau kulikopitiliza kwa wanawake kwa kweli, ni kuzoea ndoa huko ila kila mmoja ana mapungufu na yapo yanayorekebishika
nime "like" kigori ingawa ukisema kumtafutia mwenzie naona kama ni kuongeza tatizo hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…